Yaliyojiri Mahakama Kuu kesi ya Mbowe na wenzake. Superitendent Jumanne Malangahe atoa ushahidi, Kesi imeahirishwa hadi Nov 9, 2021

Daaaa ndo Askari wetu hao
 
kukamatwa na bunduki isiyosajiliwa maana yake ulikuwa unataka kufanya nini nayoO magaidi hao wafugwe tu
 
we akili yako itakuwa haikutoshi sasa si ni mtuhumiwa kwani nani kasibitisha kuwa walitenda kosa? wacha mbowe ahukumiwe tu tena anyongwe kabisa gaidi huyo
 
Polisi inatia aibu sana !
 
we akili yako itakuwa haikutoshi sasa si ni mtuhumiwa kwani nani kasibitisha kuwa walitenda kosa? wacha mbowe ahukumiwe tu tena anyongwe kabisa gaidi huyo
Nami nimesema ni mtuhumiwa.

Shida iko wapi?
 
Polisi inatia aibu sana !
kwani mtuhumiwa ameshatiwa hatani mpaka asitoe ushahidi/ hayo makesi yenu ya kubambika kwa huyo askari hayatafanikiwa wacha watoe ushahidi kwa hilo gaidi mbowe lifungwe maisha hatutaki magaidi nchini kwetu
 
kwani mtuhumiwa ameshatiwa hatani mpaka asitoe ushahidi/ hayo makesi yenu ya kubambika kwa huyo askari hayatafanikiwa wacha watoe ushahidi kwa hilo gaidi mbowe lifungwe maisha hatutaki magaidi nchini kwetu
Kwahiyo mbowe akifungwa ndio utakubali kukata govi!!?
 
Walichukua 100m mkuu mstaafu alikua na 70m akaomba msaada wa 30m kutoka kwa mdogo wake hao majambazi walikua saba...
 
Hii kesi hata kama watamfunga Mbowe. Sirro na Kingai wanapaswa kufukuzwa kazi.
Yawezekana Rais Samia kaamua iendelee ili awaumbue hawa watu, kumbuka hii kesi ilikuwa fomulated kipindi cha yule DPP aliyetumbuliwa. wacha tuone hadi mwisho.

Ila hakuna Jaji ama Hakimu duniani anaweza kumtia hatiani mtu wa ushahidi huu ambao badala ya majibu unaacha maswali kichwani, namuonea huruma Jaji wa sasa hivi naona hata yeye ataikimbia hii kesi kabla ya hukumu kama CCM watanganganiza Mbowe afungwe.
 
kukamatwa na bunduki isiyosajiliwa maana yake ulikuwa unataka kufanya nini nayoO magaidi hao wafugwe tu
Unachotoa ubidamu kesa hela ya CCM.Kumbuka Kuna Mbingu .Hiyo bunduki Mimi ninajua ,wewe unajua ,Kingai anajua na HAKIMU anajua kuwa Ile ni bunduki ya kubabikiwa Kwa sababu ya issue za kisiasa.Vaa utu MUNGU wetu ni mmoja
 
Hawaii kuondoa mawakili,waendelee kuwepo ili waijuze dunia jinsi utawala huu ulivyo Maana bila wakili msomi Peter Kibatala na jopo lake maovu yao hayatajulikana.Polisi ni watu.hatari sana.
ILI, kama mafarisayo, waje kushuhudia uwepo wa Mungu wa haki. AMEN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…