Yaliyojiri Mahakamani katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, Januari 13, 2022. Kesi imeahirishwa hadi Januari 14 2022

Yaliyojiri Mahakamani katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, Januari 13, 2022. Kesi imeahirishwa hadi Januari 14 2022

Hapa ni mwanzo mwisho wa ushahidi wa shahidi huyo wa tisa wa upande wa mashtaka

Tayari Jaji Joachim Tiganga ameshaingia mahakamani

Mawakili wa pande zote wanajitambulisha.

Wakili Kidando- Shauri Hilo limekuja kwa ajili ya kuendelea na ushahidi na kwa leo tunaye shahidi mmoja, hivyo tupo tayari kuendelea.

Jaji- Upande wa uetetezi mpo tayari kuendelea?

Kibalata: Tupo tayari kuendelea.

Kwa sasa shahidi amefuatwa nje kwenda kuchukuliwa na wakili wa Serikali Tulimanywa Majigo

Wakili anayemuongoza shahidi Anaitwa Jenitreza Kitale Ni wakili wa Serikali Mwandamizi



Jaji: Majina yako Shahidi?

Shahidi: Gladys Fimbari (39) Mwanasheria wa kampuni ya Airtel Tanzania.

Shahidi anaapa.

Shahidi anaongozwa kutoa ushahidi wake na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Jenitreza Kitale

Wakili wa Serikali Mwandamizi Kitale.

Nafanya kazi Airtel Tanzania (PLC), Dar es Salam.

Awali wakati najiunga mwaka 2014 mwezi wa nane, niliajiriwa kama ofisa sheria, lakni Machi, 2021 nilibadilishwa cheo na kuwa meneja kitengo cha sheria.

Aiterl PLC inajihusisha na mawasiliano ikijihusisha na hudma za kupiga simu, internet na kutoa huduma za muamala kupitia Airtel Money.

Shahidi: Ili uweze kupata huduma zetu unatakiwa uwe na simcard ya Airtel.

Ili kuweza kufanya usajili lazima mteja awe amenunua simcard na awe na namba za Kitambulisho Cha Taifa.

Baada ya hapo mtu anayemhudumia atachukua majina yake na kumuunga katika mifumo yetu na kisha mteja atatakiwa aweke dole gumba na msajili wetu atafanya uhakiki kupitia mifumo ya Nida amabayo imeunganishwa na mifumo yetu ya usajili.

Baada ya kufanya uhakiki, atakapopata taarifa kutoka Nida kuhusiana na uhakiki wa namba.

Baada ya kupata uhakikiki, Nida watatoa taarifa za mteja na taarifa zote zitahifadhiwa kwenye mfumo iliyounganishwa na hapo usajili utakuwa umekamilika.

Ofisa Msajili wa Airtel anapata taarifa kutoka Nida kutokana na mifumo yetu imeunganishwa na Nida.

Mteja anapiingiza dole gumba

Shahidi: Mteja anapotoa majina yake pamoja na namba ya Kitambulisho Cha Nida, zile taarifa zinahakikiwa na Ofisa wetu Airtel kwa ajili ya kuhakikia na kwamba mifumo yetu imeunganishwa na Nida.

Majukumu yangu kama meneja wa sheria

kutoa ushauri katika mambo mbalimbali ya kisheria kwa kampuni; kuandaa na kujibu notes za kisheria zinazohusu kampuni na nyaraka nyingine za kisheria; kufuatilia kesi zinazohusu kampuni amabzo zipo mahakamani; natoa taarifa za kichunguzi kwa taasisi zinazoombwa taarifa na nina ninapokea amri ya mahakama.

Elimu yangu ni shahada ya Sheria kutoka UDSM niliyoipata mwaka 2006

Pia nina certificate basic Skills ya Kompyuta niliipata chuo Kikuu Cha DSM mwaka 2011.

Pia nilipojiunga na Airtel mwaka 2014 nilipata mafunzo ya ziada ikiwemo ujuzi wa mifumo ambayo ninaitumia kwa kazi yangu ya kila siku.

Nilipata taaluma ya kutumia mifumo inayotumika kuhifadhi mifumo ya fedha inayofanywa na mteja, mafunzo hayo niliyapata kwa muda wa wiki mbili

Pia nilipata Mafunzo kuhusiana na mfumo wa business Intelligence (Mfumo unaotunza taarifa za mteja).

Pia mwaka 2019, nilipata Mafunzo ya mfumo wa kutunza taarifa za usajili wa mteja wa kibiometric na katika mafunzo hayo tunafundishwa mambo mbalimbali ikiwemo jinsi taarifa zinavyochukuliwa na kuhifadhiwa katika mifumo hiyo, usalama wa mifumo endapo kunatikea tatizo la kimtandao na la kiteknolojia Nini ambacho tunatakiwa kufanya na utunzaji wa zile taarifa kwa ujumla.

Mfumo huu wa Agile (mfumo wa kutunza taarifa za usajili za mteja kwa njia ya biometric), mtumiaji wa mfumo, mfumo huu unatunza taarifa na miamala pale ambapo mteja anapotuma au kupokea pesa.

Mfumo wa business Intelligence ni pale ambapo mteja anapofanya mawasiliano akiwa karibu na mnara, yale mawasiliano yake yanachukuliwa na kwenda kutunzwa kwenye server na baada ya hapo unapotaka kuifikia hii taarifa unatumia mfumo huu wa business Intelligence.

Mawasiliano haya ni pale mtaja anapopiga simu, anapopokea simu na hata anapotumia huduma ya internet.

Mifumo hiyo miliwi niliyoitaja nimeitumua tangu nilipojiunga na Airtel mpka sasa, lakini mwaka 2019 ndio nilianza kutumia mfuno wa Agile.

Shahidi: Taarifa ninazotoa za kiuchunguzi kwa taasisi au vyombo vya kiuchunguzi ni Jeshi la Polisi, PCCB, Tume ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya, TCRA na tunatoa kwa FIU (Financial Intelligence Unit) na mteja binafsi pia anaruhusiwa kupewa taarifa.

Vyombo hivyo huwa vinaomba taarifa za miamala ya kifedha, kupiga na kupokea simu pamoja na usajili.

Shahidi: Taratibu za kuomba taarifa za kuchunguzi ni hizi hapa,

Kwanza, chombo au taasisi ya kuomba uchunguzi huwa ina leta barua ya maombi na maombi haya yanawasilishwa katika kampuni ya Airtel kupitia upande wetu wa mapokezi, yakishapokelewa yananakiliwa katika kitabu chetu na kupelekwa kitengo cha sheria na baada ya hapo Mkuu wetu wa Kitengo cha sheria anasaini kuyafanyia kazi maombi hayo.

Baada ya kukamilisha vitu vyote, ofisa Sheria ana hakiki barua hiyo na kiuchunguza vizur ikiwemo anuani husika na nembo husika na kuhakiki ni taarifa gani zimeombwa? Na je taarifa hizo Ni za kiuchunguzi? Na kama taarifa hizi sio za kiuchunguzi hatuwezi kuzifanyia kazi, pia barua hiyo iwe na mhuri kutoka taasisi husika.

Watu wanaoshughulikia maombi haya ya kiuchunguzi ni wawili ambao ni mimi na mwenzangu.

Shahidi: Baada ya kujiridhisha tunaingia katika mifumo niliyoitaja hapo awali.

Ninapoingia katika kompyuta yangu nainginza Username na Password.

Username na Password naipata kutoka Kitengo cha IT ambapo mimi peke yangu ndio nafahamu na baada ya hapo naingia katika mfumo.

Baada ya hapo naingiza namba ya simu ya mteja na muda ninaoangalia hizo taarifa.

Baada ya kuingia katika mfumo huo, nachakata taarifa na kutozitoa huko zilipohifadhiwa na kuzileta kwenye page yangu.

Baada ya kuweka katika page yangu, naanza tena kuzihakiki taarifa zilizotoka katika mfumo na chombo husika na iliposajiliwa kama ni sahihi na kisha na print.

Nikisha print naangalia tena hiyo nakala niliyoprint na kujiridhisha na barua ya maombi na ni sahihi hicho walichoomba kwa ajili ya uchunguzi Kisha nagonga mhuri na kuandaa cover latter kwa ajili ya kuwasilisha.

Kuna kila mfumo, hivyo kama ni mambo ya financial nayakuta huko na Watu wengine katika taasisi yetu ambao wanapewa access ya kuona taarifa za wateja

Wapo wa aina mbili ambao ni customer Service na Call Center. Hawa ndio wana access ya kuona taarifa za wateja kwa ajili ya huduma za majumbani na biashara.

Ambaye anauwezo wa kuona na hana uwezo wa kufanya kitu chochote kwani taarafa hizo zinakuwa katika mfumo wa Read Only (Yaani taarifa hizo ni kwa ajili ya kusoma) na watu hao wa kuona tu ni Customer Service, Agent, Call Center.

Kwenye kundi la pili ambalo ni kitengo cha Sheria, ambapo sisi tuna access ya kuona, kusoma na kuprint lakini haturuhisiwi kurekebisha na hakuna mtu yoyote ambaye anaweza kuingilia mifumo hiyo.

Pia mifumo hii inalindwa na imewekewa mifumo ya usalama (Firewalls) kwa ajili ya kulinda mifumo na taarifa zake.

Shahidi: Mifumo hii imeunganishwa na Airtel nasema kwamba huwezi kutumia kifaa chochote kuaccess na sababu kubwa ni kwa ajili ya usalama.

Usalama uliopo katika mifumo hiyo, kwanza tuna firewalls ambapo kama kuna mtu anataka kuingia tunapata taarifa, pia internet ikiwa down taarifa za wateja haziwezi kuathiriwa kwa njia yoyote na mfumo wetu ni madhubuti na unafanya kazi sawasawa.

But mfumo huu kuna wakati internet inakuwa down na unakupa ishara.

Wakili: Hebu tueleza kipindi network inapokuwa down taarifa mlizotunza kwenye server huwa zinakuwaje?

Shahidi: Network inapokuwa down, haiwezi kuathiri mifumo yetu au taarifa zilizopo ndani ya mifumo huwa haziguswi au kupata changamoto

Wakili Kitale: Umesema hapa mifumo yenu ni Intelligent (uadilifu) hebu ieleze mahakama uadilifu wa mifumo yenu ikoje?

Shahidi: Hakuna mtu wa kuingilia mifumo, unafanya kazi vizuri muda wote na tuna software ambayo tumeweka ili kuangalia usalama wetu.

Wakili Kitale: Mnamifumo ipi?

Shahidi: Tuna mifumo mitatu.

Mfumo wa kwanza unaitwa Mouituity, hiyo ni kuchukua taarifa za mteja na kuhifadhiwa katika server na endapo tunahitaji kupata taarifa za miamala tunaweze kuangalia katika mfumo huu.

Mfumo wa pili ni Agile- ambapo inahusika na usajili na uhakiki wa namba ya mteja.

Mfumo wa watatu ni Business Intelligence.

Wakili Kitale: Unakumbuka Nini mnamo tarehe 2 mwezi wa saba mwaka 2021?

Julai 2, 2021 nilikuwa ofisi za Airtel Morocco nikiwa nafanya majukumu yangu.

Siku hiyo nikiwa ofisini alikuja Mkuu wa Idara ya Sheria wa Airtel, alinielekeza mimi nishughulikie maombi kutoka ofisi ya uchunguzi wa kisayansi ya Jeshi la Polisi.

Maombi hayo yalikuwa yanataka taarifa za miamala ya fedha katika namba 0782 237913 na namba nyingine ilikuwa 0787 555200 na namba ya tatu ilikuwa 0784 779944 pia barua hiyo iliomba niangalie taarifa za usajili za line hizo.

Baada ya hapo, nilihakiki ile barua address yake kama inatoka taasisi husika, niliangalia barua hiyo kama kweli inaaongelea uchunguzi, taarifa zinazoombwa ni za muda gani na kuhakikisha kama kweli line hizo zimesajiliwa.

Baada ya kujiridhisha niliingia katika kituo changu cha kompyuta kisha nikaingia katika mfumo wa Agile na nikaingiza namba moja ya simu ambayo imeombewa taarifa na kisha ikanitolea taarifa inayohusiana.

Shahidi: Nilipata taarifa za usajili wa namba 0787555200, 0782237913 na 0784 779944 na kisha nikaprint nyaraka zote tatu baada ya kupata taarifa.

Katika mfumo wa obiquity ni lazima uingize namba na muda hivyo nilifanya hivyo kwa namba za simu zote tatu.

Barua hiyo ya Polisi iliomba taarifa za line zote tatu kuanzia 1/6/2020 mpaka 31/7/2020.

Baada ya taarifa hizo kuonekana katika mfumo, nilijiridhisha na kuprint taarifa zote.

Baada ya kuprint, nyaraka hizo nilweka mhuri na kuweka sahihi pamoja na tarehe husika.

Pia niliandaa barua kwa ajili ya kuambatanisha taarifa ambazo niliandaa.

Wakili Kitale: Ukiona barua hizo utazitambuaje?

Shahidi: Nitazitambua kwa saini yangu, mhuri wa kampuni ya Airtel PLC, tarehe husika na namba za simu ambazo nimezitolea taarifa ambazo ni 0787 555,200, 0782 237913 na 0784779944.

Kuhusu taarifa za miamala ya fedha ambayo nimeitolea taarifa katika simu hizo, Nitazitambua kwanza namba za simu ambazo zinaonekana katika ile taarifa, mhuri wa kampuni, saini yangu na tarehe.

Wakili Kitale: Shahidi hebu shika nyaraka hizi na utuonyeshe ipi ni taarifa ya miamala ya fedha ipi ni taarifa ya usajili wa namba hizo.

Shahidi amezitambua nyaraka hizi moja baada ya nyingine kwa kuzionyesha mahakaman.







Shahidi: Naomba mahakama ipokee nyaraka hizi zitumike kielelezo katika kesi hii

Upande wa mashtaka wamewapatia nyaraka hizo mawakili wa upande wa uetetezi ili waweze kuzipitia.

Kibatala: Mheshimiwa jaji kwani niaba ya mshtakiwa wa nne (Freeman Mbowe) hatuna pingamizi dhidi ya nyaraka hizi.

Wakili Mtobesya: Kwa niamba ya mshtakiwa wa kwanza (Halfan Bwire) Hatuna pingamizi.



Wakili Mallya: Kwaniaba ya mshtakiwa wa pili (Adam Kasekwa) hatuna pingamizi.

Wakili Matata: Mheshimiwa Jaji kwa niaba ya mshtakiwa wa tatu (Mohamed Ling'wenya) hatuna pingamizi.

#KesiMbowe #MwananchiUpdates

Jaji- Baada ya upande mashtaka kuomba nyaraka hizi zipokelewe na kwa vile upande wahawajapinga kupokelewa kwa nyaraka hizi, hivyo Mahakama imevipokea vielelezo hivyo kama ifuatavyo

Jaji- Barua ya uchunguzi wa Kisayansi kutoka Jeshi ya Polisi ya tarehe 2/7/2021 imepokelewa na kuwa kielelezo namba 15.

Barua ya Jeshi la Polisi ya tarehe 1/7/2021 itakuwa kielelzo namba 16 chha upande wa mashtaka.

Taarifa ya usajili wa namba 0784 77 99 44 kuwa kielelezo namba 17.

Taarifa ya usajili wa namba 0782 237913 kuwa kielelezo namba 18.

Taarifa ya usajili wa namba 0787 555200, imekuwa kielelezo namba 19.

Taarifa ya print Out ya miamala ya fedha namba 0787 555200 na kuwa kielelezo namba 20.

Taarifa ya print out ya miamala ya fedha namba 0784 779944, imekuwa kielelezo namba 21 cha upande wa mashtaka.

Jaji: Hivyo mahakama inaelekeza nyaraka hizi zisomwe na shahidi.

Shahidi ameanza kusoma nyaraka hizo moja baada ya nyingine kwa kutaja namba hizo za simu na majina yaliyosajiliwa na miamala iliyotumwa katika kesi hizo.

Shahidi: Katika namba 0784 779944 imesajili kwa jina la Freeman Aikaeli Mbowe (Mshtakiwa wa nne) katika kesi hiyo.

Shahidi: Namba 0787 555 200 imesajiliwa kwa jina la Denis Leo Urio.

Shahidi: Namba ya simu 0782 237913, imesajiliwa kwa jina la Halfan Bwire Hassan (Mshtakiwa wa kwanza katika kesi hiyo)

Shahidi- Muamala iliyotumwa tarehe 20/7/2020 kwenye namba 0787 555 200, ambayo kwa mujibu wa kielelezo namba 20, namba hiyo imesajiliwa kwa jina la Denis Leo Urio, ilipokea Sh 500,000 kutoka kwenye namba ambayo ni Collection Account 780900174, na mhusika mwenye namba ya Airtel 0787 555200 alikuwa na salio kiasi cha Sh 46, 646 katika simu yake na hivyo akawa na jumla ya kiasi cha Sh 546,646 baada ya kuingizwa Muamala wa Sh 500,000

Shahidi: Pia tarehe 22/7/2020, namba ya simu ya Denis Urio (0787 555 200) ilipokea fedha Sh 199,000 kutoka namba 0780 900244.

Shahidi: Tarehe 31/7/2020 namba 0784 779944, ambayo katika kielelezo namba 21, imesajiliwa kwa jina la Freeman Aikaeli Mbowe, ilituma fedha kiasi cha Sh80,000 kwenda namba 0782 237913 yenye jina la usajili Halfan Bwire Hassan.

Shahidi: Hiyo Tarehe 20/7/2020 Muamala mwingine uliofanyika kwa namba ya 0787 555200 alituma kiais Cha Sh 300,000 kwenda namba 0785191954.

Wakili Kitale: Mheshimiwa Jaji kwa upande wetu ni hayo tu.


Kibatala: Mheshimiwa Jaji nilikuwa nashauria na wenzangu upande wa mashtaka tuahirishe kwa muda wa dakika 45.

Jaji: Basi kama alivyoomba upande wa utetezi na kukubaliana na wenzao wa upande wa mashtaka, naahirisha kesi hii kwa dakika 45 hadi saa 8:30 mchana itakapoendelea kwa shahidi kuhojiwa na upande wa uetetezi.
 
Salaam Wakuu,

Leo tarehe 13/01/2022 kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe inaendelea.

Kufahamu ilipoishia, soma hapa:Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe leo Januari 11, 2022. SP Jumanne Malangahe amaliza kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa hadi Januari 13, 2022

Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.


UPDATES:

Jaji ameingia, Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Ikupendeze Mheshimiwa Jaji naomba Kuwatambulisha

Pius Hilla Abdallah
Chavula Jenitreza
Kitali Nassoro
Katuga Esther
Martin Tulimanywa
Majige Ignasi Mwinuka

Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Ikupendeza naitwa Peter Kibatala, nipo pamoja na wakili:

Jeremiah Mtobesya
John Mallya Dickson
Matata Seleman
Matauka Faraji
Mangula Gaston
Garubindi Maria
Mushi Khadija Aaron

Jaji anaita washtakiwa Wote wanne na wote wanaitika kuwa wapo Mahakamani

WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja na sote tupo tayari Kuendelea

Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji na sisi pia tupo tayari Kuendelea

Jaji: atakuwa ni Shahidi Wa Ngapi huyo?

Wakili wa Serikali: Robert Kidando atakuwa Shahidi Wa 09 Mheshimiwa Jaji Shahidi anaingia ni Mdada amevaa Miwani Mweupe na Mrefu Kidogo Kavaa Koti la blue

Jaji: Majina yako

Shahidi: Gladisi Fimbari

Jaji: Miaka

Shahidi: 36

Jaji: Dini yako

Shahidi: Mkristo

Jaji: Kazi yako

Shahidi: Mwanasheria kampuni ya Airtel_Tanzania

Shahidi: Naapa Mbele ya Mahakama hii kuwa Ushahidi nitakaotoa utakuwa ni Kweli, kweli tupu

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi ataongonzwa na Jenitreza Kitali

Wakili wa Serikali: unafanya Kazi wapi

Shahidi: Nafanya kazi Airtel Tanzania

Wakili wa Serikali: Unafanya Kazi kama nani

Shahidi: Nafanya kazi Airtel PLC

Wakili wa Serikali: Kama Nani

Shahidi: Awali niliajiriwa Kama Afisa wa Sheria. Baadae 2021 Mwezi March nilibadilishwa Cheo na Kuwa Meneja Kitengo cha Sheria

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama kampuni ya AIRTEL PLC inajihusisha na nini

Shahidi: Inajihusisha Na Kupiga na Kupigiwa Simu, Huduma ya Miamala ya Fedha kupitia Airtel Money

Wakili wa Serikali: Sasa hiyo Kampuni ya AIRTEL PLC Inatoa hizo huduma kwa Watu gani

Shahidi: Ili Upate Huduma Kutoka Airtel TEL lazima uwe na Simu Handset na lazima uwe na Simcard ya AIRTEL\

Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi tueleze huyo Mteja anapataje hiyo simcard ya AIRTEL?

Shahidi: Ili uweze Kuwa Mteja lazima ufike katika Ofisi za Airtel au Kwa Mawakala wa Airtel utanunua Sim Card lakini Baada ya Hapo lazima ufanyi we Usajili wa ile Line

Wakili wa Serikali: Sasa Mteja amemunua Sim Card ya AIRTEL Lazima afanye Usajili, Je Usajili unafanyikaje

Shahidi: Lazima Mteja awepo katika Usajili, atajitambulisha Majina yake yote, lazima awe na Kitambulisho Chake cha Taifa yani NIDA card, anaye Msajili atachukia hiyo namba na Kuingiza Katika Mifumo yetu, Kisha Atatakiwa aweke Dole Gumba na Kisha Msajili wetu atafanya Uhakiki (Verification) Kupitia Mifumo ya NIDA ambayo imeunganishwa na Mifumo yetu ya NIDA Baada ya Verification na Uhakiki atapata Namba ya NIDA Kuhusiana na Mifumo yetu, baada ya Kupata Uhakiki Kutoka NIDA, Taarifa Zote zitaifadhiwa Katika Mifumo yetu na Baada ya Hapo Usajili utakuwa Umekamilika..

Wakili wa Serikali: Ifafanulie Mahakama Vizuri, umesema Afisa Usajili Wa Airtel atafanya Uhakiki Kutoka NIDA, JE Afisa Wenu Usajili anapataje Taarifa Kutoka NIDA na Kuingiza Katika Mifumo yetu, Kisha Atatakiwa aweke Dole Gumba na Kisha Msajili wetu atafanya Uhakiki (Verification) Kupitia Mifumo ya NIDA ambayo imeunganishwa na Mifumo yetu ya NIDA Baada ya Verification na Uhakiki atapata Namba ya NIDA Kuhusiana na Mifumo yetu, baada ya Kupata Uhakiki Kutoka NIDA, Taarifa Zote zitaifadhiwa Katika Mifumo yetu na Baada ya Hapo Usajili utakuwa Umekamilika..

Wakili wa Sehemu: Ifafanulie Mahakama Vizuri, umesema Afisa Usajili Wa Airtel atafanya Uhakiki Kutoka NIDA, JE Afisa Wenu Usajili anapataje Taarifa Kutoka NIDA

Shahidi: Ok, Ni kwamba Mifumo Yetu imeunganishwa...........

Wakili PETER KIBATALA: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Huyu shahidi ameingia akasema yeye ni Mwanasheria Hakuna Mahala yoyote ameongozwa Kusema Kama Ana utaalam wa Usajili..... Kwa Maoni yetu hiyo ni "HEAR SAY"

WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji ni mapema kwa Wakili kuibua Hiyo Hoja kama ni Hearsay au Lah

Jaji: Kwa nini Unasema ni Hearsay

Kibatala: kwa Sababu Yeye hajasema anafanya Jukumu la Usajili, Bali kasema Kuwa yeye ni Mwanasheria, Hakuna Mahala kasema ni Jukumu lake Kusajili

Jaji: Kwani Hearsay ni nini

Kibatala: Ni Jambo lolote ambalo halitoki Kwa Shahidi Bali kwa Third Party, Ndiyo Maana anasema Juu ya Afisa Msajili ambaye siyo yeye

Jaji: Mimi nafikiri ni Mapema Sana Kusema Ni Hearsay kwa sababu bado anaendelea Kutoa Ushahidi Wake

Wakili JEREMIAH MTOBESYA: Napata taabu Mheshimiwa Jaji Kwa sababu Shahidi Msingi Wake unajengwa na Matukio, Hakuna Mahala kasema Kama alishawahi Kupata Training au Lah, anachotoa Ni opinion tu....

Jaji: Sasa Si mtamuuliza Maswali Baadae Katika Kumuuliza Maswali, Kwa sababu Hatuwezi Kusema Tuukatae Ushahidi Wa Namna hii, Ni Hatari Kama Kila Shahidi akija Tuukatae Ushahidi Kwa sababu Hana Knowledge Ya Kutosha

JEREMIAH MTOBESYA: Mheshimiwa Jaji ni Hatari Sana Mbele Ya Sheria, Tufuate Sheria Inasemaje

Jaji: ninyi Mtapata Nafasi ya Kumfanyia Cross Examination, Tusubiri wakati huo

Wakili wa Serikali: Tuendelee Gladisi....

Shahidi: Majukumu yangu ni Kutoa Ushauri Juu ya Mambo Mbalimbali ya Kisheria, Lakini pia Kuandaa Tathimini Za Kisheria, Kuandaa Nyaraka Za Kisheria, Kufuatilia Kesi zinazohusu Kampuni ambazo zipo Mahakamani, Pia natoa Taarifa ninapoombwa, Juu ya Taarifa, za Kiuchunguzi Kwa Taasisi za Kiuchunguzi au Baada ya Kupokea Amri ya Mahakama Na hiyo Ndiyo Taarifa yangu Kwenye Maeneo hayo

Wakili wa Serikali: Sasa ieleze Mahakama Juu ya Mfumo wa MOBIQUIT Jinsi unavyofanya kazi katika Utunzaji Wa Kumbukumbu za Miamala

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama Una Elimu gani ambayo inakuwezesha Kutekeleza Majukumu uliyo taja

Shahidi: Nina Shahada ya Sheria, Niliyopata Mwaka 2006 Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Nina Certificate ya Basic Skills za Computer ambayo nimepata Kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam UCC

NA pia nilipojiunga Airtel Mwaka 2004 nilipata Mafunzo ya Ziada ya Mifumo ninayotumia katika Majukumu yangu Nilipata Mafunzo ya Mfumo wa MOBIQUIT Kwa ajili ya Kuhifadhi Taarifa za Miamala Ya Fedha inayofanywa na Mteja Mafunzo hayo niliyapata Kwa muda Wa Wiki Mbili Airtel

Nilijifunzwa Mafunzo kuhusiana na Bussiness Intelligence, Mfumo ambao unatunza Mawasiliano ya Mteja Nilipofika Mwaka 2018/2019 nilipata Mafunzo ya Mfumo Unaitwa AGILE huu ni Mfumo wa Kutunza Taarifa za Usajili Wa Mteja wa Ki BIOMETRIC

Katika Mifumo hiyo tunafundishwa Mambo Mbalimbali Ikiwamo Jinsi Taarifa inavyo chukuliwa na Kuhifadhi wa katika Mifumo hiyo Usalama wa Mifumo Endapo Kuna tolea tatizo la Kimtandao au tatizo la Kiteknolojia ni nini tunatakiwa kufanya na Utuzanji Wa zile Taarifa

Na hiyo Ndiyo Taarifa yangu Kwenye Maeneo hayo

Wakili wa Serikali: Sasa ieleze Mahakama Juu ya Mfumo wa MOBIQUIT Jinsi unavyofanya kazi katika Utunzaji Wa Kumbukumbu za Miamala

Shahidi: Kama Nilivyotaja Mfumo wa MOBIQUIT, Mfumo huu unatunza Taarifa za Miamala pale ambapo Mteja anatuma au Kupokea Pesa Automatic, Mfumo unachukua Zile Taarifa Na Kwenda Kuzihifadhi Kwenye Sever na Baada ya hapo, Ilikuweza Kuzifikia hizi Taarifa unatumia Mfumo

Wakili wa Serikali: VIpi kuhusiana na Mfumo wa BUSSINESS INTELLIGENCE unafanyaje kazi

Shahidi: Pale ambapo Mteja anafanya Mawasiliano, Akiwa Karibu na Mnara, Automatically Mawasiliano Yake Yanachukuliwa Kupitia Mifumo na Kwenda Kutunza Kwenye Sever, Baada ya hapo Unapotoa Kuzifikia Hizi Taarifa Ndipo unatumia Mfumo wa BUSSINESS INTELLIGENCE

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama ni Mawasiliano ya Namna gani Mfumo huu ndiyo unafanya kazi

Shahidi: Anapopiga simu, anapotuma Ujumbe Mfupi, anapopokea Simu na anapotaka Huduma za Internet, inakuwa Captured kwenye Mfumo wetu

Wakili wa Serikali: Shahidi Umetaja Mfumo Mwingine Wa AGILE Ifahamishe Sasa Mahakama ni Kitu gani

Shahidi: Anapopiga simu, anapotuma Ujumbe Mfupi, anapopokea Simu na anapotaka Huduma za Internet, inakuwa Captured kwenye Mfumo wetu

Wakili wa Serikali: Shahidi Umetaja Mfumo Mwingine Wa AGILE Ifahamishe Sasa Mahakama ni Kitu gani

Shahidi: Kama Nilivyoeleza Kuwa Mfumo wa AGILE unafanya kazi Mteja anapotaka Kwenda Kusajili Line yake, anapotaja Namba ya Utambulisho Wa NIDA Msajili anaingia namba za NIDA kwenye Mfumo, na Baada ya Taarifa hizi Mteja Kuweka Kidole Gumba zinakwenda Kuhakikiwa NIDA na Majibu Yatakurudi Kisha Taarifa Hizo zinaenda Kuhifadhi wa katika Mfumo wetu wa AGILE

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama, Ka wewe ni Mtumiaji wa hii Mifumo ni Kwa Muda gani Umetuma Hii Mifumo

Shahidi: Kwa Upande wa MOBIQUIT na BUSSINESS Intelligence Niliweza Kutumia Mifumo hii tangu Nipo Jiumga na Airtel Mwaka 2004 na Kwa Upande wa AGILE ni tangu Mwaka 2019 Mpaka Sasa

Wakili wa Serikali: Sasa Wakati wa Ushahidi Umeeleza Mahakama Majukumu yako, Na Moja ya Majukumu yako ni Kutoa Taarifa Chunguzi kwa Vyombo Vya Uchunguzi, Ifahamishe Mahakama Taarifa unazo toa ni Kwa vipi na zipi

Shahidi: Kwanza Nikianza, Tunatoa Kwa Jeshi la Polisi, Tume ya Kupambana na Kuzuia Rushwa PCCB, Tume ya Kupambana na Madawa ya Kulevya, Mamlaka ya Mawasiliano na Financial Intelligence, na pale Mteja anapohitaji Kupewa Taarifa zake anaruhusiwa Kupewa

Wakili wa Serikali: taarifa ya namna gani?

Shahidi: Kila Taasisi Zinaomba Taarifa za Mawasiliano Kwa Ujumla nikimaanisha Kupiga na Kupokea Simu, Miamala ya Fedha na Pia Usajili wa line

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama Utaratibu Wa Maombi huwa Unafanyikaje

Shahidi: Taratibu Kubwa ni Chombo Chunguzi Kuleta Barua ya Maombi ya Taarifa, Na Maombi haya Yana Wasilishwa Airtel Kupitia Upande wetu wa Mapokezi Ya kisha pokelewa yanaratibiwa Katika Register Yetu na Kupelekwa kwenye Kitengo Cha Sheria Kufanyiwa kazi na Baada ya Hapo Mkuu wa Kitengo Cha Sheria anatoa Ruhusa Kwa Muhusika Juu ya Kufanyia Kazi Maombi hayo

Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Barua ya Maombi Imeshafika na Mkuu wa Idara ameshasaini, Sasa Huyu aliye na Barua anafanya nini kazi

Shahidi: Lazima afanye Kazi Barua Kwa Kujiridhisha Kwanza, Juu ya anuani ya Taasisi Kama Barua hiyo Imeelekezwa kwa Airtel? , Je Barua hiyo Ina Nembo ya Taaaisi husika? , Taarifa hizo ni za Kiuchunguzi? Na Kama siyo Za Kiuchunguzi haiwezi Kufanyia Kazi, lakini Pia iwe na Sahihi na Muhuri Wa Taaaisi Husika

Wakili wa Serikali: Umesema Afisa Anahakiki Vitu Vyote ikiwemo Taarifa ya Kiuchunguzi, Nini Unaangalia Kujua Kama Kiuchunguzi au siyo

Shahidi: Barua zote za Kiuchunguzi zinataja Kosa. Kuna ambazo zinataja Jalada namba Ili Kuonyesha Kwamba Kuna Kesi inaendelea

Wakili wa Serikali: Ni watu gani hasa sasa wanao fanyia kazi Maombi

Shahidi: Ni watu wa Kitengo Cha Sheria

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama sasa Kitengo cha Sheria ni watu Wangapi Wanashughulikia hizo kazi

Shahidi: Ni watu Wawili ambapo ni Mimi na Mwenzangu

Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Assignment Imefika Mezani Kwako na Maombi yote Umepangwa yamefuata Utaratibu

Shahidi: Ofisini Kwangu Kumeanganishwa na Mifumo Niliyotaja Kupitia Computer Yangu yangu MOBIQUIT, BUSSINESS INTELLIGENCE NA AGILE. Na Kila Mfumo ni Credentials zangu za Kuniruhusu Kuingia Kwa Kila Ninapo ingia

Wakili wa Serikali: USER name Unapata wapi?

Shahidi: Kitengo Cha IT ambapo ni Mimi Mwenyewe na Kitengo Cha IT Hakuna Mwingine anayefahamu

Wakili wa Serikali: Baada ya Kuingiza hizo Credentials Kitu gani kinafuata

Shahidi: Mfumo wenyewe Unakuletea Sasa sehemu Ya Kuingiza Namba ya Simu ya Mteja lakini pia Muda ambao Unataka zile Taarifa Na automatically Mfumo wenyewe Unachakata zile Taarifa na Kuleta Katika Computer Yako

Wakili wa Serikali: Taarifa zinachakatwa na Zinakuja Kwenye Page yako (Computer Yako) Je Zinakuwa zimehifadhiwa wapi

Shahidi: Zinakuwa zimehifadhiwa Katika saver, zinahifadhiwa na Mfumo

Wakili wa Serikali: Sasa Baada ya Taarifa Ku Display katika Page yako nini Kinafuata

Shahidi: Baada ya Hapo Ni Uhakika Wa Taarifa ukitoka Katika Mfumo na Taarifa Husika Kama Ni Namba husika, Je ni sahihi na Kama Vile Unavyotaka, Kisha Nina Print Taarifa

Wakili wa Serikali: Sasa Ukiisha Print Kitu gani kinafuata

Shahidi: Nilisha Print Inafanya tena Uhakiki

Wakili wa Serikali: Uhakiki wa Namna gani

Shahidi: Kwa Kulinganisha na Barua ya Maombi, Nagomga Muhuri na Kusaini pamoja na Kuweka Tarehe, Kisha naandaa Cover Later Kwa ajili ya Kuambatanisha Taarifa hizo

Shahidi: Ni naweka Vizuri na Kuiwasilisha Kwenye Mamlaka husika Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Umesema Hapa Mahakamani Kwamba Wewe huwa Unapewa Credentials na Watu wengine Kuwezesha Kuingia Katika Mifumo, Je ni watu Gani Wengine Katika Taasisi yenu

Shahidi: Kuna Watu wa aina Mbili, Watu wa Call Centers, Watu Wa Customer Care hawa Ndiyo wenye Uwezo wa Kuona, Kama Nilivyosema Kwa Ajili ya Kuhudumia Wateja Kwa ajili ya Kuona Miamala Kama Imekosewa au lah. Na Watu wengine ni Watu wa Ku Extract Zile Taarifa, Huyu ni Mtu pekee Kutoka Kitengo Cha Sheria

Wakili wa Serikali: Sasa huyu Mtu aliyepewa Uwezo Wa Kuingia na Kuona zile Taarifa, Ni Kitu gani Kingine anaweza Kufanya katika Taarifa

Shahidi: Huyu aliyepewa Access ya Kuona hana Uwezo wa Kufanya lolote zaidi ya Kuona, Kwani Taarifa hizo Zinakuwa katika Mfumo wa READ ONLY (kuweza Kusoma tuh)

Wakili wa Serikali: Hawa watu wenye Uwezo wa Kuona tuh ni watu wa Idara zipo.?

Shahidi: Ni watu wa Customer service pamoja na Call Center, na Wale ambao Wapo Kwenye Kitengo Cha IT

Shahidi: Kundi la 2 Ni Kitengo Cha Sheria, Sisi tumepewa Uwezo Wa Kuona na Ku print lakini pia hatuna Uwezo Wa Kufanya chochote Katika ile Taarifa, na sisi Pia inakuja kwa mfumo wa READ ONLY

Wakili wa Serikali: Sasa shahidi umeeleza Mahakama Juu ya Mifumo, Je umadhubuti wa Hiyo Mifumo Ikoje

Shahidi: Mheshimiwa Jaji Taarifa zetu ni Automatic generator Designated, Hakuna Mtu Anayeweza Kuzalisha Taarifa za hiyo Mifumo, Mifumo hiyo pia inalindwa kwa kuwekwa software za Usalama (Firewalls) kwa Kulinda Usalama wa Mifumo na Taarifa Endapo Imetokea Muingilio wa aina yoyote

Mifumo hiyo pia inafanyiwa SYSTEM AUDIT Mara kwa mara Kuangalia Uimara wake, Lakini si Kila Mtu ana access ya hii Mifumo, Ni baadhi ya Watu ambao Wamepewa Credentials ambazo Zinawaruhusu Kuingia katika Mifumo.

Lakini Mifumo hii Imeunganishwa na AIRTEL Kwa Maana Hauwezi kuwa Mahala Popote Kuingia katika Mifumo hii, Lakini pia Uwezi Kutumia Kifaa Chochote Kuingia Katika Mifumo yetu

Wakili wa Serikali: Unaweza Kueleza Sababu ya Kutoingia Ukiwa popote

Shahidi: Katika Mifumo yetu Mtu hawezi Kuingia pasipo Kuwa na Kifaa Ambacho Kinatambulika na Airtel Kuweza Kuingia Katika Mifumo yetu

Wakili wa Serikali: Unaposema Kifaaa/Vifaa ni Vya Namna gani

Shahidi: Namaanisha Computer yaani Desktop au Laptop

Wakili wa Serikali: Ulikuwa Unaelezea Umadhubuti wa Hiyo Mifumo, Je ni Kitu gani Kingine

Shahidi: Kwenye Mifumo Hii lazima Uwe na Hivyo Vifaa ambavyo vimeunganishwa na Airtel na siyo Kila Mtu anaweza Kuingia katika mifumo

Wakili wa Serikali: hiyo Mifumo inausalama gani Kuhakikisha nyie watumiaji na Mliyotumia ni Salama

Shahidi: Kwanza Kuna software ambazo ni Firewall ambazo zitatambua endapo Kuna Mtu anajaribu Kutaka Kuingia, Na Lakini pia Endapo Patakuwa na Tatizo la kimtandao zile Taarifa haziathiriwi Kwa Namna yoyote

Wakili wa Serikali: Unaposema Kifaaa/Vifaa ni Vya Namna gani

Shahidi: Namaanisha Computer yaani Desktop au Laptop

Wakili wa Serikali: Ulikuwa Unaelezea Umadhubuti wa Hiyo Mifumo, Je ni Kitu gani Kingine

Shahidi: Kwenye Mifumo Hii lazima Uwe na Hivyo Vifaa ambavyo vimeunganishwa na Airtel na siyo Kila Mtu anaweza Kuingia katika mifumo

Wakili wa Serikali: hiyo Mifumo inausalama gani Kuhakikisha nyie watumiaji na Mliyotumia ni Salama

Shahidi: Kwanza Kuna software ambazo ni Firewall ambazo zitatambua a endapo Kuna Mtu anajaribu Kutaka Kuingia, Na Lakini pia Endapo Patakuwa na Tatizo la kimtandao zile Taarifa haziathiriwi Kwa Namna yoyote

Wakili wa Serikali: Na Je Utendaji Kazi wa Huu Mfumo Ukoje

Shahidi: Mfumo wetu ni Madhubuti na hauna hitilafu yoyote, na Inapotokea pale unapoingiza Credentials, kuwa Kuna tatizo na huwezi Kuzifikia Taarifa za Mteja

Wakili wa Serikali: Nini Kinatoa Endapo network inakuwa Chini kwa Taarifa mnazotunza

Shahidi: Network Inapokuwa Down Haiathiri Vile Vilivyomo Ndani, Pale ambapo imerekebishika unaweza Kupata Taarifa

Wakili wa Serikali: Na Kurudisha Nyuma, Ulisema wakati wa Usajili Mteja anaweka Dole Gumba katika Kifaa Je Hilo Kifaa Kinaitwaje

Shahidi: Msajili anakuwa na Vifaa Viwili, Handset na Kifaa cha Dole Gumba ambapo Airtel tunatumia Kifaa Kinaitwa FALOPO

Wakili wa Serikali: Kuna Suala la Intergrity ya Mfumo (uadilifu wa Huo Mfumo) ukoje

Shahidi: Mfumo Wetu sisi ni Automatic generated, Hakuna Taarifa ya Ziada ya Kuongeza, Mifumo yetu Inafanya kazi Vizuri, Tuna Vifaa (software) ili Kusaidia Usalama wa Hiyo Mifumo

Wakili wa Serikali: Intergrity ya Vifaa Mnavyotumia Ofisini Ukoje

Shahidi: Tunatumia Desktop au Laptop, Ambapo Vifaa Hivi vimeunganishwa na Mifumo ya AIRTEL Na uwezi Kufanya lolote, Vifaa hivi vimeunganishwa na Mifumo ambayo inatoa ALERT pale ambapo unafanya Kinyume

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama Sasa hiyo Mifumo NI Mifumo ipi

Shahidi: Mifumo ya Kuweza Kupata Taarifa za Mihamala ni MOBIQUIT kama Nilivyo eleza Ni Mfumo wa Kuchukua Taarifa na Kuhifadhi Miamala

Shahidi: Mfumo Mwingine ni AGILE ambapo Mteja anapofika Dukani na Kufanya Usajili, Basi Uhakiki wa Taarifa Hizo, Zile Taarifa zinaenda Kuhifadhi wa Kwenye Mfumo wa AGILE, Na Kupitia Mfumo huo unaweza Kuzipitia Taarifa hizo

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama Sasa hiyo Mifumo NI Mifumo ipi

Shahidi: Mifumo ya Kuweza Kupata Taarifa za Mihamala ni MOBIQUIT kama Nilivyo eleza Ni Mfumo wa Kuchukua Taarifa na Kuhifadhi Miamala

Shahidi: Mfumo Mwingine ni AGILE ambapo Mteja anapofika Dukani na Kufanya Usajili, Basi Uhakiki wa Taarifa Hizo, Zile Taarifa zinaenda Kuhifadhi wa Kwenye Mfumo wa AGILE, Na Kupitia Mfumo huo unaweza Kuzipitia Taarifa hizo

Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Ieleze Mahakama Mnamo Tarehe 02 July 2021 ulikuwa wapi

Shahidi: Mnamo tarehe 02 July 2021 nikiwa Ofisi za Airtel Morocco Nikiwa nafanya Majukumu yangu

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama Morocco ipo Maeneo gani

Shahidi: Ofisi za Airtel Zipo Morocco hapa hapa Dar es Salaam ambapo Ndipo Kitengo Cha Sheria Kilipo

Wakili wa Serikali: Sasa Wakati Upo Ofisini Kwako Kilitokea Kitu gani

Shahidi: Wakati naendelea na Majukumu yangu ya Sheria, Mkuu wetu wa Idara alini assign Kushughulikia Maombi ya Taarifa

Wakili wa Serikali: Maombi hayo yalitaka nini

Shahidi: Kushughulika na Maombi ya Miamala Ya Fedha ya Namba 0782237913, 0787555200, 0784789944 pamoja na Taarifa za Miamala Iliomba Pia na Taarifa za Usajili

Wakili wa Serikali: Maombi hayo yalitaka nini

Shahidi: Kushughulika na Maombi ya Miamala Ya Fedha ya Namba 0782237913, 0787555200, 0784789944 pamoja na Taarifa za Miamala Iliomba Pia na Taarifa za Usajili

Wakili wa Serikali: baada ya Kupokea Maombi hayo Ulifanya Kitu gani

Shahidi: Nilihakiki Barua kama Imetoka Kwenye Taasisi Husika, ya Uchunguzi Wa Kisayansi, Barua ilikuwa inaongelea Taarifa ya Kiuchunguzi na niliangalia Taarifa Gani inayoombwa, Nilihakiki kama Imegongwa Muhuri Wa Taaaisi Husika

Shahidi: Baada ya Kujiridhisha nili ingia Kwenye Kifaa Changu cha Kazi ambacho ni Computer, Kisha Nikaingia Kwenye Mfumo wa AGILE, Na Mfumo huo Ulifanya kazi Vizuri nikaingiza namba Moja ya Simu ambayo imeombewa Taarifa, na Kisha ikanitolea Taarifa Husika Baada ya Kuchakata

Wakili wa Serikali: Taarifa Inayohusiana na Nini?

Shahidi: Taarifa ambayo Nimeomba Kuhusiana na Zile namba tatu nilizo zitaja awali

Wakili wa Serikali: Kwenye Barua Iliombwa Taarifa za Miamala Ya Fedha na Usajili, Hapa Unaomgelea Kuingia Kwenye Mfumo wa AGILE Je Ulipata Taarifa Ipi

Shahidi: Nilipata Taarifa za Usajili Wa Namba

Wakili wa Serikali: VIpi Kuhusu namba zingine

Shahidi: Hiyo ilikuwa Kwa namba 0784789944 ni kafanya kwa namba ya Pili 0782237913 na Ni kafanya Vilevile Kwa namba ya tatu 0787555200 ambapo Zote nilipata Usajili wa Namba hizo Nika Print

Wakili wa Serikali: Kitu gani Ulifanya Baada ya Kupata hizi Nyaraka

Shahidi: Niliingia Tena Katika Mfumo Wa MOBIQUIT ambapo ni lazima Uinhize Namba na Muda, Tofauti na Ule Mfumo wa AGILE

Wakili wa Serikali: Sasa Kwa Namba hiyo Uliyotaja Unasema iingiza namba na Muda, endelea

Shahidi: Nilipo ingia Namba na Muda, Window Yangu ya Computer Ikaniletea Zile Taarifa,.

Wakili wa Serikali: Baada ya Taarifa hizo Kuja Nini Ulifanya

Shahidi: Nilihakiki tena, Ile namba ambayo imeombewa Taarifa, na baada ya Kujiridhisha nili print na Nikaendelea Kwa Namba Nyingine

Wakili wa Serikali: Nini Kilifanyika Baada ya Zoezi hilo

Shahidi: Baada ya Ku print Kwanza Niligonga Muhuri Wa Airtel Katika Nyaraka zote, Kisha Nikaweka Sahihi Pamoja na Tarehe Lakini Pia Niliandaa Barua (Cover Later) ambayo niliambatanishia Taarifa

Wakili wa Serikali: SASA ieleze Mahakama Hali ya Hiyo Mifumo Uliyotumia Siku hiyo Kama ilikuwa Inafanya kazi Vizuri

Shahidi: Mifumo Hiyo ilikuwa Inafanya Kazi Vizuri, Hapakuwa na Tatizo la Kimtandao na Hakukuwa na Changamoto yoyote Wakati na Print hizo Taarifa

Wakili wa Serikali: Vipi Kuhusiana na Kile Kifaa Kazi ambacho Ulikuwa unakitumia

Shahidi: Kifaa Kilikuwa katika Hali Nzuri na Hakikuwa na Tatizo lolote wala Changamoto Yoyote na Endapo Kingekuwa na Tatizo lolote Basi Pale ambapo Unaingiza Credentials zingakukatalia na Kukutaarifu Kuna tatizo, lakini Katika Kifaa Changu Hapakuwa na Tatizo hilo Siku hiyo

Wakili wa Serikali: Sasa Baada ya Kuandaa hizo Taarifa na Kuweka Cover Later nini Kilifuata

Shahidi: Baada ya Hapo Ni Wasilisha Taarifa hizo Ofisi ya Uchunguzi

Wakili wa Serikali: Nini Kilifanyika Baada ya Zoezi hilo

Shahidi: Baada ya Ku print Kwanza Niligonga Muhuri Wa Airtel Katika Nyaraka zote, Kisha Nikaweka Sahihi Pamoja na Tarehe Lakini Pia Niliandaa Barua (Cover Later) ambayo niliambatanishia Taarifa

Wakili wa Serikali: SASA ieleze Mahakama Hali ya Hiyo Mifumo Uliyotumia Siku hiyo Kama ilikuwa Inafanya kazi Vizuri

Shahidi: Mifumo Hiyo ilikuwa Inafanya Kazi Vizuri, Hapakuwa na Tatizo la Kimtandao na Hakukuwa na Changamoto yoyote Wakati na Print hizo Taarifa

Wakili wa Serikali: Vipi Kuhusiana na Kile Kifaa Kazi ambacho Ulikuwa unakitumia

Shahidi: Kifaa Kilikuwa katika Hali Nzuri na Hakikuwa na Tatizo lolote wala Changamoto Yoyote na Endapo Kingekuwa na Tatizo lolote Basi Pale ambapo Unaingiza Credentials zingakukatalia na Kukutaarifu Kuna tatizo, lakini Katika Kifaa Changu Hapakuwa na Tatizo hilo Siku hiyo

Wakili wa Serikali: Sasa Baada ya Kuandaa hizo Taarifa na Kuweka Cover Later nini Kilifuata

Shahidi: Baada ya Hapo Ni Wasilisha Taarifa hizo Ofisi ya Uchunguzi

Wakili wa Serikali: SASA ieleze Mahakama Hali ya Hiyo Mifumo Uliyotumia Siku hiyo Kama ilikuwa Inafanya kazi Vizuri

Shahidi: Mifumo Hiyo ilikuwa Inafanya Kazi Vizuri, Hapakuwa na Tatizo la Kimtandao na Hakukuwa na Changamoto yoyote Wakati na Print hizo Taarifa

Wakili wa Serikali: Vipi Kuhusiana na Kile Kifaa Kazi ambacho Ulikuwa unakitumia

Shahidi: Kifaa Kilikuwa katika Hali Nzuri na Hakikuwa na Tatizo lolote wala Changamoto Yoyote na Endapo Kingekuwa na Tatizo lolote Basi Pale ambapo Unaingiza Credentials zingakukatalia na Kukutaarifu Kuna tatizo, lakini Katika Kifaa Changu Hapakuwa na Tatizo hilo Siku hiyo

Wakili wa Serikali: Sasa Baada ya Kuandaa hizo Taarifa na Kuweka Cover Later nini Kilifuata

Shahidi: Baada ya Hapo Ni Wasilisha Taarifa hizo Ofisi ya Uchunguzi

Wakili wa Serikali: Hizo Nyaraka Ukiziona Hapa Mahakamani Unaweza Kuzikumbuka

Shahidi: ndiyo

Wakili Wa Serikali: Eleza Utajuaje

Shahidi: Niliandaa na Cover later Niliyo andaa Ilikuwa na Logo ya Airtel, Zile Taarifa, Katika Cover Later hiyo Kuna Jina Langu, Sahihi Yangu na Muhuri Wa Airtel

Katika Cover Later hiyo niliambatanishia Barua ya Maombi Kutoka Ofisi Ya Uchunguzi ya Tarehe ya 01 July 2021 ambayo Inaonyesha Jalada namba ilikuwa ni CD/IR/2097/ 2020 lakini pia Ina namba 3 ambazo ziliombewa Taarifa ambazo 0787555200, 0782237913, 0784779944

Wakili wa Serikali: VIpi Kuhusiana na Zile Taarifa Za Usajili Wa Namba za Simu. Kitu gani Kitakufanya Ukiziona Uzikumbuke

Shahidi: Taarifa hizo Zina namba ya Simu, Majina yangu na Signature Yangu na nimegonga Muhuri Kwa Barua zote pamoja na Tarehe

Wakili wa Serikali: VIpi Kuhusiana na Zile Taarifa Za Usajili Wa Namba za Simu. Kitu gani Kitakufanya Ukiziona Uzikumbuke

Shahidi: Taarifa hizo Zina namba ya Simu, Majina yangu na Signature Yangu na nimegonga Muhuri Kwa Barua zote pamoja na Tarehe

Wakili wa Serikali: Taarifa ya Kwanza Ambayo utaweza Kuitambua ni ya namba Ipi

Shahidi: Taarifa ya Kwanza ni 0787 555200 Ya Pili ni 0782 237913 Namba ya Mwisho ni 0784789944

Wakili wa Serikali: VIpi Kuhusu Taarifa za Miamala

Shahidi: Kuna Taarifa Ya Miamala Ina Jina Langu, Sahihi Yangu, Muhuri Wa Kampuni na Tarehe

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji naomba Kumuonyesha Shahidi Wetu Nyaraka hizo

Wakili wa Serikali: Angalia hiyo Nyaraka na Uniambie ni Kitu gani

Shahidi: Nyaraka Mkononi Mwangu ni Cover letter ambapo Inaonyesha Anuani

Wakili wa Serikali: Angalia Nyaraka Hizo Unazitambua au huzitambui

Shahidi: Cover letter Hii naweza Kuitambua Kwa Sababu Zifuatazo Kwa Sababu ina anuani ya Kampuni ya AIRTEL, Ina namba Ambazo zimeombewa Taarifa, Ina Jina Langu, na Muhuri Wa Airtel

Shahidi: Nyaraka Inayofuata ni Barua KUTOKA Ofisi ya Uchunguzi Wa Kisayansi, na Nimeitambua Sababu, ina Namba ya Jalada Niliyo taja, Ina Muhuri Wa Ofisi ya Uchunguzi Wa Kisayansi.

Shahidi: Lakini pia akuna Taarifa za Usajili Ambazo Zina namba Iliyo ombewa Taarifa, Ina Muhuri Wa Kampuni, Sahihi ambayo ni Ya Kwangu na Tarehe

Wakili wa Serikali: Unasema Kuna namba ambayo Umetaja Mwanzoni, Ni ipi

Shahidi: Ni 0784789944, Kuna Taarifa Ya Usajili Pia wa Namba 0782237913

Wakili wa Serikali: Umeitambuaje

Shahidi: Kutokana na hiyo Namba lakini Pia Ina Muhuri Wa Kampuni, Sahihi ambayo ni Ya Kwangu na Tarehe

Shahidi: Lakini pia akuna Taarifa za Usajili Ambazo Zina namba Iliyo ombewa Taarifa, Ina Muhuri Wa Kampuni, Sahihi ambayo ni Ya Kwangu na Tarehe

Wakili wa Serikali: Unasema Kuna namba ambayo Umetaja Mwanzoni, Ni ipi

Shahidi: Ni 0784789944, Kuna Taarifa Ya Usajili Pia wa Namba 0782237913

Wakili wa Serikali: Umeitambuaje

Shahidi: Kutokana na hiyo Namba lakini Pia Ina Muhuri Wa Kampuni, Sahihi ambayo ni Ya Kwangu na Tarehe

Shahidi: Cover letter Hii naweza Kuitambua Kwa Sababu Zifuatazo Kwa Sababu ina anuani ya Kampuni ya AIRTEL, Ina namba Ambazo zimeombewa Taarifa, Ina Jina Langu, na Muhuri Wa Airtel

Shahidi: Nyaraka Inayofuata ni Barua KUTOKA Ofisi ya Uchunguzi Wa Kisayansi, na Nimeitambua Sababu, ina Namba ya Jalada Niliyo taja, Ina Muhuri Wa Ofisi ya Uchunguzi Wa Kisayansi.

Shahidi: Lakini pia akuna Taarifa za Usajili Ambazo Zina namba Iliyo ombewa Taarifa, Ina Muhuri Wa Kampuni, Sahihi ambayo ni Ya Kwangu na Tarehe

Wakili wa Serikali: Unasema Kuna namba ambayo Umetaja Mwanzoni, Ni ipi

Shahidi: Ni 0784789944, Kuna Taarifa Ya Usajili Pia wa Namba 0782237913 Wakili wa Serikali: Umeitambuaje Shahidi: Kutokana na hiyo Namba lakini Pia Ina Muhuri Wa Kampuni, Sahihi ambayo ni Ya Kwangu na Tarehe

Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Unaiomba Nini Mahakama Kuhusiana na Nyaraka Zote Hizo hapa Mahakamani

Shahidi: Naiomba Ipokee Kama Vielelezo NYARAKA ZINA PELEKWA UPANDE WA UTETEZI Jopo la Mawakili Wa Utetezi Wanazizunguka na Kuanza Kuzichambua

Jeremiah Mtobesya: Mheshimiwa Jaji Kwa Niaba ya Mshtakiwa Wa Kwanza Hatuna Pingamizi Kwa Kuzingatia Haki ya Kufanya Cross Examination

Wakili John Mallya: Kwa Upande wangu sina OBJECTION

Wakili Dickson Matata: Mheshimiwa Jaji Kwa Upande Wangu sina Pingamizi

Wakili Peter Kibatala: Kwa Niaba ya Mshtakiwa Wa Nne hatuna Pingamizi NYARAKA ZINATOKA UPANDE WA UTETEZI ZINAENDA JUU KWA MHESHIMIWA JAJI KUPITIA WASAIDIZI WAKE Jaji anazitizama Mahakama Bado ipo Kimyaaaa

Jaji: tuliishia Kielelezo Namba 14, Si Ndiyo..? Wnaitika NDIYOO!

Bado Mahakama ipo kimya, nyaraka zote kutoka airtel Tanzania kama Ushahidi katika kesi hii ya Jamhuri Vs. FREEMAN Mbowe na wenzake watatu, zipo pale Juu kwa Jaji anazipitia na kuandika masuala yake...

Jaji: Kwa Maana Riport za Transactions ni Namba Mbili Siyo tatu, Si Ndiyo..?

Kibatala: kwa Maana Print Out au Barua Kutoka Airtel.?

Wakili Peter Kibatala: Na sisi tumeona Mbili Jaji Kwa Hiyo Kwenye Registration ni Namba 3 ila Kwenye Transactions ni Namba 2

Jaji: Basi Mahakama Inapokea Vielelezo Kama Ifuiatavyo Barua ya Kwenda Ofisi ya Uchunguzi no Kielelezo namba 15 Barua ya Kuomba Taarifa ni Kielelezo 16 Taarifa Usajili ya 0784789944 ni Kielelezo namba 17 Taarifa ya Usajili ya namba 0782237913 ni Kielelezo namba 18

Taarifa ya Usajili ya namba 0797555200 ni Kielelezo namba 19 Taarifa ya Miamala ya Namba 0787555200 ni Kielelezo namba 20 Taarifa ya Miamala ya Namba 0784789944 ni Kielelezo namba 21 Mawakili wa pande zote 2 wanakubaliana na Uamuzi Jaji na Kusimama. Na Kuinama

Jaji: Sasa taarifa zote zinatakiwa kusomwa na Shahidi kama ulivyo utaratibu

Shahidi ameanza kusoma barua ya Airtel Kwenda Ofisi Ya Uchunguzi Wa Kisayansi Shahidi anasoma sasa barua kutoka Ofisi ya uchunguzi wa kisayansi maombi ya taarifa

Shahidi: anasoma Taarifa ya Usajili wa namba ya Usajili wa Namba 0784789944 Shahidi sasa anasoma taarifa ya usajili wa Namba 0782237913

Shahidi anasoma taarifa ya Usajili wa Namba 0787555200 namba ya Luten Denis Urio

Wakili wa Serikali: Kwa Mujibu wa Kielelezo kinachofuata cha Mihamala ya Namba 0787 555200, Tusomee Miamala ya Tarehe 20 July 2020

Shahidi: Muamala wa Kwanza wa Tarehe 20 July 2020 Namba ya muamala, namba Iliyotuma ni 0784789944, Receiver ni 0787555200 kiasi Kilichotumwa ni TSh 500,000

Wakili wa Serikali: Naomba Utusomee Muamala Wa 22 July 2020

Shahidi: Kuna Miamala mitatu

Wakili wa Serikali: Naomba Utusomee Muamala Wa Pili wa 22 July 2020

Shahidi: Transactions, Muamala Umetoka 0780900244 ametumiwa TSh 199,000 akawa na Jumla ya Tsh 300,000. Kwenda 0787555200

Wakili wa Serikali: Kwa Mujibu wa Kielelezo kinachofuata cha Mihamala ya Namba 0787 555200, Tusomee Miamala ya Tarehe 20 July 2020
Tueleze kweli shshidi kasoma na majina ya wenye namba hizo. WEWE UNAFICHA! WHY?
Shahidi: anasoma Taarifa ya Usajili wa namba ya Usajili wa Namba 0784789944

Shahidi sasa anasoma taarifa ya usajili wa Namba 0782237913

Shahidi anasoma taarifa ya Usajili wa Namba 0787555200 namba ya Luten Denis Urio
 
Tueleze kweli shshidi kasoma na majina ya wenye namba hizo. WEWE UNAFICHA! WHY?
Shahidi: anasoma Taarifa ya Usajili wa namba ya Usajili wa Namba 0784789944

Shahidi sasa anasoma taarifa ya usajili wa Namba 0782237913

Shahidi anasoma taarifa ya Usajili wa Namba 0787555200 namba ya Luten Denis Urio
Namba zinazoishia 44 na 13 wenyewe hawaonekani kwenye kesi.
 
Tumechoka na miamala ya vijisenti ,nikadhan print out maongezi ya Mbowe na wenzake wanavyopanga ugaidi ,yaani hela ya nyanya ifadhili ugaidi!!!!!!
Yaani hizi kesi za kupika ni ngumu sana kuzithibisha
 
Mbona kama vile huyo shahidi amekuja kutangaza biashara ya Airtel mahakamani na sio kutoa ushahidi?
Au mimi ndio sielewi!!?
Ninavyoona Mbowe alimtuma homeboy Urio amtafutue Vijana waliomaliza mafunzo ua kijeshi wa kumlinda nyakati zile za hatari( maandalizi ya uchaguzi) Kwakuwa Lt Urio ni mjeda.

Lt bila kujua akakimbilia kwa kina Kingai kusema Mbowe anakusanya vinaja wa kuchoma vituo vya mafuta.

Kuna ukweli kwamba Mbowe alimpa Urio pesa ili awape vijana wapate Nauli za kuwafikisha Moshi hizo laki sita na vijana walikuwa watatu hadi wanne sawa na laki mbili kila mmoja. Hiki ni kitu cha kawaida. Bosi anapotafuta mfanyakazi aliyeko mbali anamtumia nauli ili kurahisisha mchakato.

Another school of thought ni kuwa Lt alitumiwa na akina Sabaya kumshawishi Mbowe kuwa kutokana na sintofahamu ya Usalama kipindi hiki cha uchaguzi kuna vijana mahili wamemaliza mafunzo ya ukomandoo wako tayari kukulinda na wala sio kosa kisheria.

Ili baadaye ionekane Mbowe anafanya recruitment ya waharifu. Kumbuka 7ya alijiapiza kumnyoosha Mbowe ili kumwonesha bosi mkubwa Ikulu kuwa anaweza.

Ndio maana Shahidi no 1 Urio amefichwa na hutosikia akiitwa mahakamani
 
Hapa ni mwanzo mwisho wa ushahidi wa shahidi huyo wa tisa wa upande wa mashtaka

Tayari Jaji Joachim Tiganga ameshaingia mahakamani

Mawakili wa pande zote wanajitambulisha.

Wakili Kidando- Shauri Hilo limekuja kwa ajili ya kuendelea na ushahidi na kwa leo tunaye shahidi mmoja, hivyo tupo tayari kuendelea.

Jaji- Upande wa uetetezi mpo tayari kuendelea?

Kibalata: Tupo tayari kuendelea.

Kwa sasa shahidi amefuatwa nje kwenda kuchukuliwa na wakili wa Serikali Tulimanywa Majigo

Wakili anayemuongoza shahidi Anaitwa Jenitreza Kitale Ni wakili wa Serikali Mwandamizi



Jaji: Majina yako Shahidi?

Shahidi: Gladys Fimbari (39) Mwanasheria wa kampuni ya Airtel Tanzania.

Shahidi anaapa.

Shahidi anaongozwa kutoa ushahidi wake na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Jenitreza Kitale

Wakili wa Serikali Mwandamizi Kitale.

Nafanya kazi Airtel Tanzania (PLC), Dar es Salam.

Awali wakati najiunga mwaka 2014 mwezi wa nane, niliajiriwa kama ofisa sheria, lakni Machi, 2021 nilibadilishwa cheo na kuwa meneja kitengo cha sheria.

Aiterl PLC inajihusisha na mawasiliano ikijihusisha na hudma za kupiga simu, internet na kutoa huduma za muamala kupitia Airtel Money.

Shahidi: Ili uweze kupata huduma zetu unatakiwa uwe na simcard ya Airtel.

Ili kuweza kufanya usajili lazima mteja awe amenunua simcard na awe na namba za Kitambulisho Cha Taifa.

Baada ya hapo mtu anayemhudumia atachukua majina yake na kumuunga katika mifumo yetu na kisha mteja atatakiwa aweke dole gumba na msajili wetu atafanya uhakiki kupitia mifumo ya Nida amabayo imeunganishwa na mifumo yetu ya usajili.

Baada ya kufanya uhakiki, atakapopata taarifa kutoka Nida kuhusiana na uhakiki wa namba.

Baada ya kupata uhakikiki, Nida watatoa taarifa za mteja na taarifa zote zitahifadhiwa kwenye mfumo iliyounganishwa na hapo usajili utakuwa umekamilika.

Ofisa Msajili wa Airtel anapata taarifa kutoka Nida kutokana na mifumo yetu imeunganishwa na Nida.

Mteja anapiingiza dole gumba

Shahidi: Mteja anapotoa majina yake pamoja na namba ya Kitambulisho Cha Nida, zile taarifa zinahakikiwa na Ofisa wetu Airtel kwa ajili ya kuhakikia na kwamba mifumo yetu imeunganishwa na Nida.

Majukumu yangu kama meneja wa sheria

kutoa ushauri katika mambo mbalimbali ya kisheria kwa kampuni; kuandaa na kujibu notes za kisheria zinazohusu kampuni na nyaraka nyingine za kisheria; kufuatilia kesi zinazohusu kampuni amabzo zipo mahakamani; natoa taarifa za kichunguzi kwa taasisi zinazoombwa taarifa na nina ninapokea amri ya mahakama.

Elimu yangu ni shahada ya Sheria kutoka UDSM niliyoipata mwaka 2006

Pia nina certificate basic Skills ya Kompyuta niliipata chuo Kikuu Cha DSM mwaka 2011.

Pia nilipojiunga na Airtel mwaka 2014 nilipata mafunzo ya ziada ikiwemo ujuzi wa mifumo ambayo ninaitumia kwa kazi yangu ya kila siku.

Nilipata taaluma ya kutumia mifumo inayotumika kuhifadhi mifumo ya fedha inayofanywa na mteja, mafunzo hayo niliyapata kwa muda wa wiki mbili

Pia nilipata Mafunzo kuhusiana na mfumo wa business Intelligence (Mfumo unaotunza taarifa za mteja).

Pia mwaka 2019, nilipata Mafunzo ya mfumo wa kutunza taarifa za usajili wa mteja wa kibiometric na katika mafunzo hayo tunafundishwa mambo mbalimbali ikiwemo jinsi taarifa zinavyochukuliwa na kuhifadhiwa katika mifumo hiyo, usalama wa mifumo endapo kunatikea tatizo la kimtandao na la kiteknolojia Nini ambacho tunatakiwa kufanya na utunzaji wa zile taarifa kwa ujumla.

Mfumo huu wa Agile (mfumo wa kutunza taarifa za usajili za mteja kwa njia ya biometric), mtumiaji wa mfumo, mfumo huu unatunza taarifa na miamala pale ambapo mteja anapotuma au kupokea pesa.

Mfumo wa business Intelligence ni pale ambapo mteja anapofanya mawasiliano akiwa karibu na mnara, yale mawasiliano yake yanachukuliwa na kwenda kutunzwa kwenye server na baada ya hapo unapotaka kuifikia hii taarifa unatumia mfumo huu wa business Intelligence.

Mawasiliano haya ni pale mtaja anapopiga simu, anapopokea simu na hata anapotumia huduma ya internet.

Mifumo hiyo miliwi niliyoitaja nimeitumua tangu nilipojiunga na Airtel mpka sasa, lakini mwaka 2019 ndio nilianza kutumia mfuno wa Agile.

Shahidi: Taarifa ninazotoa za kiuchunguzi kwa taasisi au vyombo vya kiuchunguzi ni Jeshi la Polisi, PCCB, Tume ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya, TCRA na tunatoa kwa FIU (Financial Intelligence Unit) na mteja binafsi pia anaruhusiwa kupewa taarifa.

Vyombo hivyo huwa vinaomba taarifa za miamala ya kifedha, kupiga na kupokea simu pamoja na usajili.

Shahidi: Taratibu za kuomba taarifa za kuchunguzi ni hizi hapa,

Kwanza, chombo au taasisi ya kuomba uchunguzi huwa ina leta barua ya maombi na maombi haya yanawasilishwa katika kampuni ya Airtel kupitia upande wetu wa mapokezi, yakishapokelewa yananakiliwa katika kitabu chetu na kupelekwa kitengo cha sheria na baada ya hapo Mkuu wetu wa Kitengo cha sheria anasaini kuyafanyia kazi maombi hayo.

Baada ya kukamilisha vitu vyote, ofisa Sheria ana hakiki barua hiyo na kiuchunguza vizur ikiwemo anuani husika na nembo husika na kuhakiki ni taarifa gani zimeombwa? Na je taarifa hizo Ni za kiuchunguzi? Na kama taarifa hizi sio za kiuchunguzi hatuwezi kuzifanyia kazi, pia barua hiyo iwe na mhuri kutoka taasisi husika.

Watu wanaoshughulikia maombi haya ya kiuchunguzi ni wawili ambao ni mimi na mwenzangu.

Shahidi: Baada ya kujiridhisha tunaingia katika mifumo niliyoitaja hapo awali.

Ninapoingia katika kompyuta yangu nainginza Username na Password.

Username na Password naipata kutoka Kitengo cha IT ambapo mimi peke yangu ndio nafahamu na baada ya hapo naingia katika mfumo.

Baada ya hapo naingiza namba ya simu ya mteja na muda ninaoangalia hizo taarifa.

Baada ya kuingia katika mfumo huo, nachakata taarifa na kutozitoa huko zilipohifadhiwa na kuzileta kwenye page yangu.

Baada ya kuweka katika page yangu, naanza tena kuzihakiki taarifa zilizotoka katika mfumo na chombo husika na iliposajiliwa kama ni sahihi na kisha na print.

Nikisha print naangalia tena hiyo nakala niliyoprint na kujiridhisha na barua ya maombi na ni sahihi hicho walichoomba kwa ajili ya uchunguzi Kisha nagonga mhuri na kuandaa cover latter kwa ajili ya kuwasilisha.

Kuna kila mfumo, hivyo kama ni mambo ya financial nayakuta huko na Watu wengine katika taasisi yetu ambao wanapewa access ya kuona taarifa za wateja

Wapo wa aina mbili ambao ni customer Service na Call Center. Hawa ndio wana access ya kuona taarifa za wateja kwa ajili ya huduma za majumbani na biashara.

Ambaye anauwezo wa kuona na hana uwezo wa kufanya kitu chochote kwani taarafa hizo zinakuwa katika mfumo wa Read Only (Yaani taarifa hizo ni kwa ajili ya kusoma) na watu hao wa kuona tu ni Customer Service, Agent, Call Center.

Kwenye kundi la pili ambalo ni kitengo cha Sheria, ambapo sisi tuna access ya kuona, kusoma na kuprint lakini haturuhisiwi kurekebisha na hakuna mtu yoyote ambaye anaweza kuingilia mifumo hiyo.

Pia mifumo hii inalindwa na imewekewa mifumo ya usalama (Firewalls) kwa ajili ya kulinda mifumo na taarifa zake.

Shahidi: Mifumo hii imeunganishwa na Airtel nasema kwamba huwezi kutumia kifaa chochote kuaccess na sababu kubwa ni kwa ajili ya usalama.

Usalama uliopo katika mifumo hiyo, kwanza tuna firewalls ambapo kama kuna mtu anataka kuingia tunapata taarifa, pia internet ikiwa down taarifa za wateja haziwezi kuathiriwa kwa njia yoyote na mfumo wetu ni madhubuti na unafanya kazi sawasawa.

But mfumo huu kuna wakati internet inakuwa down na unakupa ishara.

Wakili: Hebu tueleza kipindi network inapokuwa down taarifa mlizotunza kwenye server huwa zinakuwaje?

Shahidi: Network inapokuwa down, haiwezi kuathiri mifumo yetu au taarifa zilizopo ndani ya mifumo huwa haziguswi au kupata changamoto

Wakili Kitale: Umesema hapa mifumo yenu ni Intelligent (uadilifu) hebu ieleze mahakama uadilifu wa mifumo yenu ikoje?

Shahidi: Hakuna mtu wa kuingilia mifumo, unafanya kazi vizuri muda wote na tuna software ambayo tumeweka ili kuangalia usalama wetu.

Wakili Kitale: Mnamifumo ipi?

Shahidi: Tuna mifumo mitatu.

Mfumo wa kwanza unaitwa Mouituity, hiyo ni kuchukua taarifa za mteja na kuhifadhiwa katika server na endapo tunahitaji kupata taarifa za miamala tunaweze kuangalia katika mfumo huu.

Mfumo wa pili ni Agile- ambapo inahusika na usajili na uhakiki wa namba ya mteja.

Mfumo wa watatu ni Business Intelligence.

Wakili Kitale: Unakumbuka Nini mnamo tarehe 2 mwezi wa saba mwaka 2021?

Julai 2, 2021 nilikuwa ofisi za Airtel Morocco nikiwa nafanya majukumu yangu.

Siku hiyo nikiwa ofisini alikuja Mkuu wa Idara ya Sheria wa Airtel, alinielekeza mimi nishughulikie maombi kutoka ofisi ya uchunguzi wa kisayansi ya Jeshi la Polisi.

Maombi hayo yalikuwa yanataka taarifa za miamala ya fedha katika namba 0782 237913 na namba nyingine ilikuwa 0787 555200 na namba ya tatu ilikuwa 0784 779944 pia barua hiyo iliomba niangalie taarifa za usajili za line hizo.

Baada ya hapo, nilihakiki ile barua address yake kama inatoka taasisi husika, niliangalia barua hiyo kama kweli inaaongelea uchunguzi, taarifa zinazoombwa ni za muda gani na kuhakikisha kama kweli line hizo zimesajiliwa.

Baada ya kujiridhisha niliingia katika kituo changu cha kompyuta kisha nikaingia katika mfumo wa Agile na nikaingiza namba moja ya simu ambayo imeombewa taarifa na kisha ikanitolea taarifa inayohusiana.

Shahidi: Nilipata taarifa za usajili wa namba 0787555200, 0782237913 na 0784 779944 na kisha nikaprint nyaraka zote tatu baada ya kupata taarifa.

Katika mfumo wa obiquity ni lazima uingize namba na muda hivyo nilifanya hivyo kwa namba za simu zote tatu.

Barua hiyo ya Polisi iliomba taarifa za line zote tatu kuanzia 1/6/2020 mpaka 31/7/2020.

Baada ya taarifa hizo kuonekana katika mfumo, nilijiridhisha na kuprint taarifa zote.

Baada ya kuprint, nyaraka hizo nilweka mhuri na kuweka sahihi pamoja na tarehe husika.

Pia niliandaa barua kwa ajili ya kuambatanisha taarifa ambazo niliandaa.

Wakili Kitale: Ukiona barua hizo utazitambuaje?

Shahidi: Nitazitambua kwa saini yangu, mhuri wa kampuni ya Airtel PLC, tarehe husika na namba za simu ambazo nimezitolea taarifa ambazo ni 0787 555,200, 0782 237913 na 0784779944.

Kuhusu taarifa za miamala ya fedha ambayo nimeitolea taarifa katika simu hizo, Nitazitambua kwanza namba za simu ambazo zinaonekana katika ile taarifa, mhuri wa kampuni, saini yangu na tarehe.

Wakili Kitale: Shahidi hebu shika nyaraka hizi na utuonyeshe ipi ni taarifa ya miamala ya fedha ipi ni taarifa ya usajili wa namba hizo.

Shahidi amezitambua nyaraka hizi moja baada ya nyingine kwa kuzionyesha mahakaman.







Shahidi: Naomba mahakama ipokee nyaraka hizi zitumike kielelezo katika kesi hii

Upande wa mashtaka wamewapatia nyaraka hizo mawakili wa upande wa uetetezi ili waweze kuzipitia.

Kibatala: Mheshimiwa jaji kwani niaba ya mshtakiwa wa nne (Freeman Mbowe) hatuna pingamizi dhidi ya nyaraka hizi.

Wakili Mtobesya: Kwa niamba ya mshtakiwa wa kwanza (Halfan Bwire) Hatuna pingamizi.



Wakili Mallya: Kwaniaba ya mshtakiwa wa pili (Adam Kasekwa) hatuna pingamizi.

Wakili Matata: Mheshimiwa Jaji kwa niaba ya mshtakiwa wa tatu (Mohamed Ling'wenya) hatuna pingamizi.

#KesiMbowe #MwananchiUpdates

Jaji- Baada ya upande mashtaka kuomba nyaraka hizi zipokelewe na kwa vile upande wahawajapinga kupokelewa kwa nyaraka hizi, hivyo Mahakama imevipokea vielelezo hivyo kama ifuatavyo

Jaji- Barua ya uchunguzi wa Kisayansi kutoka Jeshi ya Polisi ya tarehe 2/7/2021 imepokelewa na kuwa kielelezo namba 15.

Barua ya Jeshi la Polisi ya tarehe 1/7/2021 itakuwa kielelzo namba 16 chha upande wa mashtaka.

Taarifa ya usajili wa namba 0784 77 99 44 kuwa kielelezo namba 17.

Taarifa ya usajili wa namba 0782 237913 kuwa kielelezo namba 18.

Taarifa ya usajili wa namba 0787 555200, imekuwa kielelezo namba 19.

Taarifa ya print Out ya miamala ya fedha namba 0787 555200 na kuwa kielelezo namba 20.

Taarifa ya print out ya miamala ya fedha namba 0784 779944, imekuwa kielelezo namba 21 cha upande wa mashtaka.

Jaji: Hivyo mahakama inaelekeza nyaraka hizi zisomwe na shahidi.

Shahidi ameanza kusoma nyaraka hizo moja baada ya nyingine kwa kutaja namba hizo za simu na majina yaliyosajiliwa na miamala iliyotumwa katika kesi hizo.

Shahidi: Katika namba 0784 779944 imesajili kwa jina la Freeman Aikaeli Mbowe (Mshtakiwa wa nne) katika kesi hiyo.

Shahidi: Namba 0787 555 200 imesajiliwa kwa jina la Denis Leo Urio.

Shahidi: Namba ya simu 0782 237913, imesajiliwa kwa jina la Halfan Bwire Hassan (Mshtakiwa wa kwanza katika kesi hiyo)

Shahidi- Muamala iliyotumwa tarehe 20/7/2020 kwenye namba 0787 555 200, ambayo kwa mujibu wa kielelezo namba 20, namba hiyo imesajiliwa kwa jina la Denis Leo Urio, ilipokea Sh 500,000 kutoka kwenye namba ambayo ni Collection Account 780900174, na mhusika mwenye namba ya Airtel 0787 555200 alikuwa na salio kiasi cha Sh 46, 646 katika simu yake na hivyo akawa na jumla ya kiasi cha Sh 546,646 baada ya kuingizwa Muamala wa Sh 500,000

Shahidi: Pia tarehe 22/7/2020, namba ya simu ya Denis Urio (0787 555 200) ilipokea fedha Sh 199,000 kutoka namba 0780 900244.

Shahidi: Tarehe 31/7/2020 namba 0784 779944, ambayo katika kielelezo namba 21, imesajiliwa kwa jina la Freeman Aikaeli Mbowe, ilituma fedha kiasi cha Sh80,000 kwenda namba 0782 237913 yenye jina la usajili Halfan Bwire Hassan.

Shahidi: Hiyo Tarehe 20/7/2020 Muamala mwingine uliofanyika kwa namba ya 0787 555200 alituma kiais Cha Sh 300,000 kwenda namba 0785191954.

Wakili Kitale: Mheshimiwa Jaji kwa upande wetu ni hayo tu.


Kibatala: Mheshimiwa Jaji nilikuwa nashauria na wenzangu upande wa mashtaka tuahirishe kwa muda wa dakika 45.

Jaji: Basi kama alivyoomba upande wa utetezi na kukubaliana na wenzao wa upande wa mashtaka, naahirisha kesi hii kwa dakika 45 hadi saa 8:30 mchana itakapoendelea kwa shahidi kuhojiwa na upande wa uetetezi.
... acha kuchafua uzi wewe!
 
Ninavyoona Mbowe alimtuma homeboy Urio amtafutue Vijana waliomaliza mafunzo ua kijeshi wa kumlinda nyakati zile za hatari( maandalizi ya uchaguzi) Kwakuwa Lt Urio ni mjeda.

Lt bila kujua akakimbilia kwa kina Kingai kusema Mbowe anakusanya vinaja wa kuchoma vituo vya mafuta.

Kuna ukweli kwamba Mbowe alimpa Urio pesa ili awape vijana wapate Nauli za kuwafikisha Moshi hizo laki sita na vijana walikuwa watatu hadi wanne sawa na laki mbili kila mmoja. Hiki ni kitu cha kawaida. Bosi anapotafuta mfanyakazi aliyeko mbali anamtumia nauli ili kurahisisha mchakato.

Another school of thought ni kuwa Lt alitumiwa na akina Sabaya kumshawishi Mbowe kuwa kutokana na sintofahamu ya Usalama kipindi hiki cha uchaguzi kuna vijana mahili wamemaliza mafunzo ya ukomandoo wako tayari kukulinda na wala sio kosa kisheria.

Ili baadaye ionekane Mbowe anafanya recruitment ya waharifu. Kumbuka 7ya alijiapiza kumnyoosha Mbowe ili kumwonesha bosi mkubwa Ikulu kuwa anaweza.

Ndio maana Shahidi no 1 Urio amefichwa na hutosikia akiitwa mahakamani
... mimi mwenyewe leo nimefanya transactions nne tofauti zinazofikia jumla 1.6m/- sembuse hiyo laki 6 tena kwa don kama Mbowe! Pamoja na huyo Urio "kufichwa"; utetezi wakikomaa apelekwe mahakamani sioni namna gani itashindikana otherwise shauri lote litakuwa halina maana kwa sababu Urio ndiye yuko katikati ya sakata zima!

Kimsingi Urio ndiye main character wa shauri lote akicheza pande 4; Urio <===> Sabaya/big boss; Urio <===>Mbowe; Urio <===> Makomandoo; Urio <===> Kingai et. al. Huyu ni muhimu kuliko hata Mbowe kwenye hii kesi! By the way, Airtel na mtandao mingine ya simu wanatakiwa walazimishwe kuwasilisha mahakamani transactions za Urio na pande 4 hizo badala ya za Mbowe tu! Utashangaa!
 
Ninavyoona Mbowe alimtuma homeboy Urio amtafutue Vijana waliomaliza mafunzo ua kijeshi wa kumlinda nyakati zile za hatari( maandalizi ya uchaguzi) Kwakuwa Lt Urio ni mjeda.

Lt bila kujua akakimbilia kwa kina Kingai kusema Mbowe anakusanya vinaja wa kuchoma vituo vya mafuta.

Kuna ukweli kwamba Mbowe alimpa Urio pesa ili awape vijana wapate Nauli za kuwafikisha Moshi hizo laki sita na vijana walikuwa watatu hadi wanne sawa na laki mbili kila mmoja. Hiki ni kitu cha kawaida. Bosi anapotafuta mfanyakazi aliyeko mbali anamtumia nauli ili kurahisisha mchakato.

Another school of thought ni kuwa Lt alitumiwa na akina Sabaya kumshawishi Mbowe kuwa kutokana na sintofahamu ya Usalama kipindi hiki cha uchaguzi kuna vijana mahili wamemaliza mafunzo ya ukomandoo wako tayari kukulinda na wala sio kosa kisheria.

Ili baadaye ionekane Mbowe anafanya recruitment ya waharifu. Kumbuka 7ya alijiapiza kumnyoosha Mbowe ili kumwonesha bosi mkubwa Ikulu kuwa anaweza.

Ndio maana Shahidi no 1 Urio amefichwa na hutosikia akiitwa mahakamani
Kila Jambo linamwisho
 
Mtobesya: Je Ungependa Maelezo Yako yaingie Katika Kumbukumbu za Mahakama

Shahidi: Nikipata Miongozo

Mtobesya: Nakuuliza wewe, Si Umesema Ndiyo Maelezo Yako

Shahidi: Nahitaji Nafasi Kidogo Ya Kutafakari

Shahidi: Nilisha Wasilisha Vielelezo Vya awali, Naomba hii Isiingie

Mtobesya: Kwa hiyo hutaki

Shahidi: Sijasema kuwa sitaki, ila Nishatoa Vielelezo Vya awali Shahidi: Nisha Jibu swali Mtobesya: Mheshimiwa Jaji naomba niwe Guided Kuwa amekubali au amekataa

Jaji: Kwani wewe Umesikiaje

Mahakama: kicheko

Jaji: Nafikiri tumpe Muda wa Kushauriana na Mawakili wake

Mtobesya: Lakini hairuhusiwi Hiyo, Nimemuuliza shahidi Kizimbani sitegemei afundishwe Majibu

Jaji: Nyie Upande wa Serikali mnasemaje

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji nafikiri kasha Jibu swali

Jaji: Bado haja Jibu swali

Wakili wa Serikali: Basi Wakili aendelee na Cross Examination

Jaji: Kuimove Mahakama au Cross examination,.?
... wakili msomi wa Airtel kaanza kujichanganya; ha ha ha! Hapo hapahitaji nyodo ni nondo tu; anadhani yuko customer support hapo na viburi vyao?
 
Back
Top Bottom