Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YOUR OPINION IS NOT OUR OPINION NOR THE FACTWastage of time and other Tax Payers Moneees.If Kingais' and co has'nt presented any solid witness so far,who else can do?
Kesi ya mchongo!
Mtanzania mfanye lolote kwake sawa tu haoni shida!Haya makampuni ya simu yame compromise privacy za wateja wao ili iweje?Nao wametekwa na wasiojulikana?Vipi kuhusu biashara zao kuanguka?
Watanzania tunadukuliwa sote.
Asante na pongezi sana kwenu Team ya Upashanaji habari. Mmekuwa wamisionari kweli kweliSalaam Wakuu,
Leo tarehe 13/01/2022 kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe inaendelea.
Kufahamu ilipoishia, soma hapa:Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe leo Januari 11, 2022. SP Jumanne Malangahe amaliza kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa hadi Januari 13, 2022
Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.
UPDATES:
Jaji ameingia, Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Ikupendeze Mheshimiwa Jaji naomba Kuwatambulisha
Pius Hilla Abdallah
Chavula Jenitreza
Kitali Nassoro
Katuga Esther
Martin Tulimanywa
Majige Ignasi Mwinuka
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Ikupendeza naitwa Peter Kibatala, nipo pamoja na wakili:
Jeremiah Mtobesya
John Mallya Dickson
Matata Seleman
Matauka Faraji
Mangula Gaston
Garubindi Maria
Mushi Khadija Aaron
Jaji anaita washtakiwa Wote wanne na wote wanaitika kuwa wapo Mahakamani
WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja na sote tupo tayari Kuendelea
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji na sisi pia tupo tayari Kuendelea
Jaji: atakuwa ni Shahidi Wa Ngapi huyo?
Wakili wa Serikali: Robert Kidando atakuwa Shahidi Wa 09 Mheshimiwa Jaji Shahidi anaingia ni Mdada amevaa Miwani Mweupe na Mrefu Kidogo Kavaa Koti la blue
Jaji: Majina yako
Shahidi: Gladisi Fimbari
Jaji: Miaka
Shahidi: 36
Jaji: Dini yako
Shahidi: Mkristo
Jaji: Kazi yako
Shahidi: Mwanasheria kampuni ya Airtel_Tanzania
Shahidi: Naapa Mbele ya Mahakama hii kuwa Ushahidi nitakaotoa utakuwa ni Kweli, kweli tupu
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi ataongonzwa na Jenitreza Kitali
Wakili wa Serikali: unafanya Kazi wapi
Shahidi: Nafanya kazi Airtel Tanzania
Wakili wa Serikali: Unafanya Kazi kama nani
Shahidi: Nafanya kazi Airtel PLC
Wakili wa Serikali: Kama Nani
Shahidi: Awali niliajiriwa Kama Afisa wa Sheria. Baadae 2021 Mwezi March nilibadilishwa Cheo na Kuwa Meneja Kitengo cha Sheria
Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama kampuni ya AIRTEL PLC inajihusisha na nini
Shahidi: Inajihusisha Na Kupiga na Kupigiwa Simu, Huduma ya Miamala ya Fedha kupitia Airtel Money
Wakili wa Serikali: Sasa hiyo Kampuni ya AIRTEL PLC Inatoa hizo huduma kwa Watu gani
Shahidi: Ili Upate Huduma Kutoka Airtel TEL lazima uwe na Simu Handset na lazima uwe na Simcard ya AIRTEL\
Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi tueleze huyo Mteja anapataje hiyo simcard ya AIRTEL?
Shahidi: Ili uweze Kuwa Mteja lazima ufike katika Ofisi za Airtel au Kwa Mawakala wa Airtel utanunua Sim Card lakini Baada ya Hapo lazima ufanyi we Usajili wa ile Line
Wakili wa Serikali: Sasa Mteja amemunua Sim Card ya AIRTEL Lazima afanye Usajili, Je Usajili unafanyikaje
Shahidi: Lazima Mteja awepo katika Usajili, atajitambulisha Majina yake yote, lazima awe na Kitambulisho Chake cha Taifa yani NIDA card, anaye Msajili atachukia hiyo namba na Kuingiza Katika Mifumo yetu, Kisha Atatakiwa aweke Dole Gumba na Kisha Msajili wetu atafanya Uhakiki (Verification) Kupitia Mifumo ya NIDA ambayo imeunganishwa na Mifumo yetu ya NIDA Baada ya Verification na Uhakiki atapata Namba ya NIDA Kuhusiana na Mifumo yetu, baada ya Kupata Uhakiki Kutoka NIDA, Taarifa Zote zitaifadhiwa Katika Mifumo yetu na Baada ya Hapo Usajili utakuwa Umekamilika..
Wakili wa Serikali: Ifafanulie Mahakama Vizuri, umesema Afisa Usajili Wa Airtel atafanya Uhakiki Kutoka NIDA, JE Afisa Wenu Usajili anapataje Taarifa Kutoka NIDA na Kuingiza Katika Mifumo yetu, Kisha Atatakiwa aweke Dole Gumba na Kisha Msajili wetu atafanya Uhakiki (Verification) Kupitia Mifumo ya NIDA ambayo imeunganishwa na Mifumo yetu ya NIDA Baada ya Verification na Uhakiki atapata Namba ya NIDA Kuhusiana na Mifumo yetu, baada ya Kupata Uhakiki Kutoka NIDA, Taarifa Zote zitaifadhiwa Katika Mifumo yetu na Baada ya Hapo Usajili utakuwa Umekamilika..
Wakili wa Sehemu: Ifafanulie Mahakama Vizuri, umesema Afisa Usajili Wa Airtel atafanya Uhakiki Kutoka NIDA, JE Afisa Wenu Usajili anapataje Taarifa Kutoka NIDA
Shahidi: Ok, Ni kwamba Mifumo Yetu imeunganishwa...........
Wakili PETER KIBATALA: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Huyu shahidi ameingia akasema yeye ni Mwanasheria Hakuna Mahala yoyote ameongozwa Kusema Kama Ana utaalam wa Usajili..... Kwa Maoni yetu hiyo ni "HEAR SAY"
WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji ni mapema kwa Wakili kuibua Hiyo Hoja kama ni Hearsay au Lah
Jaji: Kwa nini Unasema ni Hearsay
Kibatala: kwa Sababu Yeye hajasema anafanya Jukumu la Usajili, Bali kasema Kuwa yeye ni Mwanasheria, Hakuna Mahala kasema ni Jukumu lake Kusajili
Jaji: Kwani Hearsay ni nini
Kibatala: Ni Jambo lolote ambalo halitoki Kwa Shahidi Bali kwa Third Party, Ndiyo Maana anasema Juu ya Afisa Msajili ambaye siyo yeye
Jaji: Mimi nafikiri ni Mapema Sana Kusema Ni Hearsay kwa sababu bado anaendelea Kutoa Ushahidi Wake
Wakili JEREMIAH MTOBESYA: Napata taabu Mheshimiwa Jaji Kwa sababu Shahidi Msingi Wake unajengwa na Matukio, Hakuna Mahala kasema Kama alishawahi Kupata Training au Lah, anachotoa Ni opinion tu....
Jaji: Sasa Si mtamuuliza Maswali Baadae Katika Kumuuliza Maswali, Kwa sababu Hatuwezi Kusema Tuukatae Ushahidi Wa Namna hii, Ni Hatari Kama Kila Shahidi akija Tuukatae Ushahidi Kwa sababu Hana Knowledge Ya Kutosha
JEREMIAH MTOBESYA: Mheshimiwa Jaji ni Hatari Sana Mbele Ya Sheria, Tufuate Sheria Inasemaje
Jaji: ninyi Mtapata Nafasi ya Kumfanyia Cross Examination, Tusubiri wakati huo
Wakili wa Serikali: Tuendelee Gladisi....
Shahidi: Majukumu yangu ni Kutoa Ushauri Juu ya Mambo Mbalimbali ya Kisheria, Lakini pia Kuandaa Tathimini Za Kisheria, Kuandaa Nyaraka Za Kisheria, Kufuatilia Kesi zinazohusu Kampuni ambazo zipo Mahakamani, Pia natoa Taarifa ninapoombwa, Juu ya Taarifa, za Kiuchunguzi Kwa Taasisi za Kiuchunguzi au Baada ya Kupokea Amri ya Mahakama Na hiyo Ndiyo Taarifa yangu Kwenye Maeneo hayo
Wakili wa Serikali: Sasa ieleze Mahakama Juu ya Mfumo wa MOBIQUIT Jinsi unavyofanya kazi katika Utunzaji Wa Kumbukumbu za Miamala
Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama Una Elimu gani ambayo inakuwezesha Kutekeleza Majukumu uliyo taja
Shahidi: Nina Shahada ya Sheria, Niliyopata Mwaka 2006 Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Nina Certificate ya Basic Skills za Computer ambayo nimepata Kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam UCC
NA pia nilipojiunga Airtel Mwaka 2004 nilipata Mafunzo ya Ziada ya Mifumo ninayotumia katika Majukumu yangu Nilipata Mafunzo ya Mfumo wa MOBIQUIT Kwa ajili ya Kuhifadhi Taarifa za Miamala Ya Fedha inayofanywa na Mteja Mafunzo hayo niliyapata Kwa muda Wa Wiki Mbili Airtel
Nilijifunzwa Mafunzo kuhusiana na Bussiness Intelligence, Mfumo ambao unatunza Mawasiliano ya Mteja Nilipofika Mwaka 2018/2019 nilipata Mafunzo ya Mfumo Unaitwa AGILE huu ni Mfumo wa Kutunza Taarifa za Usajili Wa Mteja wa Ki BIOMETRIC
Katika Mifumo hiyo tunafundishwa Mambo Mbalimbali Ikiwamo Jinsi Taarifa inavyo chukuliwa na Kuhifadhi wa katika Mifumo hiyo Usalama wa Mifumo Endapo Kuna tolea tatizo la Kimtandao au tatizo la Kiteknolojia ni nini tunatakiwa kufanya na Utuzanji Wa zile Taarifa
Na hiyo Ndiyo Taarifa yangu Kwenye Maeneo hayo
Wakili wa Serikali: Sasa ieleze Mahakama Juu ya Mfumo wa MOBIQUIT Jinsi unavyofanya kazi katika Utunzaji Wa Kumbukumbu za Miamala
Shahidi: Kama Nilivyotaja Mfumo wa MOBIQUIT, Mfumo huu unatunza Taarifa za Miamala pale ambapo Mteja anatuma au Kupokea Pesa Automatic, Mfumo unachukua Zile Taarifa Na Kwenda Kuzihifadhi Kwenye Sever na Baada ya hapo, Ilikuweza Kuzifikia hizi Taarifa unatumia Mfumo
Wakili wa Serikali: VIpi kuhusiana na Mfumo wa BUSSINESS INTELLIGENCE unafanyaje kazi
Shahidi: Pale ambapo Mteja anafanya Mawasiliano, Akiwa Karibu na Mnara, Automatically Mawasiliano Yake Yanachukuliwa Kupitia Mifumo na Kwenda Kutunza Kwenye Sever, Baada ya hapo Unapotoa Kuzifikia Hizi Taarifa Ndipo unatumia Mfumo wa BUSSINESS INTELLIGENCE
Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama ni Mawasiliano ya Namna gani Mfumo huu ndiyo unafanya kazi
Shahidi: Anapopiga simu, anapotuma Ujumbe Mfupi, anapopokea Simu na anapotaka Huduma za Internet, inakuwa Captured kwenye Mfumo wetu
Wakili wa Serikali: Shahidi Umetaja Mfumo Mwingine Wa AGILE Ifahamishe Sasa Mahakama ni Kitu gani
Shahidi: Anapopiga simu, anapotuma Ujumbe Mfupi, anapopokea Simu na anapotaka Huduma za Internet, inakuwa Captured kwenye Mfumo wetu
Wakili wa Serikali: Shahidi Umetaja Mfumo Mwingine Wa AGILE Ifahamishe Sasa Mahakama ni Kitu gani
Shahidi: Kama Nilivyoeleza Kuwa Mfumo wa AGILE unafanya kazi Mteja anapotaka Kwenda Kusajili Line yake, anapotaja Namba ya Utambulisho Wa NIDA Msajili anaingia namba za NIDA kwenye Mfumo, na Baada ya Taarifa hizi Mteja Kuweka Kidole Gumba zinakwenda Kuhakikiwa NIDA na Majibu Yatakurudi Kisha Taarifa Hizo zinaenda Kuhifadhi wa katika Mfumo wetu wa AGILE
Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama, Ka wewe ni Mtumiaji wa hii Mifumo ni Kwa Muda gani Umetuma Hii Mifumo
Shahidi: Kwa Upande wa MOBIQUIT na BUSSINESS Intelligence Niliweza Kutumia Mifumo hii tangu Nipo Jiumga na Airtel Mwaka 2004 na Kwa Upande wa AGILE ni tangu Mwaka 2019 Mpaka Sasa
Wakili wa Serikali: Sasa Wakati wa Ushahidi Umeeleza Mahakama Majukumu yako, Na Moja ya Majukumu yako ni Kutoa Taarifa Chunguzi kwa Vyombo Vya Uchunguzi, Ifahamishe Mahakama Taarifa unazo toa ni Kwa vipi na zipi
Shahidi: Kwanza Nikianza, Tunatoa Kwa Jeshi la Polisi, Tume ya Kupambana na Kuzuia Rushwa PCCB, Tume ya Kupambana na Madawa ya Kulevya, Mamlaka ya Mawasiliano na Financial Intelligence, na pale Mteja anapohitaji Kupewa Taarifa zake anaruhusiwa Kupewa
Wakili wa Serikali: taarifa ya namna gani?
Shahidi: Kila Taasisi Zinaomba Taarifa za Mawasiliano Kwa Ujumla nikimaanisha Kupiga na Kupokea Simu, Miamala ya Fedha na Pia Usajili wa line
Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama Utaratibu Wa Maombi huwa Unafanyikaje
Shahidi: Taratibu Kubwa ni Chombo Chunguzi Kuleta Barua ya Maombi ya Taarifa, Na Maombi haya Yana Wasilishwa Airtel Kupitia Upande wetu wa Mapokezi Ya kisha pokelewa yanaratibiwa Katika Register Yetu na Kupelekwa kwenye Kitengo Cha Sheria Kufanyiwa kazi na Baada ya Hapo Mkuu wa Kitengo Cha Sheria anatoa Ruhusa Kwa Muhusika Juu ya Kufanyia Kazi Maombi hayo
Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Barua ya Maombi Imeshafika na Mkuu wa Idara ameshasaini, Sasa Huyu aliye na Barua anafanya nini kazi
Shahidi: Lazima afanye Kazi Barua Kwa Kujiridhisha Kwanza, Juu ya anuani ya Taasisi Kama Barua hiyo Imeelekezwa kwa Airtel? , Je Barua hiyo Ina Nembo ya Taaaisi husika? , Taarifa hizo ni za Kiuchunguzi? Na Kama siyo Za Kiuchunguzi haiwezi Kufanyia Kazi, lakini Pia iwe na Sahihi na Muhuri Wa Taaaisi Husika
Wakili wa Serikali: Umesema Afisa Anahakiki Vitu Vyote ikiwemo Taarifa ya Kiuchunguzi, Nini Unaangalia Kujua Kama Kiuchunguzi au siyo
Shahidi: Barua zote za Kiuchunguzi zinataja Kosa. Kuna ambazo zinataja Jalada namba Ili Kuonyesha Kwamba Kuna Kesi inaendelea
Wakili wa Serikali: Ni watu gani hasa sasa wanao fanyia kazi Maombi
Shahidi: Ni watu wa Kitengo Cha Sheria
Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama sasa Kitengo cha Sheria ni watu Wangapi Wanashughulikia hizo kazi
Shahidi: Ni watu Wawili ambapo ni Mimi na Mwenzangu
Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Assignment Imefika Mezani Kwako na Maombi yote Umepangwa yamefuata Utaratibu
Shahidi: Ofisini Kwangu Kumeanganishwa na Mifumo Niliyotaja Kupitia Computer Yangu yangu MOBIQUIT, BUSSINESS INTELLIGENCE NA AGILE. Na Kila Mfumo ni Credentials zangu za Kuniruhusu Kuingia Kwa Kila Ninapo ingia
Wakili wa Serikali: USER name Unapata wapi?
Shahidi: Kitengo Cha IT ambapo ni Mimi Mwenyewe na Kitengo Cha IT Hakuna Mwingine anayefahamu
Asanteni sana Team ya upashanaji habari. Mmekuwa Wamisionari kweli kweli.Salaam Wakuu,
Leo tarehe 13/01/2022 kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe inaendelea.
Kufahamu ilipoishia, soma hapa:Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe leo Januari 11, 2022. SP Jumanne Malangahe amaliza kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa hadi Januari 13, 2022
Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.
UPDATES:
Jaji ameingia, Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Ikupendeze Mheshimiwa Jaji naomba Kuwatambulisha
Pius Hilla Abdallah
Chavula Jenitreza
Kitali Nassoro
Katuga Esther
Martin Tulimanywa
Majige Ignasi Mwinuka
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Ikupendeza naitwa Peter Kibatala, nipo pamoja na wakili:
Jeremiah Mtobesya
John Mallya Dickson
Matata Seleman
Matauka Faraji
Mangula Gaston
Garubindi Maria
Mushi Khadija Aaron
Jaji anaita washtakiwa Wote wanne na wote wanaitika kuwa wapo Mahakamani
WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja na sote tupo tayari Kuendelea
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji na sisi pia tupo tayari Kuendelea
Jaji: atakuwa ni Shahidi Wa Ngapi huyo?
Wakili wa Serikali: Robert Kidando atakuwa Shahidi Wa 09 Mheshimiwa Jaji Shahidi anaingia ni Mdada amevaa Miwani Mweupe na Mrefu Kidogo Kavaa Koti la blue
Jaji: Majina yako
Shahidi: Gladisi Fimbari
Jaji: Miaka
Shahidi: 36
Jaji: Dini yako
Shahidi: Mkristo
Jaji: Kazi yako
Shahidi: Mwanasheria kampuni ya Airtel_Tanzania
Shahidi: Naapa Mbele ya Mahakama hii kuwa Ushahidi nitakaotoa utakuwa ni Kweli, kweli tupu
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi ataongonzwa na Jenitreza Kitali
Wakili wa Serikali: unafanya Kazi wapi
Shahidi: Nafanya kazi Airtel Tanzania
Wakili wa Serikali: Unafanya Kazi kama nani
Shahidi: Nafanya kazi Airtel PLC
Wakili wa Serikali: Kama Nani
Shahidi: Awali niliajiriwa Kama Afisa wa Sheria. Baadae 2021 Mwezi March nilibadilishwa Cheo na Kuwa Meneja Kitengo cha Sheria
Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama kampuni ya AIRTEL PLC inajihusisha na nini
Shahidi: Inajihusisha Na Kupiga na Kupigiwa Simu, Huduma ya Miamala ya Fedha kupitia Airtel Money
Wakili wa Serikali: Sasa hiyo Kampuni ya AIRTEL PLC Inatoa hizo huduma kwa Watu gani
Shahidi: Ili Upate Huduma Kutoka Airtel TEL lazima uwe na Simu Handset na lazima uwe na Simcard ya AIRTEL\
Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi tueleze huyo Mteja anapataje hiyo simcard ya AIRTEL?
Shahidi: Ili uweze Kuwa Mteja lazima ufike katika Ofisi za Airtel au Kwa Mawakala wa Airtel utanunua Sim Card lakini Baada ya Hapo lazima ufanyi we Usajili wa ile Line
Wakili wa Serikali: Sasa Mteja amemunua Sim Card ya AIRTEL Lazima afanye Usajili, Je Usajili unafanyikaje
Shahidi: Lazima Mteja awepo katika Usajili, atajitambulisha Majina yake yote, lazima awe na Kitambulisho Chake cha Taifa yani NIDA card, anaye Msajili atachukia hiyo namba na Kuingiza Katika Mifumo yetu, Kisha Atatakiwa aweke Dole Gumba na Kisha Msajili wetu atafanya Uhakiki (Verification) Kupitia Mifumo ya NIDA ambayo imeunganishwa na Mifumo yetu ya NIDA Baada ya Verification na Uhakiki atapata Namba ya NIDA Kuhusiana na Mifumo yetu, baada ya Kupata Uhakiki Kutoka NIDA, Taarifa Zote zitaifadhiwa Katika Mifumo yetu na Baada ya Hapo Usajili utakuwa Umekamilika..
Wakili wa Serikali: Ifafanulie Mahakama Vizuri, umesema Afisa Usajili Wa Airtel atafanya Uhakiki Kutoka NIDA, JE Afisa Wenu Usajili anapataje Taarifa Kutoka NIDA na Kuingiza Katika Mifumo yetu, Kisha Atatakiwa aweke Dole Gumba na Kisha Msajili wetu atafanya Uhakiki (Verification) Kupitia Mifumo ya NIDA ambayo imeunganishwa na Mifumo yetu ya NIDA Baada ya Verification na Uhakiki atapata Namba ya NIDA Kuhusiana na Mifumo yetu, baada ya Kupata Uhakiki Kutoka NIDA, Taarifa Zote zitaifadhiwa Katika Mifumo yetu na Baada ya Hapo Usajili utakuwa Umekamilika..
Wakili wa Sehemu: Ifafanulie Mahakama Vizuri, umesema Afisa Usajili Wa Airtel atafanya Uhakiki Kutoka NIDA, JE Afisa Wenu Usajili anapataje Taarifa Kutoka NIDA
Shahidi: Ok, Ni kwamba Mifumo Yetu imeunganishwa...........
Wakili PETER KIBATALA: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Huyu shahidi ameingia akasema yeye ni Mwanasheria Hakuna Mahala yoyote ameongozwa Kusema Kama Ana utaalam wa Usajili..... Kwa Maoni yetu hiyo ni "HEAR SAY"
WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji ni mapema kwa Wakili kuibua Hiyo Hoja kama ni Hearsay au Lah
Jaji: Kwa nini Unasema ni Hearsay
Kibatala: kwa Sababu Yeye hajasema anafanya Jukumu la Usajili, Bali kasema Kuwa yeye ni Mwanasheria, Hakuna Mahala kasema ni Jukumu lake Kusajili
Jaji: Kwani Hearsay ni nini
Kibatala: Ni Jambo lolote ambalo halitoki Kwa Shahidi Bali kwa Third Party, Ndiyo Maana anasema Juu ya Afisa Msajili ambaye siyo yeye
Jaji: Mimi nafikiri ni Mapema Sana Kusema Ni Hearsay kwa sababu bado anaendelea Kutoa Ushahidi Wake
Wakili JEREMIAH MTOBESYA: Napata taabu Mheshimiwa Jaji Kwa sababu Shahidi Msingi Wake unajengwa na Matukio, Hakuna Mahala kasema Kama alishawahi Kupata Training au Lah, anachotoa Ni opinion tu....
Jaji: Sasa Si mtamuuliza Maswali Baadae Katika Kumuuliza Maswali, Kwa sababu Hatuwezi Kusema Tuukatae Ushahidi Wa Namna hii, Ni Hatari Kama Kila Shahidi akija Tuukatae Ushahidi Kwa sababu Hana Knowledge Ya Kutosha
JEREMIAH MTOBESYA: Mheshimiwa Jaji ni Hatari Sana Mbele Ya Sheria, Tufuate Sheria Inasemaje
Jaji: ninyi Mtapata Nafasi ya Kumfanyia Cross Examination, Tusubiri wakati huo
Wakili wa Serikali: Tuendelee Gladisi....
Shahidi: Majukumu yangu ni Kutoa Ushauri Juu ya Mambo Mbalimbali ya Kisheria, Lakini pia Kuandaa Tathimini Za Kisheria, Kuandaa Nyaraka Za Kisheria, Kufuatilia Kesi zinazohusu Kampuni ambazo zipo Mahakamani, Pia natoa Taarifa ninapoombwa, Juu ya Taarifa, za Kiuchunguzi Kwa Taasisi za Kiuchunguzi au Baada ya Kupokea Amri ya Mahakama Na hiyo Ndiyo Taarifa yangu Kwenye Maeneo hayo
Wakili wa Serikali: Sasa ieleze Mahakama Juu ya Mfumo wa MOBIQUIT Jinsi unavyofanya kazi katika Utunzaji Wa Kumbukumbu za Miamala
Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama Una Elimu gani ambayo inakuwezesha Kutekeleza Majukumu uliyo taja
Shahidi: Nina Shahada ya Sheria, Niliyopata Mwaka 2006 Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Nina Certificate ya Basic Skills za Computer ambayo nimepata Kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam UCC
NA pia nilipojiunga Airtel Mwaka 2004 nilipata Mafunzo ya Ziada ya Mifumo ninayotumia katika Majukumu yangu Nilipata Mafunzo ya Mfumo wa MOBIQUIT Kwa ajili ya Kuhifadhi Taarifa za Miamala Ya Fedha inayofanywa na Mteja Mafunzo hayo niliyapata Kwa muda Wa Wiki Mbili Airtel
Nilijifunzwa Mafunzo kuhusiana na Bussiness Intelligence, Mfumo ambao unatunza Mawasiliano ya Mteja Nilipofika Mwaka 2018/2019 nilipata Mafunzo ya Mfumo Unaitwa AGILE huu ni Mfumo wa Kutunza Taarifa za Usajili Wa Mteja wa Ki BIOMETRIC
Katika Mifumo hiyo tunafundishwa Mambo Mbalimbali Ikiwamo Jinsi Taarifa inavyo chukuliwa na Kuhifadhi wa katika Mifumo hiyo Usalama wa Mifumo Endapo Kuna tolea tatizo la Kimtandao au tatizo la Kiteknolojia ni nini tunatakiwa kufanya na Utuzanji Wa zile Taarifa
Na hiyo Ndiyo Taarifa yangu Kwenye Maeneo hayo
Wakili wa Serikali: Sasa ieleze Mahakama Juu ya Mfumo wa MOBIQUIT Jinsi unavyofanya kazi katika Utunzaji Wa Kumbukumbu za Miamala
Shahidi: Kama Nilivyotaja Mfumo wa MOBIQUIT, Mfumo huu unatunza Taarifa za Miamala pale ambapo Mteja anatuma au Kupokea Pesa Automatic, Mfumo unachukua Zile Taarifa Na Kwenda Kuzihifadhi Kwenye Sever na Baada ya hapo, Ilikuweza Kuzifikia hizi Taarifa unatumia Mfumo
Wakili wa Serikali: VIpi kuhusiana na Mfumo wa BUSSINESS INTELLIGENCE unafanyaje kazi
Shahidi: Pale ambapo Mteja anafanya Mawasiliano, Akiwa Karibu na Mnara, Automatically Mawasiliano Yake Yanachukuliwa Kupitia Mifumo na Kwenda Kutunza Kwenye Sever, Baada ya hapo Unapotoa Kuzifikia Hizi Taarifa Ndipo unatumia Mfumo wa BUSSINESS INTELLIGENCE
Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama ni Mawasiliano ya Namna gani Mfumo huu ndiyo unafanya kazi
Shahidi: Anapopiga simu, anapotuma Ujumbe Mfupi, anapopokea Simu na anapotaka Huduma za Internet, inakuwa Captured kwenye Mfumo wetu
Wakili wa Serikali: Shahidi Umetaja Mfumo Mwingine Wa AGILE Ifahamishe Sasa Mahakama ni Kitu gani
Shahidi: Anapopiga simu, anapotuma Ujumbe Mfupi, anapopokea Simu na anapotaka Huduma za Internet, inakuwa Captured kwenye Mfumo wetu
Wakili wa Serikali: Shahidi Umetaja Mfumo Mwingine Wa AGILE Ifahamishe Sasa Mahakama ni Kitu gani
Shahidi: Kama Nilivyoeleza Kuwa Mfumo wa AGILE unafanya kazi Mteja anapotaka Kwenda Kusajili Line yake, anapotaja Namba ya Utambulisho Wa NIDA Msajili anaingia namba za NIDA kwenye Mfumo, na Baada ya Taarifa hizi Mteja Kuweka Kidole Gumba zinakwenda Kuhakikiwa NIDA na Majibu Yatakurudi Kisha Taarifa Hizo zinaenda Kuhifadhi wa katika Mfumo wetu wa AGILE
Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama, Ka wewe ni Mtumiaji wa hii Mifumo ni Kwa Muda gani Umetuma Hii Mifumo
Shahidi: Kwa Upande wa MOBIQUIT na BUSSINESS Intelligence Niliweza Kutumia Mifumo hii tangu Nipo Jiumga na Airtel Mwaka 2004 na Kwa Upande wa AGILE ni tangu Mwaka 2019 Mpaka Sasa
Wakili wa Serikali: Sasa Wakati wa Ushahidi Umeeleza Mahakama Majukumu yako, Na Moja ya Majukumu yako ni Kutoa Taarifa Chunguzi kwa Vyombo Vya Uchunguzi, Ifahamishe Mahakama Taarifa unazo toa ni Kwa vipi na zipi
Shahidi: Kwanza Nikianza, Tunatoa Kwa Jeshi la Polisi, Tume ya Kupambana na Kuzuia Rushwa PCCB, Tume ya Kupambana na Madawa ya Kulevya, Mamlaka ya Mawasiliano na Financial Intelligence, na pale Mteja anapohitaji Kupewa Taarifa zake anaruhusiwa Kupewa
Wakili wa Serikali: taarifa ya namna gani?
Shahidi: Kila Taasisi Zinaomba Taarifa za Mawasiliano Kwa Ujumla nikimaanisha Kupiga na Kupokea Simu, Miamala ya Fedha na Pia Usajili wa line
Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama Utaratibu Wa Maombi huwa Unafanyikaje
Shahidi: Taratibu Kubwa ni Chombo Chunguzi Kuleta Barua ya Maombi ya Taarifa, Na Maombi haya Yana Wasilishwa Airtel Kupitia Upande wetu wa Mapokezi Ya kisha pokelewa yanaratibiwa Katika Register Yetu na Kupelekwa kwenye Kitengo Cha Sheria Kufanyiwa kazi na Baada ya Hapo Mkuu wa Kitengo Cha Sheria anatoa Ruhusa Kwa Muhusika Juu ya Kufanyia Kazi Maombi hayo
Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Barua ya Maombi Imeshafika na Mkuu wa Idara ameshasaini, Sasa Huyu aliye na Barua anafanya nini kazi
Shahidi: Lazima afanye Kazi Barua Kwa Kujiridhisha Kwanza, Juu ya anuani ya Taasisi Kama Barua hiyo Imeelekezwa kwa Airtel? , Je Barua hiyo Ina Nembo ya Taaaisi husika? , Taarifa hizo ni za Kiuchunguzi? Na Kama siyo Za Kiuchunguzi haiwezi Kufanyia Kazi, lakini Pia iwe na Sahihi na Muhuri Wa Taaaisi Husika
Wakili wa Serikali: Umesema Afisa Anahakiki Vitu Vyote ikiwemo Taarifa ya Kiuchunguzi, Nini Unaangalia Kujua Kama Kiuchunguzi au siyo
Shahidi: Barua zote za Kiuchunguzi zinataja Kosa. Kuna ambazo zinataja Jalada namba Ili Kuonyesha Kwamba Kuna Kesi inaendelea
Wakili wa Serikali: Ni watu gani hasa sasa wanao fanyia kazi Maombi
Shahidi: Ni watu wa Kitengo Cha Sheria
Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama sasa Kitengo cha Sheria ni watu Wangapi Wanashughulikia hizo kazi
Shahidi: Ni watu Wawili ambapo ni Mimi na Mwenzangu
Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Assignment Imefika Mezani Kwako na Maombi yote Umepangwa yamefuata Utaratibu
Shahidi: Ofisini Kwangu Kumeanganishwa na Mifumo Niliyotaja Kupitia Computer Yangu yangu MOBIQUIT, BUSSINESS INTELLIGENCE NA AGILE. Na Kila Mfumo ni Credentials zangu za Kuniruhusu Kuingia Kwa Kila Ninapo ingia
Wakili wa Serikali: USER name Unapata wapi?
Shahidi: Kitengo Cha IT ambapo ni Mimi Mwenyewe na Kitengo Cha IT Hakuna Mwingine anayefahamu
Wakili wa Serikali: Baada ya Kuingiza hizo Credentials Kitu gani kinafuata
Shahidi: Mfumo wenyewe Unakuletea Sasa sehemu Ya Kuingiza Namba ya Simu ya Mteja lakini pia Muda ambao Unataka zile Taarifa Na automatically Mfumo wenyewe Unachakata zile Taarifa na Kuleta Katika Computer Yako
Wakili wa Serikali: Taarifa zinachakatwa na Zinakuja Kwenye Page yako (Computer Yako) Je Zinakuwa zimehifadhiwa wapi
Shahidi: Zinakuwa zimehifadhiwa Katika saver, zinahifadhiwa na Mfumo
Wakili wa Serikali: Sasa Baada ya Taarifa Ku Display katika Page yako nini Kinafuata
Kesi ilishaisha yamebaki maigizo tu.Hivi hii kesi beberus wamejitoa?
Hadi hapa haya mahojiano ni upuuzi mtupu. Period!!!Salaam Wakuu,
Leo tarehe 13/01/2022 kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe inaendelea.
Kufahamu ilipoishia, soma hapa:Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe leo Januari 11, 2022. SP Jumanne Malangahe amaliza kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa hadi Januari 13, 2022
Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.
UPDATES:
Jaji ameingia, Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Ikupendeze Mheshimiwa Jaji naomba Kuwatambulisha
Pius Hilla Abdallah
Chavula Jenitreza
Kitali Nassoro
Katuga Esther
Martin Tulimanywa
Majige Ignasi Mwinuka
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Ikupendeza naitwa Peter Kibatala, nipo pamoja na wakili:
Jeremiah Mtobesya
John Mallya Dickson
Matata Seleman
Matauka Faraji
Mangula Gaston
Garubindi Maria
Mushi Khadija Aaron
Jaji anaita washtakiwa Wote wanne na wote wanaitika kuwa wapo Mahakamani
WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja na sote tupo tayari Kuendelea
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji na sisi pia tupo tayari Kuendelea
Jaji: atakuwa ni Shahidi Wa Ngapi huyo?
Wakili wa Serikali: Robert Kidando atakuwa Shahidi Wa 09 Mheshimiwa Jaji Shahidi anaingia ni Mdada amevaa Miwani Mweupe na Mrefu Kidogo Kavaa Koti la blue
Jaji: Majina yako
Shahidi: Gladisi Fimbari
Jaji: Miaka
Shahidi: 36
Jaji: Dini yako
Shahidi: Mkristo
Jaji: Kazi yako
Shahidi: Mwanasheria kampuni ya Airtel_Tanzania
Shahidi: Naapa Mbele ya Mahakama hii kuwa Ushahidi nitakaotoa utakuwa ni Kweli, kweli tupu
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi ataongonzwa na Jenitreza Kitali
Wakili wa Serikali: unafanya Kazi wapi
Shahidi: Nafanya kazi Airtel Tanzania
Wakili wa Serikali: Unafanya Kazi kama nani
Shahidi: Nafanya kazi Airtel PLC
Wakili wa Serikali: Kama Nani
Shahidi: Awali niliajiriwa Kama Afisa wa Sheria. Baadae 2021 Mwezi March nilibadilishwa Cheo na Kuwa Meneja Kitengo cha Sheria
Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama kampuni ya AIRTEL PLC inajihusisha na nini
Shahidi: Inajihusisha Na Kupiga na Kupigiwa Simu, Huduma ya Miamala ya Fedha kupitia Airtel Money
Wakili wa Serikali: Sasa hiyo Kampuni ya AIRTEL PLC Inatoa hizo huduma kwa Watu gani
Shahidi: Ili Upate Huduma Kutoka Airtel TEL lazima uwe na Simu Handset na lazima uwe na Simcard ya AIRTEL\
Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi tueleze huyo Mteja anapataje hiyo simcard ya AIRTEL?
Shahidi: Ili uweze Kuwa Mteja lazima ufike katika Ofisi za Airtel au Kwa Mawakala wa Airtel utanunua Sim Card lakini Baada ya Hapo lazima ufanyi we Usajili wa ile Line
Wakili wa Serikali: Sasa Mteja amemunua Sim Card ya AIRTEL Lazima afanye Usajili, Je Usajili unafanyikaje
Shahidi: Lazima Mteja awepo katika Usajili, atajitambulisha Majina yake yote, lazima awe na Kitambulisho Chake cha Taifa yani NIDA card, anaye Msajili atachukia hiyo namba na Kuingiza Katika Mifumo yetu, Kisha Atatakiwa aweke Dole Gumba na Kisha Msajili wetu atafanya Uhakiki (Verification) Kupitia Mifumo ya NIDA ambayo imeunganishwa na Mifumo yetu ya NIDA Baada ya Verification na Uhakiki atapata Namba ya NIDA Kuhusiana na Mifumo yetu, baada ya Kupata Uhakiki Kutoka NIDA, Taarifa Zote zitaifadhiwa Katika Mifumo yetu na Baada ya Hapo Usajili utakuwa Umekamilika..
Wakili wa Serikali: Ifafanulie Mahakama Vizuri, umesema Afisa Usajili Wa Airtel atafanya Uhakiki Kutoka NIDA, JE Afisa Wenu Usajili anapataje Taarifa Kutoka NIDA na Kuingiza Katika Mifumo yetu, Kisha Atatakiwa aweke Dole Gumba na Kisha Msajili wetu atafanya Uhakiki (Verification) Kupitia Mifumo ya NIDA ambayo imeunganishwa na Mifumo yetu ya NIDA Baada ya Verification na Uhakiki atapata Namba ya NIDA Kuhusiana na Mifumo yetu, baada ya Kupata Uhakiki Kutoka NIDA, Taarifa Zote zitaifadhiwa Katika Mifumo yetu na Baada ya Hapo Usajili utakuwa Umekamilika..
Wakili wa Sehemu: Ifafanulie Mahakama Vizuri, umesema Afisa Usajili Wa Airtel atafanya Uhakiki Kutoka NIDA, JE Afisa Wenu Usajili anapataje Taarifa Kutoka NIDA
Shahidi: Ok, Ni kwamba Mifumo Yetu imeunganishwa...........
Wakili PETER KIBATALA: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Huyu shahidi ameingia akasema yeye ni Mwanasheria Hakuna Mahala yoyote ameongozwa Kusema Kama Ana utaalam wa Usajili..... Kwa Maoni yetu hiyo ni "HEAR SAY"
WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji ni mapema kwa Wakili kuibua Hiyo Hoja kama ni Hearsay au Lah
Jaji: Kwa nini Unasema ni Hearsay
Kibatala: kwa Sababu Yeye hajasema anafanya Jukumu la Usajili, Bali kasema Kuwa yeye ni Mwanasheria, Hakuna Mahala kasema ni Jukumu lake Kusajili
Jaji: Kwani Hearsay ni nini
Kibatala: Ni Jambo lolote ambalo halitoki Kwa Shahidi Bali kwa Third Party, Ndiyo Maana anasema Juu ya Afisa Msajili ambaye siyo yeye
Jaji: Mimi nafikiri ni Mapema Sana Kusema Ni Hearsay kwa sababu bado anaendelea Kutoa Ushahidi Wake
Wakili JEREMIAH MTOBESYA: Napata taabu Mheshimiwa Jaji Kwa sababu Shahidi Msingi Wake unajengwa na Matukio, Hakuna Mahala kasema Kama alishawahi Kupata Training au Lah, anachotoa Ni opinion tu....
Jaji: Sasa Si mtamuuliza Maswali Baadae Katika Kumuuliza Maswali, Kwa sababu Hatuwezi Kusema Tuukatae Ushahidi Wa Namna hii, Ni Hatari Kama Kila Shahidi akija Tuukatae Ushahidi Kwa sababu Hana Knowledge Ya Kutosha
JEREMIAH MTOBESYA: Mheshimiwa Jaji ni Hatari Sana Mbele Ya Sheria, Tufuate Sheria Inasemaje
Jaji: ninyi Mtapata Nafasi ya Kumfanyia Cross Examination, Tusubiri wakati huo
Wakili wa Serikali: Tuendelee Gladisi....
Shahidi: Majukumu yangu ni Kutoa Ushauri Juu ya Mambo Mbalimbali ya Kisheria, Lakini pia Kuandaa Tathimini Za Kisheria, Kuandaa Nyaraka Za Kisheria, Kufuatilia Kesi zinazohusu Kampuni ambazo zipo Mahakamani, Pia natoa Taarifa ninapoombwa, Juu ya Taarifa, za Kiuchunguzi Kwa Taasisi za Kiuchunguzi au Baada ya Kupokea Amri ya Mahakama Na hiyo Ndiyo Taarifa yangu Kwenye Maeneo hayo
Wakili wa Serikali: Sasa ieleze Mahakama Juu ya Mfumo wa MOBIQUIT Jinsi unavyofanya kazi katika Utunzaji Wa Kumbukumbu za Miamala
Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama Una Elimu gani ambayo inakuwezesha Kutekeleza Majukumu uliyo taja
Shahidi: Nina Shahada ya Sheria, Niliyopata Mwaka 2006 Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Nina Certificate ya Basic Skills za Computer ambayo nimepata Kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam UCC
NA pia nilipojiunga Airtel Mwaka 2004 nilipata Mafunzo ya Ziada ya Mifumo ninayotumia katika Majukumu yangu Nilipata Mafunzo ya Mfumo wa MOBIQUIT Kwa ajili ya Kuhifadhi Taarifa za Miamala Ya Fedha inayofanywa na Mteja Mafunzo hayo niliyapata Kwa muda Wa Wiki Mbili Airtel
Nilijifunzwa Mafunzo kuhusiana na Bussiness Intelligence, Mfumo ambao unatunza Mawasiliano ya Mteja Nilipofika Mwaka 2018/2019 nilipata Mafunzo ya Mfumo Unaitwa AGILE huu ni Mfumo wa Kutunza Taarifa za Usajili Wa Mteja wa Ki BIOMETRIC
Katika Mifumo hiyo tunafundishwa Mambo Mbalimbali Ikiwamo Jinsi Taarifa inavyo chukuliwa na Kuhifadhi wa katika Mifumo hiyo Usalama wa Mifumo Endapo Kuna tolea tatizo la Kimtandao au tatizo la Kiteknolojia ni nini tunatakiwa kufanya na Utuzanji Wa zile Taarifa
Na hiyo Ndiyo Taarifa yangu Kwenye Maeneo hayo
Wakili wa Serikali: Sasa ieleze Mahakama Juu ya Mfumo wa MOBIQUIT Jinsi unavyofanya kazi katika Utunzaji Wa Kumbukumbu za Miamala
Shahidi: Kama Nilivyotaja Mfumo wa MOBIQUIT, Mfumo huu unatunza Taarifa za Miamala pale ambapo Mteja anatuma au Kupokea Pesa Automatic, Mfumo unachukua Zile Taarifa Na Kwenda Kuzihifadhi Kwenye Sever na Baada ya hapo, Ilikuweza Kuzifikia hizi Taarifa unatumia Mfumo
Wakili wa Serikali: VIpi kuhusiana na Mfumo wa BUSSINESS INTELLIGENCE unafanyaje kazi
Shahidi: Pale ambapo Mteja anafanya Mawasiliano, Akiwa Karibu na Mnara, Automatically Mawasiliano Yake Yanachukuliwa Kupitia Mifumo na Kwenda Kutunza Kwenye Sever, Baada ya hapo Unapotoa Kuzifikia Hizi Taarifa Ndipo unatumia Mfumo wa BUSSINESS INTELLIGENCE
Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama ni Mawasiliano ya Namna gani Mfumo huu ndiyo unafanya kazi
Shahidi: Anapopiga simu, anapotuma Ujumbe Mfupi, anapopokea Simu na anapotaka Huduma za Internet, inakuwa Captured kwenye Mfumo wetu
Wakili wa Serikali: Shahidi Umetaja Mfumo Mwingine Wa AGILE Ifahamishe Sasa Mahakama ni Kitu gani
Shahidi: Anapopiga simu, anapotuma Ujumbe Mfupi, anapopokea Simu na anapotaka Huduma za Internet, inakuwa Captured kwenye Mfumo wetu
Wakili wa Serikali: Shahidi Umetaja Mfumo Mwingine Wa AGILE Ifahamishe Sasa Mahakama ni Kitu gani
Shahidi: Kama Nilivyoeleza Kuwa Mfumo wa AGILE unafanya kazi Mteja anapotaka Kwenda Kusajili Line yake, anapotaja Namba ya Utambulisho Wa NIDA Msajili anaingia namba za NIDA kwenye Mfumo, na Baada ya Taarifa hizi Mteja Kuweka Kidole Gumba zinakwenda Kuhakikiwa NIDA na Majibu Yatakurudi Kisha Taarifa Hizo zinaenda Kuhifadhi wa katika Mfumo wetu wa AGILE
Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama, Ka wewe ni Mtumiaji wa hii Mifumo ni Kwa Muda gani Umetuma Hii Mifumo
Shahidi: Kwa Upande wa MOBIQUIT na BUSSINESS Intelligence Niliweza Kutumia Mifumo hii tangu Nipo Jiumga na Airtel Mwaka 2004 na Kwa Upande wa AGILE ni tangu Mwaka 2019 Mpaka Sasa
Wakili wa Serikali: Sasa Wakati wa Ushahidi Umeeleza Mahakama Majukumu yako, Na Moja ya Majukumu yako ni Kutoa Taarifa Chunguzi kwa Vyombo Vya Uchunguzi, Ifahamishe Mahakama Taarifa unazo toa ni Kwa vipi na zipi
Shahidi: Kwanza Nikianza, Tunatoa Kwa Jeshi la Polisi, Tume ya Kupambana na Kuzuia Rushwa PCCB, Tume ya Kupambana na Madawa ya Kulevya, Mamlaka ya Mawasiliano na Financial Intelligence, na pale Mteja anapohitaji Kupewa Taarifa zake anaruhusiwa Kupewa
Wakili wa Serikali: taarifa ya namna gani?
Shahidi: Kila Taasisi Zinaomba Taarifa za Mawasiliano Kwa Ujumla nikimaanisha Kupiga na Kupokea Simu, Miamala ya Fedha na Pia Usajili wa line
Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama Utaratibu Wa Maombi huwa Unafanyikaje
Shahidi: Taratibu Kubwa ni Chombo Chunguzi Kuleta Barua ya Maombi ya Taarifa, Na Maombi haya Yana Wasilishwa Airtel Kupitia Upande wetu wa Mapokezi Ya kisha pokelewa yanaratibiwa Katika Register Yetu na Kupelekwa kwenye Kitengo Cha Sheria Kufanyiwa kazi na Baada ya Hapo Mkuu wa Kitengo Cha Sheria anatoa Ruhusa Kwa Muhusika Juu ya Kufanyia Kazi Maombi hayo
Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Barua ya Maombi Imeshafika na Mkuu wa Idara ameshasaini, Sasa Huyu aliye na Barua anafanya nini kazi
Shahidi: Lazima afanye Kazi Barua Kwa Kujiridhisha Kwanza, Juu ya anuani ya Taasisi Kama Barua hiyo Imeelekezwa kwa Airtel? , Je Barua hiyo Ina Nembo ya Taaaisi husika? , Taarifa hizo ni za Kiuchunguzi? Na Kama siyo Za Kiuchunguzi haiwezi Kufanyia Kazi, lakini Pia iwe na Sahihi na Muhuri Wa Taaaisi Husika
Wakili wa Serikali: Umesema Afisa Anahakiki Vitu Vyote ikiwemo Taarifa ya Kiuchunguzi, Nini Unaangalia Kujua Kama Kiuchunguzi au siyo
Shahidi: Barua zote za Kiuchunguzi zinataja Kosa. Kuna ambazo zinataja Jalada namba Ili Kuonyesha Kwamba Kuna Kesi inaendelea
Wakili wa Serikali: Ni watu gani hasa sasa wanao fanyia kazi Maombi
Shahidi: Ni watu wa Kitengo Cha Sheria
Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama sasa Kitengo cha Sheria ni watu Wangapi Wanashughulikia hizo kazi
Shahidi: Ni watu Wawili ambapo ni Mimi na Mwenzangu
Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Assignment Imefika Mezani Kwako na Maombi yote Umepangwa yamefuata Utaratibu
Shahidi: Ofisini Kwangu Kumeanganishwa na Mifumo Niliyotaja Kupitia Computer Yangu yangu MOBIQUIT, BUSSINESS INTELLIGENCE NA AGILE. Na Kila Mfumo ni Credentials zangu za Kuniruhusu Kuingia Kwa Kila Ninapo ingia
Wakili wa Serikali: USER name Unapata wapi?
Shahidi: Kitengo Cha IT ambapo ni Mimi Mwenyewe na Kitengo Cha IT Hakuna Mwingine anayefahamu
Wakili wa Serikali: Baada ya Kuingiza hizo Credentials Kitu gani kinafuata
Shahidi: Mfumo wenyewe Unakuletea Sasa sehemu Ya Kuingiza Namba ya Simu ya Mteja lakini pia Muda ambao Unataka zile Taarifa Na automatically Mfumo wenyewe Unachakata zile Taarifa na Kuleta Katika Computer Yako
Wakili wa Serikali: Taarifa zinachakatwa na Zinakuja Kwenye Page yako (Computer Yako) Je Zinakuwa zimehifadhiwa wapi
Shahidi: Zinakuwa zimehifadhiwa Katika saver, zinahifadhiwa na Mfumo
Wakili wa Serikali: Sasa Baada ya Taarifa Ku Display katika Page yako nini Kinafuata
Amina Bwana Mungu wa Israel Mungu asiyeshindwa na Jambo lolote atatusimamia kwa Haki.Mungu inyoshee Mkono CHADEMA
Yeah mawakili wake wamejikita kujibu hoja zilizoibuliwa wakati wa shahidi wa Tigo.Shahidi wa Leo kajiandaa kujibu maswali ambayo aliulizwa mtu wa Tigo sasa Anakutana na Wakili Kibatala na Wenzie wamekuja na Maswali tofauti na Nondo zingine [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Yeah mawakili wake wamejikita kujibu hoja zilizoibuliwa wakati wa shahidi wa Tigo.
True,nawasubiri wakina Kibatala.Hadi hapa haya mahojiano ni upuuzi mtupu. Period!!!
Jaji naomba uandike hiyo.Mbege Moshi ni sawa na Maji ya kunywa Dar es salaam!