Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake: Kesi imeahirishwa hadi 28/01/2022, Luteni Denis Urio kuendelea na ushahidi wake

Mkuu, umefuatilia kesi hii toka jana? Wakili wa serikali alimuuliza, kwa cheo chake Urio, anaongoza askari wangapi, alijibu 30. Pia, koplo anaongoza 9.Haya maswali ya wakili wa utetezi, yana tofauti gani na hayo aliyoulizwa jana?
Kuna tofauti kubwa kati ya maswali yanayoulizwa wakati wa EXAMINATION IN CHIEF na CROSS EXAMINATION
 
Aisee, inamaana kagomea Hukumu ya Jaji.
Hapo kizimbani yupo chini ya kiapo cha Mahakama na yeye anajitetea kuwa yupo chini ya kiapo cha mwajiri wake. Noma

Sasa ikifika zamu ya Kibatala si itakuwa balaa!.
 
Sasa unakuwaje na hasira na mtu ambaye hajathibitishwa kuwa na hatia?Mtuhumiwa yoyote ni innocent until proven guilty!
Acha hizo,sio afya kabisa!
 
Hapo awali shahidi huyu alisema anayo ruhusa toka kwa wakuu wake wa kazi kuja kutoa ushahidi, ingawa movement order hakuja nayo mahakamani ameiacha hotelini. Sasa Hiyo Court Martial inakuja vipi hapa?
 
Huwezi kukataa kusema elimu yako ya kijeshi. Yani hajui lipi haruhusiwi kusema na lipi anatakiwa kusema. Hiyo anasubiri aruhusiwe baada ya kuuliza kwa watu walio nyuma yake.

Naona kabisa Kama Denis kapangwa au katishwa kabla ya kuanza kutoa ushahidi. Na kidogo nataka niamini kuwa nayeye aliminywa Kama walivyosema akina Adamo. Na wakijua ndio shaidi muhimu Sana kwa Jamuhuli na uwenda akasema tofauti.
 
kipigo, kina kingai washamuharibu huyu jamaa - dhambi sana hii. hayupo sawa kichwani maskini.
Ni dhambi sana huyu Urio amewafanyia hawa jamaa ...... Kama anaweza kuwadanganya watu anaodai walikuwa marafiki zake pia kuwa kuna kazi kumbe anawachomekea. Kwa nini tusiamini pia kuwa amemchomekea Homeboy wake ....!!
 
Mwambiye unajuwa watu wengine ukada umekuwa ukichaa unaondoa akili ya mtu heti atafungwa kwa ushahidi UPI
 
Kama elimu yake ni form four failure aliwezaje kufanya senior course?
Zamani nilikuwa nikisikia Komando nilikuwa nafikiri ni Maafisa fulani ambao wamekuwa trained kwenye kiwango cha juu .... Kumbe ni design tu ya from four failures nao wanaweza kuwa Makomando.
 
Hapo awali shahidi huyu alisema anayo ruhusa toka kwa wakuu wake wa kazi kuja kutoa ushahidi, ingawa movement order hakuja nayo mahakamani ameiacha hotelini. Sasa Hiyo Court Martial inakuja vipi hapa?
Nashon kamuuliza uliwezaje kuwa Luteni? Kumbuka elimu yake ni 4m4 hivyo alipaswa kuishia kuwa korokoro mwenye logo ya bibi na bwana tu. Mara nasimamamia askari 30 kwa platoon, kweli huyu hajafanya senior course. Cheo chake huyo ni coplo tu na sio luten
 
Usikariri Bro. Kwenye Organization ni kweli kuna idadi tajwa lakini haimlazimishi mtu kuifuata. Ndio maana kuna - or +. Unaweza kutengeneza Organization itakayo fit hitajio lako.
 
Zamani nilikuwa nikisikia Komando nilikuwa nafikiri ni Maafisa fulani ambao wamekuwa trained kwenye kiwango cha juu .... Kumbe ni design tu ya from four failures nao wanaweza kuwa Makomando.
Ukomando ni wanajeshi wa kawaida tu na wengi wao ni private yaani askari mtendaji na ndio maana maofisa wachache sana wanakuwa. Komando ni mtu wa kutumwa na ndio maana unaona hata wanavyofanyiwa hao akina Adamoo na hawaheshimiki kabisa ndani ya jeshi, kupewa privilege ya kupanda ndege bure ndicho kitu pekee kinawatia kiburi
 
Nashangaa Jana alijibu maswali ya wakili Wa serikali yeye nani anaongoza watu wangapi akajibu na dafouu walikuwa wanakaa nani ajibu viongozi mpaka asema alikuwa anawalinda viongozi Leo anakataakujibu aibu tupu kwanza ana dhambi huyu Urio wachomeka watu aliodai ni Rafiki zake watoto na family zinateseka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…