kipigo, kina kingai washamuharibu huyu jamaa - dhambi sana hii. hayupo sawa kichwani maskini.Jamaa anadai alikuwa kwenye operation Sudan lakini hakumbuki mu yeyote waliyekuwa naye huko .... Seriously?
Kama jamaa ana matatizo ya kumbukumbu kihivyo inakuwaje tumuamini kwenye ushahidi wake ....!!?