Yaliyojiri Mahakama Kuu kesi ya Mbowe na wenzake. Superitendent Jumanne Malangahe atoa ushahidi, Kesi imeahirishwa hadi Nov 9, 2021

Jaji anaenda kupokea vitisho na kesho hati itapokelewa mpende msipende
 
Umeniandikia. Swali zuri kabisa.
 
Kesho hili suala la yeye kusimamishwa kazi kwa kushiriki kumwibia mstaafu mafao yake ni kati ya maswali ya yatakayomtoa relini. Atadhalilika sana.
 
mahakama imekuwa sehemu ya vituko, sio tulizozoea siku hizo....hawa majaji wamekuja kunajisi mahakama
 
Lazima ipokelewe tu,maagizo maalum.
 
Anaenda kumuuliza mtunga Skripti hapo anatakiwa kuchezaje
 
Kesho hili suala la yeye kusimamishwa kazi kwa kushiriki kumwibia mstaafu mafao yake ni kati ya maswali ya yatakayomtoa relini. Atadhalilika sana.
Hivi amejitambulisha kama bado mfanyakazi wa jeshi la polisi au mstaafu?
 
Hivi amejitambulisha kama bado mfanyakazi wa jeshi la polisi au mstaafu?
Jaji: Majina yako

Shahidi: Superitendent Jumanne Malangahe

Jaji: Umri

Shahidi: 46

Jaji: Kabila

Shahidi: Msukuma

Jaji: Shughuli yako

Shahidi: Afisa wa Polisi
 
mungu ni mwema sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…