Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Upande wa Utetezi waanza kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka 26 Novemba, 2021

Inzi wa kijani mna bongo ndogo na nyepesi sana! Kuna ushahidi gani ulionyooka pale zaidi ya mbege ya Rau Madukani, na vitabu vya kuandikishwa mahabusu?
 
tangu kesi ianze sijaona popote kwenye Ushahidi wa Ugaidi zaidi ya mbege ya pale Rau madukani kwa mama P.
Bado wapo kwenye kesi ndogo hawajaanza hata hiyo kesi kubwa kibatala wanapotezea muda tu wakili uchwala
 
Si chadema walisema mahakama ya mafisadi na majizi haipo?

Inakuweja tena Mungu wao anahudhuria hapo.
Daaaah! Ili mradi tu na wewe umeandika, bila kujali fahali ya kuwa ni sehemu ya wana JF, itambulikayo kuwa ni nyumbani kwa ma G/Thinkers!
 

Halafu kuna wapuuzi wanabeza nyeto! Nyeto moja tu ingeliepusha Taifa na hii takataka.
 
Si chadema walisema mahakama ya mafisadi na majizi haipo?

Inakuweja tena Mungu wao anahudhuria hapo.
CCM Haikuweza kuwashitaki wahujumu wote Hadi Akina Singh na IPTL yake wooote walionekana sio wahujumu wanaostahili kufikishwa ndani ya jengo hilo!
Ila CCM ikaona Mbowe anastahili kuhukumiwa ndani ya jengo hilo Kama mhijumu na gaidi anaefadhiri Ugaidi kwa sh 600,000 kwa watu watatu
1. Wakafyeke miti Moro - Iringa
2, wakachome vituo vya mafuta Dom - Dar
3. Waitishe maandamano nchi mzima.
4. Wahakikishe nchi haitawaliki.
Kumbuka hayo yote kwa 600k.
Ukitoa hela ya kununulia panga na mashoka na chainsaw moja hela inaisha.
Huo Ni Ugaidi au ujinga tuambieni ninyi mnao imba hizo pambio!
 
Halafu kuna wapuuzi wanabeza nyeto! Nyeto moja tu ingeliepusha Taifa na hii takataka.
Kwa hoja yako..nikiashiria yakwamba haunatofauti na toilet paper ya chooni..ila bora ile toilet paper kuliko wewe kwasababu inarangi nyeupe.
 
Si chadema walisema mahakama ya mafisadi na majizi haipo?

Inakuweja tena Mungu wao anahudhuria hapo.
Usifanye upuuzi wa kulitaja hovyo jina lililokuu tena kwa kuanza na herufi kubwa... Usijichumie laana kwakutafuta sifa
Hayo hufanywa na wanaotumwa na shetani?
 
Kwani hukumu sibado mkuu, jaji sasaivi kaziyake nikusikiliza tu. Ingawa mbakasasa mimi kama mimi sioni ushahidi wenye nguvu .
Kwani hujafatilia hukumu za kesi ndogo ndani ya kesi kubwa pamoja na hukum za mapingamizi ukaona hii ni fedhea?
 
Update siku izi zinachelewa sana
Sana
Hawa Manasheria wa Serikali wanaipa hasara Serikali,
 
Mashahidi wote ukiangalia wanazungumzia Sana ukamataji zaidi na wote asilimia kubwa ni askari kwa uwingi wao itachukua muda mrefu huku watuhumiwa wakiwa wanatabika gerezani kwa kesi isiyo na kichwa Wala miguu.
 
Kazi nzuri
 
Matata mbona maswali yake hayana mtiririko mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…