Yaliyojiri mechi ya Yanga Vs Simba Feb 20, 2016 Yanga yapaa kileleni

Yanga wako 12 na refa
Hivi hakuna mipira ya wanawake ya kwenda kuchezesha mpaka uchezeshe Yanga na Simba?
hiyo ni lazma haina ubishi yani leo yanga lazma wakae tu
wa wapi huyu mama?limeniudhi

Muwe tu wavumilivu wakati hizi sindano za masaa zinawaingia. Hamtoki watani wetu wa jadi. Si yule Jerry Muro anawaitaga eti nyinyi ni wa mchangani? sasa mtashindana vipi na wakimataifa. Tuwe tu wapole.
 
Muwe tu wavumilivu wakati hizi sindano za masaa zinawaingia. Hamtoki watani wetu wa jadi. Si yule Jerry Muro anawaitaga eti nyinyi ni wa mchangani? sasa mtashindana vipi na wakimataifa. Tuwe tu wapole.
duu yamekua hayo tena? Kwel yebo nyumba ya maneno yan mmesaidiwa na refa bado mnaongea?
 
dah! Refa haya eti yanga hawana hata kadi ya njano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…