Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Mr hacker katika ubora wake .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo humu humu. Au nenda insta chadema bloodMwenye link ya update ya jana,tafadhali namba anirushie,kwani yaliyojili jana niliyatafuta bila mafanikio
Uzuri ni kuwa huwa hawasikii hadi karma iwapate kama NdugaiKatika vitu ambavyo havitamuacha SS salama ni kukumbatia mambo ya uonevu Kama haya aliyoyaasisi mwendazake.
Hataamini karma itakapomshukia kwa kasi ya ajabu.
Mwenye link ya update ya jana,tafadhali namba anirushie,kwani yaliyojili jana niliyatafuta bila mafanikio
Yaliyojiri mahakamani kwenye Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Kesi imeahirishwa hadi 19/01/2022
Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake 3 inaendelea leo 18, Jan 2022 katika mahakama ya Uhujumu Uchumi na Rushwa. Kufahamu ilipoishia, soma hapa:Yaliyojiri Mahakama Kuu kwenye Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake watatu. Kesi imeahirishwa hadi Januari 18, 2022 Ungana...www.jamiiforums.com
Leo kaenda wapi? juzi kichwa leo tumbo?Huyu shahidi anapenda kwenda msalani kweli
Mbowe ni mtu muhimu sana lazima alindwe kwa gharama kubwa.Wakuu
Nimepita hapo mawasliano kwenye mahakama ya uhujumu uchumi,nami nina ndugu yangu ana kesi hapo,ila nimeshuhudia hali ya tofauti kidogo.nimeona askari magereza wengi sana wamemzingira mheshimiwa mbowe pale ndani mahakamani,awali nilidhani labda mheshimiwa anaumwa ila nilivyomcheck vizuri ninemuona yuko fit tu.sasa sijaelewa lengo la hao askari ni nin mpaka sasa.
Kuna anaejua kinachoendelea hapo ndani?
Loo, Jaji kawa mkali shahidi alipoulizwa ulipanda cheo awamu gani, ya 5 au ya ? JAJI: Hiyo inahusiana nini? Loo, Jaji kawa mkali balaa, sijui mboni ya jicho imeguswa?Wakuu,
Nimepita hapo mawasliano kwenye mahakama ya uhujumu uchumi,nami nina ndugu yangu ana kesi hapo,ila nimeshuhudia hali ya tofauti kidogo.nimeona askari magereza wengi sana wamemzingira mheshimiwa mbowe pale ndani mahakamani,awali nilidhani labda mheshimiwa anaumwa ila nilivyomcheck vizuri ninemuona yuko fit tu.sasa sijaelewa lengo la hao askari ni nin mpaka sasa.
Kuna anaejua kinachoendelea hapo ndani?
Mh. Kibatala SOMA HIYOSalaam Wakuu,
Leo tarehe 10/01/2022 kesi ya Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe inaendelea.
Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.
=======
Uongo una matatizo mengi. Ikiwa pamoja na shahidi kujichafua kwa kuwa mitarimbo ya mwili imekufa ganzi.Sawa mkuu nipo kiti cha mbele kabisa
Cellebrite's Digital Intelligence Platform empowers law enforcement, governments, and enterprises to collect, review, analyze and manage digital data.Muvi hii inazidi kunoga. Inaanzia ilipoishia jana...
Leo tutegemee kusikia maajabu...
Ndiyo ni maajabu!
Kwahiyo?Cellebrite's Digital Intelligence Platform empowers law enforcement, governments, and enterprises to collect, review, analyze and manage digital data.