Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Mkombe salama?Huyu refa kaokotwa wapi sijui
refa kaharibu gameUPDATES?
Nadhani umechanganyikiwa tu,sio akili zako hizi.Linarudi mtani...!!!
Hahahaaah sijachanganyikiwa, wachezaji ndio wamechanganyikiwaNadhani umechanganyikiwa tu,sio akili zako hizi.
Simba tumepoteana
kweri mmepoteana loh !!refa kaharibu game
Safi azamAzam wanaweka LA 2
[emoji3] [emoji2] me nashauri mnyama akicheza na sijui ndala kusiwe na card maana upande mmoja unalialia, me sifungamani na upande wowote lakiniNi mazingira ya kuhakikisha simba inafungwa tu,kwanza TFF wanashangaza sana sijui wamemuokota wapi huyu muuza papuchi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Shabiki wa Simba kabebwa na machela,bila shaka huyo ni GENTAMYCINE