Yaliyojiri Mahakamani katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, Januari 13, 2022. Kesi imeahirishwa hadi Januari 14 2022

Yaliyojiri Mahakamani katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, Januari 13, 2022. Kesi imeahirishwa hadi Januari 14 2022

Wastage of time and other Tax Payers Moneees.If Kingais' and co has'nt presented any solid witness so far,who else can do?
Kesi ya mchongo!
YOUR OPINION IS NOT OUR OPINION NOR THE FACT
 
Haya makampuni ya simu yame compromise privacy za wateja wao ili iweje?Nao wametekwa na wasiojulikana?Vipi kuhusu biashara zao kuanguka?
Watanzania tunadukuliwa sote.
Mtanzania mfanye lolote kwake sawa tu haoni shida!
 
Salaam Wakuu,

Leo tarehe 13/01/2022 kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe inaendelea.

Kufahamu ilipoishia, soma hapa:Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe leo Januari 11, 2022. SP Jumanne Malangahe amaliza kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa hadi Januari 13, 2022

Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.


UPDATES:

Jaji ameingia, Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Ikupendeze Mheshimiwa Jaji naomba Kuwatambulisha

Pius Hilla Abdallah
Chavula Jenitreza
Kitali Nassoro
Katuga Esther
Martin Tulimanywa
Majige Ignasi Mwinuka

Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Ikupendeza naitwa Peter Kibatala, nipo pamoja na wakili:

Jeremiah Mtobesya
John Mallya Dickson
Matata Seleman
Matauka Faraji
Mangula Gaston
Garubindi Maria
Mushi Khadija Aaron

Jaji anaita washtakiwa Wote wanne na wote wanaitika kuwa wapo Mahakamani

WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja na sote tupo tayari Kuendelea

Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji na sisi pia tupo tayari Kuendelea

Jaji: atakuwa ni Shahidi Wa Ngapi huyo?

Wakili wa Serikali: Robert Kidando atakuwa Shahidi Wa 09 Mheshimiwa Jaji Shahidi anaingia ni Mdada amevaa Miwani Mweupe na Mrefu Kidogo Kavaa Koti la blue

Jaji: Majina yako

Shahidi: Gladisi Fimbari

Jaji: Miaka

Shahidi: 36

Jaji: Dini yako

Shahidi: Mkristo

Jaji: Kazi yako

Shahidi: Mwanasheria kampuni ya Airtel_Tanzania

Shahidi: Naapa Mbele ya Mahakama hii kuwa Ushahidi nitakaotoa utakuwa ni Kweli, kweli tupu

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi ataongonzwa na Jenitreza Kitali

Wakili wa Serikali: unafanya Kazi wapi

Shahidi: Nafanya kazi Airtel Tanzania

Wakili wa Serikali: Unafanya Kazi kama nani

Shahidi: Nafanya kazi Airtel PLC

Wakili wa Serikali: Kama Nani

Shahidi: Awali niliajiriwa Kama Afisa wa Sheria. Baadae 2021 Mwezi March nilibadilishwa Cheo na Kuwa Meneja Kitengo cha Sheria

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama kampuni ya AIRTEL PLC inajihusisha na nini

Shahidi: Inajihusisha Na Kupiga na Kupigiwa Simu, Huduma ya Miamala ya Fedha kupitia Airtel Money

Wakili wa Serikali: Sasa hiyo Kampuni ya AIRTEL PLC Inatoa hizo huduma kwa Watu gani

Shahidi: Ili Upate Huduma Kutoka Airtel TEL lazima uwe na Simu Handset na lazima uwe na Simcard ya AIRTEL\

Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi tueleze huyo Mteja anapataje hiyo simcard ya AIRTEL?

Shahidi: Ili uweze Kuwa Mteja lazima ufike katika Ofisi za Airtel au Kwa Mawakala wa Airtel utanunua Sim Card lakini Baada ya Hapo lazima ufanyi we Usajili wa ile Line

Wakili wa Serikali: Sasa Mteja amemunua Sim Card ya AIRTEL Lazima afanye Usajili, Je Usajili unafanyikaje

Shahidi: Lazima Mteja awepo katika Usajili, atajitambulisha Majina yake yote, lazima awe na Kitambulisho Chake cha Taifa yani NIDA card, anaye Msajili atachukia hiyo namba na Kuingiza Katika Mifumo yetu, Kisha Atatakiwa aweke Dole Gumba na Kisha Msajili wetu atafanya Uhakiki (Verification) Kupitia Mifumo ya NIDA ambayo imeunganishwa na Mifumo yetu ya NIDA Baada ya Verification na Uhakiki atapata Namba ya NIDA Kuhusiana na Mifumo yetu, baada ya Kupata Uhakiki Kutoka NIDA, Taarifa Zote zitaifadhiwa Katika Mifumo yetu na Baada ya Hapo Usajili utakuwa Umekamilika..

Wakili wa Serikali: Ifafanulie Mahakama Vizuri, umesema Afisa Usajili Wa Airtel atafanya Uhakiki Kutoka NIDA, JE Afisa Wenu Usajili anapataje Taarifa Kutoka NIDA na Kuingiza Katika Mifumo yetu, Kisha Atatakiwa aweke Dole Gumba na Kisha Msajili wetu atafanya Uhakiki (Verification) Kupitia Mifumo ya NIDA ambayo imeunganishwa na Mifumo yetu ya NIDA Baada ya Verification na Uhakiki atapata Namba ya NIDA Kuhusiana na Mifumo yetu, baada ya Kupata Uhakiki Kutoka NIDA, Taarifa Zote zitaifadhiwa Katika Mifumo yetu na Baada ya Hapo Usajili utakuwa Umekamilika..

Wakili wa Sehemu: Ifafanulie Mahakama Vizuri, umesema Afisa Usajili Wa Airtel atafanya Uhakiki Kutoka NIDA, JE Afisa Wenu Usajili anapataje Taarifa Kutoka NIDA

Shahidi: Ok, Ni kwamba Mifumo Yetu imeunganishwa...........

Wakili PETER KIBATALA: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Huyu shahidi ameingia akasema yeye ni Mwanasheria Hakuna Mahala yoyote ameongozwa Kusema Kama Ana utaalam wa Usajili..... Kwa Maoni yetu hiyo ni "HEAR SAY"

WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji ni mapema kwa Wakili kuibua Hiyo Hoja kama ni Hearsay au Lah

Jaji: Kwa nini Unasema ni Hearsay

Kibatala: kwa Sababu Yeye hajasema anafanya Jukumu la Usajili, Bali kasema Kuwa yeye ni Mwanasheria, Hakuna Mahala kasema ni Jukumu lake Kusajili

Jaji: Kwani Hearsay ni nini

Kibatala: Ni Jambo lolote ambalo halitoki Kwa Shahidi Bali kwa Third Party, Ndiyo Maana anasema Juu ya Afisa Msajili ambaye siyo yeye

Jaji: Mimi nafikiri ni Mapema Sana Kusema Ni Hearsay kwa sababu bado anaendelea Kutoa Ushahidi Wake

Wakili JEREMIAH MTOBESYA: Napata taabu Mheshimiwa Jaji Kwa sababu Shahidi Msingi Wake unajengwa na Matukio, Hakuna Mahala kasema Kama alishawahi Kupata Training au Lah, anachotoa Ni opinion tu....

Jaji: Sasa Si mtamuuliza Maswali Baadae Katika Kumuuliza Maswali, Kwa sababu Hatuwezi Kusema Tuukatae Ushahidi Wa Namna hii, Ni Hatari Kama Kila Shahidi akija Tuukatae Ushahidi Kwa sababu Hana Knowledge Ya Kutosha

JEREMIAH MTOBESYA: Mheshimiwa Jaji ni Hatari Sana Mbele Ya Sheria, Tufuate Sheria Inasemaje

Jaji: ninyi Mtapata Nafasi ya Kumfanyia Cross Examination, Tusubiri wakati huo

Wakili wa Serikali: Tuendelee Gladisi....

Shahidi: Majukumu yangu ni Kutoa Ushauri Juu ya Mambo Mbalimbali ya Kisheria, Lakini pia Kuandaa Tathimini Za Kisheria, Kuandaa Nyaraka Za Kisheria, Kufuatilia Kesi zinazohusu Kampuni ambazo zipo Mahakamani, Pia natoa Taarifa ninapoombwa, Juu ya Taarifa, za Kiuchunguzi Kwa Taasisi za Kiuchunguzi au Baada ya Kupokea Amri ya Mahakama Na hiyo Ndiyo Taarifa yangu Kwenye Maeneo hayo

Wakili wa Serikali: Sasa ieleze Mahakama Juu ya Mfumo wa MOBIQUIT Jinsi unavyofanya kazi katika Utunzaji Wa Kumbukumbu za Miamala

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama Una Elimu gani ambayo inakuwezesha Kutekeleza Majukumu uliyo taja

Shahidi: Nina Shahada ya Sheria, Niliyopata Mwaka 2006 Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Nina Certificate ya Basic Skills za Computer ambayo nimepata Kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam UCC

NA pia nilipojiunga Airtel Mwaka 2004 nilipata Mafunzo ya Ziada ya Mifumo ninayotumia katika Majukumu yangu Nilipata Mafunzo ya Mfumo wa MOBIQUIT Kwa ajili ya Kuhifadhi Taarifa za Miamala Ya Fedha inayofanywa na Mteja Mafunzo hayo niliyapata Kwa muda Wa Wiki Mbili Airtel

Nilijifunzwa Mafunzo kuhusiana na Bussiness Intelligence, Mfumo ambao unatunza Mawasiliano ya Mteja Nilipofika Mwaka 2018/2019 nilipata Mafunzo ya Mfumo Unaitwa AGILE huu ni Mfumo wa Kutunza Taarifa za Usajili Wa Mteja wa Ki BIOMETRIC

Katika Mifumo hiyo tunafundishwa Mambo Mbalimbali Ikiwamo Jinsi Taarifa inavyo chukuliwa na Kuhifadhi wa katika Mifumo hiyo Usalama wa Mifumo Endapo Kuna tolea tatizo la Kimtandao au tatizo la Kiteknolojia ni nini tunatakiwa kufanya na Utuzanji Wa zile Taarifa

Na hiyo Ndiyo Taarifa yangu Kwenye Maeneo hayo

Wakili wa Serikali: Sasa ieleze Mahakama Juu ya Mfumo wa MOBIQUIT Jinsi unavyofanya kazi katika Utunzaji Wa Kumbukumbu za Miamala

Shahidi: Kama Nilivyotaja Mfumo wa MOBIQUIT, Mfumo huu unatunza Taarifa za Miamala pale ambapo Mteja anatuma au Kupokea Pesa Automatic, Mfumo unachukua Zile Taarifa Na Kwenda Kuzihifadhi Kwenye Sever na Baada ya hapo, Ilikuweza Kuzifikia hizi Taarifa unatumia Mfumo

Wakili wa Serikali: VIpi kuhusiana na Mfumo wa BUSSINESS INTELLIGENCE unafanyaje kazi

Shahidi: Pale ambapo Mteja anafanya Mawasiliano, Akiwa Karibu na Mnara, Automatically Mawasiliano Yake Yanachukuliwa Kupitia Mifumo na Kwenda Kutunza Kwenye Sever, Baada ya hapo Unapotoa Kuzifikia Hizi Taarifa Ndipo unatumia Mfumo wa BUSSINESS INTELLIGENCE

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama ni Mawasiliano ya Namna gani Mfumo huu ndiyo unafanya kazi

Shahidi: Anapopiga simu, anapotuma Ujumbe Mfupi, anapopokea Simu na anapotaka Huduma za Internet, inakuwa Captured kwenye Mfumo wetu

Wakili wa Serikali: Shahidi Umetaja Mfumo Mwingine Wa AGILE Ifahamishe Sasa Mahakama ni Kitu gani

Shahidi: Anapopiga simu, anapotuma Ujumbe Mfupi, anapopokea Simu na anapotaka Huduma za Internet, inakuwa Captured kwenye Mfumo wetu

Wakili wa Serikali: Shahidi Umetaja Mfumo Mwingine Wa AGILE Ifahamishe Sasa Mahakama ni Kitu gani

Shahidi: Kama Nilivyoeleza Kuwa Mfumo wa AGILE unafanya kazi Mteja anapotaka Kwenda Kusajili Line yake, anapotaja Namba ya Utambulisho Wa NIDA Msajili anaingia namba za NIDA kwenye Mfumo, na Baada ya Taarifa hizi Mteja Kuweka Kidole Gumba zinakwenda Kuhakikiwa NIDA na Majibu Yatakurudi Kisha Taarifa Hizo zinaenda Kuhifadhi wa katika Mfumo wetu wa AGILE

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama, Ka wewe ni Mtumiaji wa hii Mifumo ni Kwa Muda gani Umetuma Hii Mifumo

Shahidi: Kwa Upande wa MOBIQUIT na BUSSINESS Intelligence Niliweza Kutumia Mifumo hii tangu Nipo Jiumga na Airtel Mwaka 2004 na Kwa Upande wa AGILE ni tangu Mwaka 2019 Mpaka Sasa

Wakili wa Serikali: Sasa Wakati wa Ushahidi Umeeleza Mahakama Majukumu yako, Na Moja ya Majukumu yako ni Kutoa Taarifa Chunguzi kwa Vyombo Vya Uchunguzi, Ifahamishe Mahakama Taarifa unazo toa ni Kwa vipi na zipi

Shahidi: Kwanza Nikianza, Tunatoa Kwa Jeshi la Polisi, Tume ya Kupambana na Kuzuia Rushwa PCCB, Tume ya Kupambana na Madawa ya Kulevya, Mamlaka ya Mawasiliano na Financial Intelligence, na pale Mteja anapohitaji Kupewa Taarifa zake anaruhusiwa Kupewa

Wakili wa Serikali: taarifa ya namna gani?

Shahidi: Kila Taasisi Zinaomba Taarifa za Mawasiliano Kwa Ujumla nikimaanisha Kupiga na Kupokea Simu, Miamala ya Fedha na Pia Usajili wa line

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama Utaratibu Wa Maombi huwa Unafanyikaje

Shahidi: Taratibu Kubwa ni Chombo Chunguzi Kuleta Barua ya Maombi ya Taarifa, Na Maombi haya Yana Wasilishwa Airtel Kupitia Upande wetu wa Mapokezi Ya kisha pokelewa yanaratibiwa Katika Register Yetu na Kupelekwa kwenye Kitengo Cha Sheria Kufanyiwa kazi na Baada ya Hapo Mkuu wa Kitengo Cha Sheria anatoa Ruhusa Kwa Muhusika Juu ya Kufanyia Kazi Maombi hayo

Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Barua ya Maombi Imeshafika na Mkuu wa Idara ameshasaini, Sasa Huyu aliye na Barua anafanya nini kazi

Shahidi: Lazima afanye Kazi Barua Kwa Kujiridhisha Kwanza, Juu ya anuani ya Taasisi Kama Barua hiyo Imeelekezwa kwa Airtel? , Je Barua hiyo Ina Nembo ya Taaaisi husika? , Taarifa hizo ni za Kiuchunguzi? Na Kama siyo Za Kiuchunguzi haiwezi Kufanyia Kazi, lakini Pia iwe na Sahihi na Muhuri Wa Taaaisi Husika

Wakili wa Serikali: Umesema Afisa Anahakiki Vitu Vyote ikiwemo Taarifa ya Kiuchunguzi, Nini Unaangalia Kujua Kama Kiuchunguzi au siyo

Shahidi: Barua zote za Kiuchunguzi zinataja Kosa. Kuna ambazo zinataja Jalada namba Ili Kuonyesha Kwamba Kuna Kesi inaendelea

Wakili wa Serikali: Ni watu gani hasa sasa wanao fanyia kazi Maombi

Shahidi: Ni watu wa Kitengo Cha Sheria

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama sasa Kitengo cha Sheria ni watu Wangapi Wanashughulikia hizo kazi

Shahidi: Ni watu Wawili ambapo ni Mimi na Mwenzangu

Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Assignment Imefika Mezani Kwako na Maombi yote Umepangwa yamefuata Utaratibu

Shahidi: Ofisini Kwangu Kumeanganishwa na Mifumo Niliyotaja Kupitia Computer Yangu yangu MOBIQUIT, BUSSINESS INTELLIGENCE NA AGILE. Na Kila Mfumo ni Credentials zangu za Kuniruhusu Kuingia Kwa Kila Ninapo ingia

Wakili wa Serikali: USER name Unapata wapi?

Shahidi: Kitengo Cha IT ambapo ni Mimi Mwenyewe na Kitengo Cha IT Hakuna Mwingine anayefahamu
Asante na pongezi sana kwenu Team ya Upashanaji habari. Mmekuwa wamisionari kweli kweli
 
Salaam Wakuu,

Leo tarehe 13/01/2022 kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe inaendelea.

Kufahamu ilipoishia, soma hapa:Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe leo Januari 11, 2022. SP Jumanne Malangahe amaliza kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa hadi Januari 13, 2022

Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.


UPDATES:

Jaji ameingia, Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Ikupendeze Mheshimiwa Jaji naomba Kuwatambulisha

Pius Hilla Abdallah
Chavula Jenitreza
Kitali Nassoro
Katuga Esther
Martin Tulimanywa
Majige Ignasi Mwinuka

Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Ikupendeza naitwa Peter Kibatala, nipo pamoja na wakili:

Jeremiah Mtobesya
John Mallya Dickson
Matata Seleman
Matauka Faraji
Mangula Gaston
Garubindi Maria
Mushi Khadija Aaron

Jaji anaita washtakiwa Wote wanne na wote wanaitika kuwa wapo Mahakamani

WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja na sote tupo tayari Kuendelea

Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji na sisi pia tupo tayari Kuendelea

Jaji: atakuwa ni Shahidi Wa Ngapi huyo?

Wakili wa Serikali: Robert Kidando atakuwa Shahidi Wa 09 Mheshimiwa Jaji Shahidi anaingia ni Mdada amevaa Miwani Mweupe na Mrefu Kidogo Kavaa Koti la blue

Jaji: Majina yako

Shahidi: Gladisi Fimbari

Jaji: Miaka

Shahidi: 36

Jaji: Dini yako

Shahidi: Mkristo

Jaji: Kazi yako

Shahidi: Mwanasheria kampuni ya Airtel_Tanzania

Shahidi: Naapa Mbele ya Mahakama hii kuwa Ushahidi nitakaotoa utakuwa ni Kweli, kweli tupu

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi ataongonzwa na Jenitreza Kitali

Wakili wa Serikali: unafanya Kazi wapi

Shahidi: Nafanya kazi Airtel Tanzania

Wakili wa Serikali: Unafanya Kazi kama nani

Shahidi: Nafanya kazi Airtel PLC

Wakili wa Serikali: Kama Nani

Shahidi: Awali niliajiriwa Kama Afisa wa Sheria. Baadae 2021 Mwezi March nilibadilishwa Cheo na Kuwa Meneja Kitengo cha Sheria

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama kampuni ya AIRTEL PLC inajihusisha na nini

Shahidi: Inajihusisha Na Kupiga na Kupigiwa Simu, Huduma ya Miamala ya Fedha kupitia Airtel Money

Wakili wa Serikali: Sasa hiyo Kampuni ya AIRTEL PLC Inatoa hizo huduma kwa Watu gani

Shahidi: Ili Upate Huduma Kutoka Airtel TEL lazima uwe na Simu Handset na lazima uwe na Simcard ya AIRTEL\

Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi tueleze huyo Mteja anapataje hiyo simcard ya AIRTEL?

Shahidi: Ili uweze Kuwa Mteja lazima ufike katika Ofisi za Airtel au Kwa Mawakala wa Airtel utanunua Sim Card lakini Baada ya Hapo lazima ufanyi we Usajili wa ile Line

Wakili wa Serikali: Sasa Mteja amemunua Sim Card ya AIRTEL Lazima afanye Usajili, Je Usajili unafanyikaje

Shahidi: Lazima Mteja awepo katika Usajili, atajitambulisha Majina yake yote, lazima awe na Kitambulisho Chake cha Taifa yani NIDA card, anaye Msajili atachukia hiyo namba na Kuingiza Katika Mifumo yetu, Kisha Atatakiwa aweke Dole Gumba na Kisha Msajili wetu atafanya Uhakiki (Verification) Kupitia Mifumo ya NIDA ambayo imeunganishwa na Mifumo yetu ya NIDA Baada ya Verification na Uhakiki atapata Namba ya NIDA Kuhusiana na Mifumo yetu, baada ya Kupata Uhakiki Kutoka NIDA, Taarifa Zote zitaifadhiwa Katika Mifumo yetu na Baada ya Hapo Usajili utakuwa Umekamilika..

Wakili wa Serikali: Ifafanulie Mahakama Vizuri, umesema Afisa Usajili Wa Airtel atafanya Uhakiki Kutoka NIDA, JE Afisa Wenu Usajili anapataje Taarifa Kutoka NIDA na Kuingiza Katika Mifumo yetu, Kisha Atatakiwa aweke Dole Gumba na Kisha Msajili wetu atafanya Uhakiki (Verification) Kupitia Mifumo ya NIDA ambayo imeunganishwa na Mifumo yetu ya NIDA Baada ya Verification na Uhakiki atapata Namba ya NIDA Kuhusiana na Mifumo yetu, baada ya Kupata Uhakiki Kutoka NIDA, Taarifa Zote zitaifadhiwa Katika Mifumo yetu na Baada ya Hapo Usajili utakuwa Umekamilika..

Wakili wa Sehemu: Ifafanulie Mahakama Vizuri, umesema Afisa Usajili Wa Airtel atafanya Uhakiki Kutoka NIDA, JE Afisa Wenu Usajili anapataje Taarifa Kutoka NIDA

Shahidi: Ok, Ni kwamba Mifumo Yetu imeunganishwa...........

Wakili PETER KIBATALA: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Huyu shahidi ameingia akasema yeye ni Mwanasheria Hakuna Mahala yoyote ameongozwa Kusema Kama Ana utaalam wa Usajili..... Kwa Maoni yetu hiyo ni "HEAR SAY"

WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji ni mapema kwa Wakili kuibua Hiyo Hoja kama ni Hearsay au Lah

Jaji: Kwa nini Unasema ni Hearsay

Kibatala: kwa Sababu Yeye hajasema anafanya Jukumu la Usajili, Bali kasema Kuwa yeye ni Mwanasheria, Hakuna Mahala kasema ni Jukumu lake Kusajili

Jaji: Kwani Hearsay ni nini

Kibatala: Ni Jambo lolote ambalo halitoki Kwa Shahidi Bali kwa Third Party, Ndiyo Maana anasema Juu ya Afisa Msajili ambaye siyo yeye

Jaji: Mimi nafikiri ni Mapema Sana Kusema Ni Hearsay kwa sababu bado anaendelea Kutoa Ushahidi Wake

Wakili JEREMIAH MTOBESYA: Napata taabu Mheshimiwa Jaji Kwa sababu Shahidi Msingi Wake unajengwa na Matukio, Hakuna Mahala kasema Kama alishawahi Kupata Training au Lah, anachotoa Ni opinion tu....

Jaji: Sasa Si mtamuuliza Maswali Baadae Katika Kumuuliza Maswali, Kwa sababu Hatuwezi Kusema Tuukatae Ushahidi Wa Namna hii, Ni Hatari Kama Kila Shahidi akija Tuukatae Ushahidi Kwa sababu Hana Knowledge Ya Kutosha

JEREMIAH MTOBESYA: Mheshimiwa Jaji ni Hatari Sana Mbele Ya Sheria, Tufuate Sheria Inasemaje

Jaji: ninyi Mtapata Nafasi ya Kumfanyia Cross Examination, Tusubiri wakati huo

Wakili wa Serikali: Tuendelee Gladisi....

Shahidi: Majukumu yangu ni Kutoa Ushauri Juu ya Mambo Mbalimbali ya Kisheria, Lakini pia Kuandaa Tathimini Za Kisheria, Kuandaa Nyaraka Za Kisheria, Kufuatilia Kesi zinazohusu Kampuni ambazo zipo Mahakamani, Pia natoa Taarifa ninapoombwa, Juu ya Taarifa, za Kiuchunguzi Kwa Taasisi za Kiuchunguzi au Baada ya Kupokea Amri ya Mahakama Na hiyo Ndiyo Taarifa yangu Kwenye Maeneo hayo

Wakili wa Serikali: Sasa ieleze Mahakama Juu ya Mfumo wa MOBIQUIT Jinsi unavyofanya kazi katika Utunzaji Wa Kumbukumbu za Miamala

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama Una Elimu gani ambayo inakuwezesha Kutekeleza Majukumu uliyo taja

Shahidi: Nina Shahada ya Sheria, Niliyopata Mwaka 2006 Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Nina Certificate ya Basic Skills za Computer ambayo nimepata Kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam UCC

NA pia nilipojiunga Airtel Mwaka 2004 nilipata Mafunzo ya Ziada ya Mifumo ninayotumia katika Majukumu yangu Nilipata Mafunzo ya Mfumo wa MOBIQUIT Kwa ajili ya Kuhifadhi Taarifa za Miamala Ya Fedha inayofanywa na Mteja Mafunzo hayo niliyapata Kwa muda Wa Wiki Mbili Airtel

Nilijifunzwa Mafunzo kuhusiana na Bussiness Intelligence, Mfumo ambao unatunza Mawasiliano ya Mteja Nilipofika Mwaka 2018/2019 nilipata Mafunzo ya Mfumo Unaitwa AGILE huu ni Mfumo wa Kutunza Taarifa za Usajili Wa Mteja wa Ki BIOMETRIC

Katika Mifumo hiyo tunafundishwa Mambo Mbalimbali Ikiwamo Jinsi Taarifa inavyo chukuliwa na Kuhifadhi wa katika Mifumo hiyo Usalama wa Mifumo Endapo Kuna tolea tatizo la Kimtandao au tatizo la Kiteknolojia ni nini tunatakiwa kufanya na Utuzanji Wa zile Taarifa

Na hiyo Ndiyo Taarifa yangu Kwenye Maeneo hayo

Wakili wa Serikali: Sasa ieleze Mahakama Juu ya Mfumo wa MOBIQUIT Jinsi unavyofanya kazi katika Utunzaji Wa Kumbukumbu za Miamala

Shahidi: Kama Nilivyotaja Mfumo wa MOBIQUIT, Mfumo huu unatunza Taarifa za Miamala pale ambapo Mteja anatuma au Kupokea Pesa Automatic, Mfumo unachukua Zile Taarifa Na Kwenda Kuzihifadhi Kwenye Sever na Baada ya hapo, Ilikuweza Kuzifikia hizi Taarifa unatumia Mfumo

Wakili wa Serikali: VIpi kuhusiana na Mfumo wa BUSSINESS INTELLIGENCE unafanyaje kazi

Shahidi: Pale ambapo Mteja anafanya Mawasiliano, Akiwa Karibu na Mnara, Automatically Mawasiliano Yake Yanachukuliwa Kupitia Mifumo na Kwenda Kutunza Kwenye Sever, Baada ya hapo Unapotoa Kuzifikia Hizi Taarifa Ndipo unatumia Mfumo wa BUSSINESS INTELLIGENCE

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama ni Mawasiliano ya Namna gani Mfumo huu ndiyo unafanya kazi

Shahidi: Anapopiga simu, anapotuma Ujumbe Mfupi, anapopokea Simu na anapotaka Huduma za Internet, inakuwa Captured kwenye Mfumo wetu

Wakili wa Serikali: Shahidi Umetaja Mfumo Mwingine Wa AGILE Ifahamishe Sasa Mahakama ni Kitu gani

Shahidi: Anapopiga simu, anapotuma Ujumbe Mfupi, anapopokea Simu na anapotaka Huduma za Internet, inakuwa Captured kwenye Mfumo wetu

Wakili wa Serikali: Shahidi Umetaja Mfumo Mwingine Wa AGILE Ifahamishe Sasa Mahakama ni Kitu gani

Shahidi: Kama Nilivyoeleza Kuwa Mfumo wa AGILE unafanya kazi Mteja anapotaka Kwenda Kusajili Line yake, anapotaja Namba ya Utambulisho Wa NIDA Msajili anaingia namba za NIDA kwenye Mfumo, na Baada ya Taarifa hizi Mteja Kuweka Kidole Gumba zinakwenda Kuhakikiwa NIDA na Majibu Yatakurudi Kisha Taarifa Hizo zinaenda Kuhifadhi wa katika Mfumo wetu wa AGILE

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama, Ka wewe ni Mtumiaji wa hii Mifumo ni Kwa Muda gani Umetuma Hii Mifumo

Shahidi: Kwa Upande wa MOBIQUIT na BUSSINESS Intelligence Niliweza Kutumia Mifumo hii tangu Nipo Jiumga na Airtel Mwaka 2004 na Kwa Upande wa AGILE ni tangu Mwaka 2019 Mpaka Sasa

Wakili wa Serikali: Sasa Wakati wa Ushahidi Umeeleza Mahakama Majukumu yako, Na Moja ya Majukumu yako ni Kutoa Taarifa Chunguzi kwa Vyombo Vya Uchunguzi, Ifahamishe Mahakama Taarifa unazo toa ni Kwa vipi na zipi

Shahidi: Kwanza Nikianza, Tunatoa Kwa Jeshi la Polisi, Tume ya Kupambana na Kuzuia Rushwa PCCB, Tume ya Kupambana na Madawa ya Kulevya, Mamlaka ya Mawasiliano na Financial Intelligence, na pale Mteja anapohitaji Kupewa Taarifa zake anaruhusiwa Kupewa

Wakili wa Serikali: taarifa ya namna gani?

Shahidi: Kila Taasisi Zinaomba Taarifa za Mawasiliano Kwa Ujumla nikimaanisha Kupiga na Kupokea Simu, Miamala ya Fedha na Pia Usajili wa line

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama Utaratibu Wa Maombi huwa Unafanyikaje

Shahidi: Taratibu Kubwa ni Chombo Chunguzi Kuleta Barua ya Maombi ya Taarifa, Na Maombi haya Yana Wasilishwa Airtel Kupitia Upande wetu wa Mapokezi Ya kisha pokelewa yanaratibiwa Katika Register Yetu na Kupelekwa kwenye Kitengo Cha Sheria Kufanyiwa kazi na Baada ya Hapo Mkuu wa Kitengo Cha Sheria anatoa Ruhusa Kwa Muhusika Juu ya Kufanyia Kazi Maombi hayo

Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Barua ya Maombi Imeshafika na Mkuu wa Idara ameshasaini, Sasa Huyu aliye na Barua anafanya nini kazi

Shahidi: Lazima afanye Kazi Barua Kwa Kujiridhisha Kwanza, Juu ya anuani ya Taasisi Kama Barua hiyo Imeelekezwa kwa Airtel? , Je Barua hiyo Ina Nembo ya Taaaisi husika? , Taarifa hizo ni za Kiuchunguzi? Na Kama siyo Za Kiuchunguzi haiwezi Kufanyia Kazi, lakini Pia iwe na Sahihi na Muhuri Wa Taaaisi Husika

Wakili wa Serikali: Umesema Afisa Anahakiki Vitu Vyote ikiwemo Taarifa ya Kiuchunguzi, Nini Unaangalia Kujua Kama Kiuchunguzi au siyo

Shahidi: Barua zote za Kiuchunguzi zinataja Kosa. Kuna ambazo zinataja Jalada namba Ili Kuonyesha Kwamba Kuna Kesi inaendelea

Wakili wa Serikali: Ni watu gani hasa sasa wanao fanyia kazi Maombi

Shahidi: Ni watu wa Kitengo Cha Sheria

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama sasa Kitengo cha Sheria ni watu Wangapi Wanashughulikia hizo kazi

Shahidi: Ni watu Wawili ambapo ni Mimi na Mwenzangu

Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Assignment Imefika Mezani Kwako na Maombi yote Umepangwa yamefuata Utaratibu

Shahidi: Ofisini Kwangu Kumeanganishwa na Mifumo Niliyotaja Kupitia Computer Yangu yangu MOBIQUIT, BUSSINESS INTELLIGENCE NA AGILE. Na Kila Mfumo ni Credentials zangu za Kuniruhusu Kuingia Kwa Kila Ninapo ingia

Wakili wa Serikali: USER name Unapata wapi?

Shahidi: Kitengo Cha IT ambapo ni Mimi Mwenyewe na Kitengo Cha IT Hakuna Mwingine anayefahamu

Wakili wa Serikali: Baada ya Kuingiza hizo Credentials Kitu gani kinafuata

Shahidi: Mfumo wenyewe Unakuletea Sasa sehemu Ya Kuingiza Namba ya Simu ya Mteja lakini pia Muda ambao Unataka zile Taarifa Na automatically Mfumo wenyewe Unachakata zile Taarifa na Kuleta Katika Computer Yako

Wakili wa Serikali: Taarifa zinachakatwa na Zinakuja Kwenye Page yako (Computer Yako) Je Zinakuwa zimehifadhiwa wapi

Shahidi: Zinakuwa zimehifadhiwa Katika saver, zinahifadhiwa na Mfumo

Wakili wa Serikali: Sasa Baada ya Taarifa Ku Display katika Page yako nini Kinafuata
Asanteni sana Team ya upashanaji habari. Mmekuwa Wamisionari kweli kweli.
 
Salaam Wakuu,

Leo tarehe 13/01/2022 kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe inaendelea.

Kufahamu ilipoishia, soma hapa:Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe leo Januari 11, 2022. SP Jumanne Malangahe amaliza kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa hadi Januari 13, 2022

Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.


UPDATES:

Jaji ameingia, Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Ikupendeze Mheshimiwa Jaji naomba Kuwatambulisha

Pius Hilla Abdallah
Chavula Jenitreza
Kitali Nassoro
Katuga Esther
Martin Tulimanywa
Majige Ignasi Mwinuka

Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Ikupendeza naitwa Peter Kibatala, nipo pamoja na wakili:

Jeremiah Mtobesya
John Mallya Dickson
Matata Seleman
Matauka Faraji
Mangula Gaston
Garubindi Maria
Mushi Khadija Aaron

Jaji anaita washtakiwa Wote wanne na wote wanaitika kuwa wapo Mahakamani

WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja na sote tupo tayari Kuendelea

Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji na sisi pia tupo tayari Kuendelea

Jaji: atakuwa ni Shahidi Wa Ngapi huyo?

Wakili wa Serikali: Robert Kidando atakuwa Shahidi Wa 09 Mheshimiwa Jaji Shahidi anaingia ni Mdada amevaa Miwani Mweupe na Mrefu Kidogo Kavaa Koti la blue

Jaji: Majina yako

Shahidi: Gladisi Fimbari

Jaji: Miaka

Shahidi: 36

Jaji: Dini yako

Shahidi: Mkristo

Jaji: Kazi yako

Shahidi: Mwanasheria kampuni ya Airtel_Tanzania

Shahidi: Naapa Mbele ya Mahakama hii kuwa Ushahidi nitakaotoa utakuwa ni Kweli, kweli tupu

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi ataongonzwa na Jenitreza Kitali

Wakili wa Serikali: unafanya Kazi wapi

Shahidi: Nafanya kazi Airtel Tanzania

Wakili wa Serikali: Unafanya Kazi kama nani

Shahidi: Nafanya kazi Airtel PLC

Wakili wa Serikali: Kama Nani

Shahidi: Awali niliajiriwa Kama Afisa wa Sheria. Baadae 2021 Mwezi March nilibadilishwa Cheo na Kuwa Meneja Kitengo cha Sheria

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama kampuni ya AIRTEL PLC inajihusisha na nini

Shahidi: Inajihusisha Na Kupiga na Kupigiwa Simu, Huduma ya Miamala ya Fedha kupitia Airtel Money

Wakili wa Serikali: Sasa hiyo Kampuni ya AIRTEL PLC Inatoa hizo huduma kwa Watu gani

Shahidi: Ili Upate Huduma Kutoka Airtel TEL lazima uwe na Simu Handset na lazima uwe na Simcard ya AIRTEL\

Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi tueleze huyo Mteja anapataje hiyo simcard ya AIRTEL?

Shahidi: Ili uweze Kuwa Mteja lazima ufike katika Ofisi za Airtel au Kwa Mawakala wa Airtel utanunua Sim Card lakini Baada ya Hapo lazima ufanyi we Usajili wa ile Line

Wakili wa Serikali: Sasa Mteja amemunua Sim Card ya AIRTEL Lazima afanye Usajili, Je Usajili unafanyikaje

Shahidi: Lazima Mteja awepo katika Usajili, atajitambulisha Majina yake yote, lazima awe na Kitambulisho Chake cha Taifa yani NIDA card, anaye Msajili atachukia hiyo namba na Kuingiza Katika Mifumo yetu, Kisha Atatakiwa aweke Dole Gumba na Kisha Msajili wetu atafanya Uhakiki (Verification) Kupitia Mifumo ya NIDA ambayo imeunganishwa na Mifumo yetu ya NIDA Baada ya Verification na Uhakiki atapata Namba ya NIDA Kuhusiana na Mifumo yetu, baada ya Kupata Uhakiki Kutoka NIDA, Taarifa Zote zitaifadhiwa Katika Mifumo yetu na Baada ya Hapo Usajili utakuwa Umekamilika..

Wakili wa Serikali: Ifafanulie Mahakama Vizuri, umesema Afisa Usajili Wa Airtel atafanya Uhakiki Kutoka NIDA, JE Afisa Wenu Usajili anapataje Taarifa Kutoka NIDA na Kuingiza Katika Mifumo yetu, Kisha Atatakiwa aweke Dole Gumba na Kisha Msajili wetu atafanya Uhakiki (Verification) Kupitia Mifumo ya NIDA ambayo imeunganishwa na Mifumo yetu ya NIDA Baada ya Verification na Uhakiki atapata Namba ya NIDA Kuhusiana na Mifumo yetu, baada ya Kupata Uhakiki Kutoka NIDA, Taarifa Zote zitaifadhiwa Katika Mifumo yetu na Baada ya Hapo Usajili utakuwa Umekamilika..

Wakili wa Sehemu: Ifafanulie Mahakama Vizuri, umesema Afisa Usajili Wa Airtel atafanya Uhakiki Kutoka NIDA, JE Afisa Wenu Usajili anapataje Taarifa Kutoka NIDA

Shahidi: Ok, Ni kwamba Mifumo Yetu imeunganishwa...........

Wakili PETER KIBATALA: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Huyu shahidi ameingia akasema yeye ni Mwanasheria Hakuna Mahala yoyote ameongozwa Kusema Kama Ana utaalam wa Usajili..... Kwa Maoni yetu hiyo ni "HEAR SAY"

WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji ni mapema kwa Wakili kuibua Hiyo Hoja kama ni Hearsay au Lah

Jaji: Kwa nini Unasema ni Hearsay

Kibatala: kwa Sababu Yeye hajasema anafanya Jukumu la Usajili, Bali kasema Kuwa yeye ni Mwanasheria, Hakuna Mahala kasema ni Jukumu lake Kusajili

Jaji: Kwani Hearsay ni nini

Kibatala: Ni Jambo lolote ambalo halitoki Kwa Shahidi Bali kwa Third Party, Ndiyo Maana anasema Juu ya Afisa Msajili ambaye siyo yeye

Jaji: Mimi nafikiri ni Mapema Sana Kusema Ni Hearsay kwa sababu bado anaendelea Kutoa Ushahidi Wake

Wakili JEREMIAH MTOBESYA: Napata taabu Mheshimiwa Jaji Kwa sababu Shahidi Msingi Wake unajengwa na Matukio, Hakuna Mahala kasema Kama alishawahi Kupata Training au Lah, anachotoa Ni opinion tu....

Jaji: Sasa Si mtamuuliza Maswali Baadae Katika Kumuuliza Maswali, Kwa sababu Hatuwezi Kusema Tuukatae Ushahidi Wa Namna hii, Ni Hatari Kama Kila Shahidi akija Tuukatae Ushahidi Kwa sababu Hana Knowledge Ya Kutosha

JEREMIAH MTOBESYA: Mheshimiwa Jaji ni Hatari Sana Mbele Ya Sheria, Tufuate Sheria Inasemaje

Jaji: ninyi Mtapata Nafasi ya Kumfanyia Cross Examination, Tusubiri wakati huo

Wakili wa Serikali: Tuendelee Gladisi....

Shahidi: Majukumu yangu ni Kutoa Ushauri Juu ya Mambo Mbalimbali ya Kisheria, Lakini pia Kuandaa Tathimini Za Kisheria, Kuandaa Nyaraka Za Kisheria, Kufuatilia Kesi zinazohusu Kampuni ambazo zipo Mahakamani, Pia natoa Taarifa ninapoombwa, Juu ya Taarifa, za Kiuchunguzi Kwa Taasisi za Kiuchunguzi au Baada ya Kupokea Amri ya Mahakama Na hiyo Ndiyo Taarifa yangu Kwenye Maeneo hayo

Wakili wa Serikali: Sasa ieleze Mahakama Juu ya Mfumo wa MOBIQUIT Jinsi unavyofanya kazi katika Utunzaji Wa Kumbukumbu za Miamala

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama Una Elimu gani ambayo inakuwezesha Kutekeleza Majukumu uliyo taja

Shahidi: Nina Shahada ya Sheria, Niliyopata Mwaka 2006 Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Nina Certificate ya Basic Skills za Computer ambayo nimepata Kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam UCC

NA pia nilipojiunga Airtel Mwaka 2004 nilipata Mafunzo ya Ziada ya Mifumo ninayotumia katika Majukumu yangu Nilipata Mafunzo ya Mfumo wa MOBIQUIT Kwa ajili ya Kuhifadhi Taarifa za Miamala Ya Fedha inayofanywa na Mteja Mafunzo hayo niliyapata Kwa muda Wa Wiki Mbili Airtel

Nilijifunzwa Mafunzo kuhusiana na Bussiness Intelligence, Mfumo ambao unatunza Mawasiliano ya Mteja Nilipofika Mwaka 2018/2019 nilipata Mafunzo ya Mfumo Unaitwa AGILE huu ni Mfumo wa Kutunza Taarifa za Usajili Wa Mteja wa Ki BIOMETRIC

Katika Mifumo hiyo tunafundishwa Mambo Mbalimbali Ikiwamo Jinsi Taarifa inavyo chukuliwa na Kuhifadhi wa katika Mifumo hiyo Usalama wa Mifumo Endapo Kuna tolea tatizo la Kimtandao au tatizo la Kiteknolojia ni nini tunatakiwa kufanya na Utuzanji Wa zile Taarifa

Na hiyo Ndiyo Taarifa yangu Kwenye Maeneo hayo

Wakili wa Serikali: Sasa ieleze Mahakama Juu ya Mfumo wa MOBIQUIT Jinsi unavyofanya kazi katika Utunzaji Wa Kumbukumbu za Miamala

Shahidi: Kama Nilivyotaja Mfumo wa MOBIQUIT, Mfumo huu unatunza Taarifa za Miamala pale ambapo Mteja anatuma au Kupokea Pesa Automatic, Mfumo unachukua Zile Taarifa Na Kwenda Kuzihifadhi Kwenye Sever na Baada ya hapo, Ilikuweza Kuzifikia hizi Taarifa unatumia Mfumo

Wakili wa Serikali: VIpi kuhusiana na Mfumo wa BUSSINESS INTELLIGENCE unafanyaje kazi

Shahidi: Pale ambapo Mteja anafanya Mawasiliano, Akiwa Karibu na Mnara, Automatically Mawasiliano Yake Yanachukuliwa Kupitia Mifumo na Kwenda Kutunza Kwenye Sever, Baada ya hapo Unapotoa Kuzifikia Hizi Taarifa Ndipo unatumia Mfumo wa BUSSINESS INTELLIGENCE

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama ni Mawasiliano ya Namna gani Mfumo huu ndiyo unafanya kazi

Shahidi: Anapopiga simu, anapotuma Ujumbe Mfupi, anapopokea Simu na anapotaka Huduma za Internet, inakuwa Captured kwenye Mfumo wetu

Wakili wa Serikali: Shahidi Umetaja Mfumo Mwingine Wa AGILE Ifahamishe Sasa Mahakama ni Kitu gani

Shahidi: Anapopiga simu, anapotuma Ujumbe Mfupi, anapopokea Simu na anapotaka Huduma za Internet, inakuwa Captured kwenye Mfumo wetu

Wakili wa Serikali: Shahidi Umetaja Mfumo Mwingine Wa AGILE Ifahamishe Sasa Mahakama ni Kitu gani

Shahidi: Kama Nilivyoeleza Kuwa Mfumo wa AGILE unafanya kazi Mteja anapotaka Kwenda Kusajili Line yake, anapotaja Namba ya Utambulisho Wa NIDA Msajili anaingia namba za NIDA kwenye Mfumo, na Baada ya Taarifa hizi Mteja Kuweka Kidole Gumba zinakwenda Kuhakikiwa NIDA na Majibu Yatakurudi Kisha Taarifa Hizo zinaenda Kuhifadhi wa katika Mfumo wetu wa AGILE

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama, Ka wewe ni Mtumiaji wa hii Mifumo ni Kwa Muda gani Umetuma Hii Mifumo

Shahidi: Kwa Upande wa MOBIQUIT na BUSSINESS Intelligence Niliweza Kutumia Mifumo hii tangu Nipo Jiumga na Airtel Mwaka 2004 na Kwa Upande wa AGILE ni tangu Mwaka 2019 Mpaka Sasa

Wakili wa Serikali: Sasa Wakati wa Ushahidi Umeeleza Mahakama Majukumu yako, Na Moja ya Majukumu yako ni Kutoa Taarifa Chunguzi kwa Vyombo Vya Uchunguzi, Ifahamishe Mahakama Taarifa unazo toa ni Kwa vipi na zipi

Shahidi: Kwanza Nikianza, Tunatoa Kwa Jeshi la Polisi, Tume ya Kupambana na Kuzuia Rushwa PCCB, Tume ya Kupambana na Madawa ya Kulevya, Mamlaka ya Mawasiliano na Financial Intelligence, na pale Mteja anapohitaji Kupewa Taarifa zake anaruhusiwa Kupewa

Wakili wa Serikali: taarifa ya namna gani?

Shahidi: Kila Taasisi Zinaomba Taarifa za Mawasiliano Kwa Ujumla nikimaanisha Kupiga na Kupokea Simu, Miamala ya Fedha na Pia Usajili wa line

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama Utaratibu Wa Maombi huwa Unafanyikaje

Shahidi: Taratibu Kubwa ni Chombo Chunguzi Kuleta Barua ya Maombi ya Taarifa, Na Maombi haya Yana Wasilishwa Airtel Kupitia Upande wetu wa Mapokezi Ya kisha pokelewa yanaratibiwa Katika Register Yetu na Kupelekwa kwenye Kitengo Cha Sheria Kufanyiwa kazi na Baada ya Hapo Mkuu wa Kitengo Cha Sheria anatoa Ruhusa Kwa Muhusika Juu ya Kufanyia Kazi Maombi hayo

Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Barua ya Maombi Imeshafika na Mkuu wa Idara ameshasaini, Sasa Huyu aliye na Barua anafanya nini kazi

Shahidi: Lazima afanye Kazi Barua Kwa Kujiridhisha Kwanza, Juu ya anuani ya Taasisi Kama Barua hiyo Imeelekezwa kwa Airtel? , Je Barua hiyo Ina Nembo ya Taaaisi husika? , Taarifa hizo ni za Kiuchunguzi? Na Kama siyo Za Kiuchunguzi haiwezi Kufanyia Kazi, lakini Pia iwe na Sahihi na Muhuri Wa Taaaisi Husika

Wakili wa Serikali: Umesema Afisa Anahakiki Vitu Vyote ikiwemo Taarifa ya Kiuchunguzi, Nini Unaangalia Kujua Kama Kiuchunguzi au siyo

Shahidi: Barua zote za Kiuchunguzi zinataja Kosa. Kuna ambazo zinataja Jalada namba Ili Kuonyesha Kwamba Kuna Kesi inaendelea

Wakili wa Serikali: Ni watu gani hasa sasa wanao fanyia kazi Maombi

Shahidi: Ni watu wa Kitengo Cha Sheria

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama sasa Kitengo cha Sheria ni watu Wangapi Wanashughulikia hizo kazi

Shahidi: Ni watu Wawili ambapo ni Mimi na Mwenzangu

Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Assignment Imefika Mezani Kwako na Maombi yote Umepangwa yamefuata Utaratibu

Shahidi: Ofisini Kwangu Kumeanganishwa na Mifumo Niliyotaja Kupitia Computer Yangu yangu MOBIQUIT, BUSSINESS INTELLIGENCE NA AGILE. Na Kila Mfumo ni Credentials zangu za Kuniruhusu Kuingia Kwa Kila Ninapo ingia

Wakili wa Serikali: USER name Unapata wapi?

Shahidi: Kitengo Cha IT ambapo ni Mimi Mwenyewe na Kitengo Cha IT Hakuna Mwingine anayefahamu

Wakili wa Serikali: Baada ya Kuingiza hizo Credentials Kitu gani kinafuata

Shahidi: Mfumo wenyewe Unakuletea Sasa sehemu Ya Kuingiza Namba ya Simu ya Mteja lakini pia Muda ambao Unataka zile Taarifa Na automatically Mfumo wenyewe Unachakata zile Taarifa na Kuleta Katika Computer Yako

Wakili wa Serikali:
Taarifa zinachakatwa na Zinakuja Kwenye Page yako (Computer Yako) Je Zinakuwa zimehifadhiwa wapi

Shahidi:
Zinakuwa zimehifadhiwa Katika saver, zinahifadhiwa na Mfumo

Wakili wa Serikali:
Sasa Baada ya Taarifa Ku Display katika Page yako nini Kinafuata
Hadi hapa haya mahojiano ni upuuzi mtupu. Period!!!
 
Shahidi wa Leo kajiandaa kujibu maswali ambayo aliulizwa mtu wa Tigo sasa Anakutana na Wakili Kibatala na Wenzie wamekuja na Maswali tofauti na Nondo zingine [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Yeah mawakili wake wamejikita kujibu hoja zilizoibuliwa wakati wa shahidi wa Tigo.
 
Back
Top Bottom