Tip Master
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 505
- 560
Asante sana kwa umakini maana hawa jamaa mwaka huu duh![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]... makamanda mwaka huu kazi wanayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana kwa umakini maana hawa jamaa mwaka huu duh![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]... makamanda mwaka huu kazi wanayo.
Uwe mtaalamu mbobezi wa mila za kusimika hakukufanyi uwe na uhalali wa kusimika.. isipokuwa Kama burudani tu..Anasimikwa na wataalam wa kusimika na wanao zijua mila na kanuni za kisukuma
Huyu uchifu ulisha expire?View attachment 1556691
chadema mna vituko
Dalili za mimba changa hizi, watu wakijaa utasikia ooh hawajajiandikisha mara hawapigi kura, sijui hizo ni za lowaxsa mara ooh Lissu hafai sasa kama hayo ni kweli mbona unamfuatilia Lissu kila wakati? Hizi ni dalili za Kichefuchefu nenda ukale udongo/pemba vinginevyo subiri clinic huku Kwa wanaume marufuku.Live broadcasting inawaumbua, picha na clip zinazoletwa hapa zimepitia uhariri zile nzuri kwa chama ndio zinatoka, Mbagala na Kawe walifanya live broadcasting ni aibu mtupu, Kawe mkutano ulikuwa kama kampeni za udiwani.
Ndiyo tayari kesha simikwa na ndiyo chief hao wengine watakao fuatia watakuwa wanaiga tuUwe mtaalamu mbobezi wa mila za kusimika hakukufanyi uwe na uhalali wa kusimika.. isipokuwa Kama burudani tu..
Wanaweka na za Lowassa za 2015Live broadcasting inawaumbua, picha na clip zinazoletwa hapa zimepitia uhariri zile nzuri kwa chama ndio zinatoka, Mbagala na Kawe walifanya live broadcasting ni aibu mtupu, Kawe mkutano ulikuwa kama kampeni za udiwani.
Ajiandae na hukumu ya mwenye kuhukumuAnaweza kuamuru hao waliomsimika wabambikiwe kila mmoja kete mbili za unga
Lissu ana kagwa, wala hapandi nzule, ukipandishwa nzule na haustahili unakufa na msimikaji anakufuata wanalijua hilo na hawatathubutu kufanya, hapo anahanwa tu au Kukagwa, hata kuhembekwa hajafikiaUwe mtaalamu mbobezi wa mila za kusimika hakukufanyi uwe na uhalali wa kusimika.. isipokuwa Kama burudani tu..
Mbona yapo Mwadui yanachimba almasi na Mangosha ndio walinziHakuna ngosha anayejipendekeza kwa mabeberu!
Acheni uzwazwa wa lumumba.... Zikowapi za 2015?Wanaweka na za Lowassa za 2015
Hahahahaha mwaka huu wanalo watatengeneza picha mpaka wakome!!hiyo picha ni msafara wa Lowasa akiwa sumbawanga mwaka 2015 kwenye kampeni Chadema acheni usanii sio msafara wa leo wa Lisu huo!!
View attachment 1556346
Weeeee! Unasema?????Lisu ni wakawaida sana kwa Magufuli.
Imewekwa link hapo juu na YEHODAYA angalia ujiridhishe!! Mtanyooka tu janja yenu imeshajulikana!Acheni uzwazwa wa lumumba.... Zikowapi za 2015?
Hii ni ya Lowassa 2015 Sumbawanga kawadanganye wanasaccos huko!Lissu ndani ya shyinyanga# ni yeye 2020View attachment 1556276
Kwa hiyo na wale ccm wanaosimikwa nao hurogwa? Kwasababu safari hii Uchawi wa CCM unegonga mwamba Mwenge wa wachawi umezimwa na Mungu tegemeeeni Nec karata yenu ya mwishoWasukuma wameshamroga hapo hashindi aangalie wenzie waliorogwa pia kupitia huo mchezo wakashindwa kura wa kwanza huyu hapa
View attachment 1556695
Wa pili kurogwa kwa mtindo huo huyu hapa
View attachment 1556702
Lissu ndiye rais wako wa awamu ya sita