Yaliyojiri Mahakamani katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, Januari 13, 2022. Kesi imeahirishwa hadi Januari 14 2022

Wastage of time and other Tax Payers Moneees.If Kingais' and co has'nt presented any solid witness so far,who else can do?
Kesi ya mchongo!
YOUR OPINION IS NOT OUR OPINION NOR THE FACT
 
Hongereni makamanda kwa kazi nzuri; Mungu awatangulie.
 
Haya makampuni ya simu yame compromise privacy za wateja wao ili iweje?Nao wametekwa na wasiojulikana?Vipi kuhusu biashara zao kuanguka?
Watanzania tunadukuliwa sote.
Mtanzania mfanye lolote kwake sawa tu haoni shida!
 
Asante na pongezi sana kwenu Team ya Upashanaji habari. Mmekuwa wamisionari kweli kweli
 
Asanteni sana Team ya upashanaji habari. Mmekuwa Wamisionari kweli kweli.
 
Hadi hapa haya mahojiano ni upuuzi mtupu. Period!!!
 
Shahidi wa Leo kajiandaa kujibu maswali ambayo aliulizwa mtu wa Tigo sasa Anakutana na Wakili Kibatala na Wenzie wamekuja na Maswali tofauti na Nondo zingine [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Yeah mawakili wake wamejikita kujibu hoja zilizoibuliwa wakati wa shahidi wa Tigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…