Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
My friend sio evidence law ni LAW OF EVIDENCE.Kuna course wanasheria hua wanaisoma inaitwa Evidence Law. Huko utakutana na kitu kinaitwa "accomplince" in the comission of a crime. Kama unapenda udadisi soma uyakua umepata jibu la hoja yako
Siyo hakumbuki, ni kuwa hakuna kwenda kukutana na dci wala nn. Kufoji ushahidi si kazi ndogoNilitegemea.komando.urio angekua na kila kitu kichwani kwa kukumbuka.
Urio.anaulizwa.kua tukio hili muhimu la kwenda kwa DCI heti.hakumbuki.inaonakana hata intake yake huyu.jamaa hakumbuki kweli mwanzoni tulisema police wahovyo kwenye kujieleza lakini huyu jamaa ndio bule kabisa.
Ndiyo maana nimekuuliza unajua ingridients za makosa ya ugaidi??Kwa nilivyofatilia siku ya jana, nilisikia akisema kwamba wale askari wote walijua wanaenda kufanya kazi ya ulinzi tena akawatahadharisha ya kwamba kama kuna kitu watakiona huko sio cha kawaida au tofauti na majukumu ya kazi yao ya ulinzi basi haraka watoe taarifa kwake. Nadhani hadi pale Morogoro wale makomandoo hawakua wakijua lolote kuhusiana na kazi ya ugaidi
Umeiona hiyo mkuu. Huyu bwana lazima atoshwe tu. Hakuna namna. Kama Inawezekana bora angejisafisha kwa jamii.Kwa huu uharo wa Urio, ni dhahiri kesi ikiisha jeshi litamfukuza kazi.
Ukiondoa kumaliza form four,jamaa ana certficate ya Diasel mechanic kutoka vetaKama elimu yake ni form four failure aliwezaje kufanya senior course?
Ila kwa hii wamefail. Hapa wa kuwaepusha aibu ni Jaji peke yake.Wakati mwingine washtakiwa hua wanafunguliwa shtaka fulani kwa pamoja mf. hilo la "ugaidi" kimkakati tu ila mlengwa hapo ni mmoja tu kati yao. Na upande wa mashtaka wanakua wanajua kabisa kwenye hili kosa atakayepatika na hatia ni mmoja tu kati ya washtakiwa wote. Wanafanya hivi ili ku accomplish lile jukumu lao zito la ku-prove kesi yao "beyond all reasonable doubt". Jukumu hili ni zito sana kwao na ili kulitimiza inabidi kuw creative sana... Kujua haya mambo nakushauri usiishie tu kufuatilia hii kesi ya FAM pekee. Itakapoisha uwe interested na kesi zingine za jinai itakusaidia kujua ujanja/akili ya prosecutors kwenye kesi za jinai
Urio bwana yaani kasafiri kwenda morogoro kukutana na magaidi ili kupanga ugaidi.
Sawa mkuu...Please tusitweze majukum ya kitaifa ya Urio.Tum judge kwa hila alizoamua kufanya kwa maslah yake binafsi hayo mengine ya kulinda vifaru polini ni kwa ajil ya manufaa yetu watanzania wote please
Huyo Bashite na lile wowowo na mahips mbona wote ni walewale tu?Shoga lile achana nalo linatia kinyaa, litakuwa linapigwa paipu na makonda muda huu.
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
umbea wake umemponza,yaani hafai kabisa kukaa jeshini,saa na muda wowote anaweza akatuuza watanzaniaAnaweza kupanga mipango ya kupindua nchi bila wakubwa zake kujua
Uko sahihiPlease tusitweze majukum ya kitaifa ya Urio.Tum judge kwa hila alizoamua kufanya kwa maslah yake binafsi hayo mengine ya kulinda vifaru polini ni kwa ajil ya manufaa yetu watanzania wote please
Kweli kabisa. Hawa jamaa walikuwa tayari wana shughuli zao wanafanya. Urio alivyo na roho mbaya akawapigia na kuwaeleza kuwa kuna kazi imetokea na kazi ni ulinzi na hii ndio profesinal yao. Kumbe anawaingiza chaka kabisa.Kama sio magaidi wanafanya nini ndani hadi muda huu?
Watoeni mbaki na Mbowe
Hawa makomandoo kila nikifatilia hi kesi naumia sana juu yao
Baada ya kuona Kesi inamgeukia amese hapana Watuhumiwa sio MagaidiUpepo wa kesi mbona kama unaonesha hapa source ya yote ni urio. Urio anafahamiana na mbowe, alikutana na mbowe akiwa na p.o.p baada ya kuvunjwa mguu na wahuni akasema 'kaka unaonewa sana'.
Huyu urio alitumwa kwa mbowe kwa mission maalumu sema ilibuma tu. Tuhuma zinarudi kwake yeye ndio gaidi
Kweli kabisa. Hawa jamaa walikuwa tayari wana shughuli zao wanafanya. Urio alivyo na roho mbaya akawapigia na kuwaeleza kuwa kuna kazi imetokea na kazi ni ulinzi na hii ndio profesinal yao. Kumbe anawaingiza chaka kabisa.
Atalipa gharama. Kma si yeye ni uzao wake.