johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mimi ndio nimewakumbusha bwashee labda walikuwa bado wanahesabu sadaka za jana!Molemo media tuombe radhi kwa kuchelewa kutuhabarisha siku ya leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ndio nimewakumbusha bwashee labda walikuwa bado wanahesabu sadaka za jana!Molemo media tuombe radhi kwa kuchelewa kutuhabarisha siku ya leo
Nawashangaa chadema wanashindwa kurusha mikutano yao live,na Wana chadema tv on line na pia Wana bavicha tv,tatizo ni nini?
Aisee!Maandalizi ni mazuri sana hapa Shinyanga na wananchi wana hari sana ya kumsikiliza Rais
Jpm ataelekea taboraKwahiyo watakutans JPM tinder manake nayeye Yuko Nzega
Kwahiyo watakutans JPM tinder manake nayeye Yuko NzegaLissu ndani ya shyinyanga# ni yeye 2020View attachment 1556276
Acha Blah BlahLive broadcasting inawaumbua, picha na clip zinazoletwa hapa zimepitia uhariri zile nzuri kwa chama ndio zinatoka, Mbagala na Kawe walifanya live broadcasting ni aibu mtupu, Kawe mkutano ulikuwa kama kampeni za udiwani.
Lissu ndani ya shyinyanga# ni yeye 2020View attachment 1556276
Hii picha othman michuzi aliipiga saa ngapi? hawa watoto wa Ibilisi tabu sana
Usiweke picha za 2015, lete za leo kamanda. Michuzi hayupo kwenye kampeni team ya CDM, hizo ni picha za 2015 za Lowasa.
Acha Blah Blah
Mbona namuona board guard wa lissu
Sitaki kuamini hao niaskarLissu ndani ya shyinyanga# ni yeye 2020View attachment 1556276
Ahahahahahahahah! Anawadanganya wenzake wasio na uwezo wa kufikiri.Mwanza, Shinyanga mnasafiri usiku kucha ?,pathetic!
Unashangaa nn kama safari wameianza saa 6 usiku?? Je unajua wamesafiri kwa kutumia chombo gn? Usiandike tu fikiri kablaAhahahahahahahah! Anawadanganya wenzake wasio na uwezo wa kufikiri.
Tatizo lako molemo taarifa unaleta asubuhi video na picha mpaka uunganishe hapo watu tumehamia kwenye shughuli zingine- jitahidi kuweka picha na video mapema bosi
Wanakwambia jamaa anasafisha macho ananoa bongo ya waliolala huchoki kumsikiliza na ni kitulizo cha mioyo ya watu huyu ana karma ndani yake Mungu amtangulie kila aendapoMaandalizi ni mazuri sana hapa Shinyanga na wananchi wana hari sana ya kumsikiliza Rais