Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Urio kuendelea kutoa ushahidi Januari 31, 2022

Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Urio kuendelea kutoa ushahidi Januari 31, 2022

mahakamani shahidi mmoja tu sio lazima aishawishi mahakama beyond reasonable doubt, ila, mkusanyiko wa mashahidi wote ndio unatakiwa kufanya hivyo. pamoja na kwamba shahidi mmoja anaweza kutosha kama atathibitisha, lakini hata asipothibitisha huwa wanaangalia na ushahidi wa wengine kama unaungana. kasome kitu kinaitwa circumstancial evidence.
Circumstancial evidence pia wanasema ushahidi unatakiwa uconnect na kuadd up!Yaani ushahidi uwe consistent throughout!
Sasa kinachatokea hakiconnect,mfano ni kwenye hati ya mashtaka inaonesha jalada lilifunguliwa hata kabla kina Adamoo na Urio hawajakutana!

Na hapo hapo Urio anasema aliwadanganya kuwa wanaenda kufanya kazi ya ulinzi,Sasa kikao kama hicho Cha watu kwenda kufanya ulinzi unawezaje kukiita ni kikao Cha kula njama za kutenda uhalifu?
 
sasa maswali kama haya yamesaidia nini mbowe? kama eye witness na mtu aliyekuwa anawasiliana naye na kukutana naye anasema mpango wa ugaidi ulikwepo, hata kama kamati ya ulinzi na usalama au yeyote hata kuwa na taarifa inahusu nini? ndio wanasheria wenu hao. hapo laymen huko mtaani wanashangilia ati ameuliza maswali magumu.
Sijui kama unajua kinachoendelea duniani
 
Kazi ya upande wa mashitaka ni kuthibithisha tuhuma hizo bila shaka kumfanya mtuhumiwa awe guilty beyond reasonable doubt...shahidi anaweza kuwa amejenga msingi wa kuwa ni kweli alikuwa akiwasiliana na Mbowe lakini ushahidi wa mawasiliano uliotolewa na wa kawaida sana hauoneshi nia ya kutenda kosa walilo tuhumiwa nao..wanachofanya jopo la utetezi ni kutengeneza matundu kwenye ushahidi wa mashahidi ili ku create reasonable doubts!
shida ni kwamba mnaandika hukumu vichwani mwenu kwa kutumia ushahidi wa mtu mmoja, unganisheni ushahidi wa watu wooote na wengine ambao wanaweza kuletwa ndio muandike hizo hukumu zenu. kesi huwa haiamuliwi kwa ushahidi wa mtu mmoja kati ya wengi. labda mashahidi wengine wasiwe wameongea mantiki.
 
Ma bush lawyer wa lumumba mnajua kuhara pumba mkuu. Ya sheria waachieni wa taalam wa sheria.
unaita mtu bush lawyer wakati ameongea at least kitu. wewe hujaongea chochote, ni empty headed lakini unaamini una akili. weka hoja hapo tujibizane kwa hoja, sio kuleta porojo hapa.au la nenda vijiweni kabishane na walevi huko.
 
Nani kakuambia ugaidi unathibitishwa kwa maneno ya kusikia..?
ugaidi ni criminal, namna ya kuuthibitisha hauna tofauti na criminal zingine. pia, urio hajasema alisikia, aliongea na dj, pia amesoma hadi msg. na mbowe mwenyewe anajua kuwa jamaa ni homeboy wake. upo.
 
Pamoja na "unaa" wako,

Haya sasa mwambie huyo Mr michongo Urio athibitishe hizo siri alizoambiwa na Mbowe,

Mbona hata simu yenye hizo siri kaipasua anaogopa nini?
msg zinasomwa sio kwenye simu, ila kwenye print out ya mtandao wa siku. unaongea nini wewe?
 
shida ni kwamba mnaandika hukumu vichwani mwenu kwa kutumia ushahidi wa mtu mmoja, unganisheni ushahidi wa watu wooote na wengine ambao wanaweza kuletwa ndio muandike hizo hukumu zenu. kesi huwa haiamuliwi kwa ushahidi wa mtu mmoja kati ya wengi. labda mashahidi wengine wasiwe wameongea mantiki.
Hakuna anaeandika hukumu kichwani mwake...kama umesoma vizuri post yangu nimesema kazi ya jopo la mawakili wa utetezi ni kuonesha mapungufu kwenye ushahidi wa upande wa mashitaka..kama umefuatilia hii kesi na utaona kuwa ushahidi wa mashahidi wote wa serikali unamapungufu mengi sana..ambayo kama haki itatendeka basi hukumu inaweza ikawa kinyume na matarajio yako..kumbuka.. haki sio lazima itendeke tu, bali ni lazima pia ionekane kutendeka! Mbowe anaweza kuhukumiwa kifungo..hiyo itakuwa haki imetendwa dhidi ya kesi hii, lakini kwa mashabiki wa Mbowe haki itakuwa haijaonekana kutendeka...Mbowe anaweza achiwa huru..lakini kwako na kwa wengine kama wewe mtaona haki haikutendeka!
 
Mbowe sio kiazi kiasi hicho, yaani akurupuke aende kuongea na luteni wa jeshi kuhusu kuleta taharuki?
Hivi kwa cheo Mbowe alichonacho, namna anaijua serikali kuliko hata mimi ambae nisingekubali, inakuwaje aongee na luteni wa jeshi jambo classified kama hilo eti kisa ni homeboy?

Na Mbowe alipoletewa hao vijana hakutafakari kama kati yao kuna mmoja au wawili ambao ni wapelelezi na wataripoti kila analifanya jambo ambalo ni hatari kwake.

Kwa muda Mbowe amekaa kwenye siasa na anajua michezo yote michafu, anajua mwansheria wao Lissu alichofanywa how comes awe kiazi kiasi hiki?

Haiingii akilini kabisa, mtaani tu kwenye kahawa watu hawaropoki mambo kuhusiana na suala zima la usalama wa taifa, sote tujiulize Mbowe ni kiazi kiasi hicho?
Kuna watu kwenye mambo fulani unakuta hata mkewe hamuamini, nirudie tena Mbowe ni mjinga kiasi gani ajimwagie petroli na kujiwashia kibiriti?


Hawa vijana wameuzwa tu ili kumkamata Mbowe, masuala haya ya kijasusi kuuzana ni swala la kawaida, kugeukana ni suala la kawaida, yawezekana kwa asilimia kubwa Moses Lijenje yule aliopotea ndio alikuwa mchora ramani mkubwa kuwauza wenzie au alikuwa na taarifa nyeti hivyo kuwa tishio either akawa executed, how comes apotee ghafla? Yeye alijuaje polisi wanakuja asiwatonye wenzie? Maswali ni mengi sana..

Hawa kina Adamoo mpaka sasa wapo surprised na hawaamini kinachowatokea ndio ile unasikia unapigwa mshangao at the same time hujui nini kinaendelea.

Kuna wale askari walimuua Imrani Kombe former mkuu wa idara ya usalama kwa kumpiga risasi, simple logic , walifuata maagizo lakini mwisho wa siku walikutwa na hatia, which means nao waliuzwa au walitolewa sadaka kama mbuzi ya kafara ili mambo mengine yaendelee.

Huyu Urio ukimsikiliza anaonekana anajua ukweli wa mambo yote.
Waliomuua Imrani Kombe walikaa muda mfupi sana jela kuzuga watu kuwa sheria ilichukua mkondo wake lakini walitolewa baada ya muda mfupi sana kwa msamaha wa Rais. Ni sawa na aliyemuua Mwangosi
 
hizo ni fikra zako, unaamini upo sahihi, ila kuna fikra za wengine ambao ndo wanaandia hukumu. wewe hukumu yako unaiandikia jf. pyuuuuu
Pamoja na hayo lakini mpaka sasa HAKUNA concrete evidence. Time will tell
 
Circumstancial evidence pia wanasema ushahidi unatakiwa uconnect na kuadd up!Yaani ushahidi uwe consistent throughout!
Sasa kinachatokea hakiconnect,mfano ni kwenye hati ya mashtaka inaonesha jalada lilifunguliwa hata kabla kina Adamoo na Urio hawajakutana!

Na hapo hapo Urio anasema aliwadanganya kuwa wanaenda kufanya kazi ya ulinzi,Sasa kikao kama hicho Cha watu kwenda kufanya ulinzi unawezaje kukiita ni kikao Cha kula njama za kutenda uhalifu?
Kuna jalada la uchunguzi na ndio unakuwa msingi wa kukamatwa
 
Shahidi mmoja anaweza kuharibu ushahidi wa wengine wote, kuliko ushahidi wake kuwa muhimu kuliko wengine wote. Hapa Denis kaharibu ushahidi mwingine wowote ule ulikuwepo mahakamani.
shida ni kwamba mnaandika hukumu vichwani mwenu kwa kutumia ushahidi wa mtu mmoja, unganisheni ushahidi wa watu wooote na wengine ambao wanaweza kuletwa ndio muandike hizo hukumu zenu. kesi huwa haiamuliwi kwa ushahidi wa mtu mmoja kati ya wengi. labda mashahidi wengine wasiwe wameongea mantiki.
 
Hata unachokiongea hukijui, hapo alipo ana nyota mbili, otherwise be specific unamaanisha nyota zipi
... anaweza kuserereka hadi 1-$tar! Use your common sense. Kama akili yako ndogo kaa pembeni huko.
 
... anaweza kuserereka hadi 1-$tar! Use your common sense. Kama akili yako ndogo kaa pembeni huko.
Hapo alipo tayari ana nyota mbili, una maanisha mini kusema huko mbeleni
 
Back
Top Bottom