Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
HUYO MZEE WA MIELEKA. ATABWABWAJA NINI TENA NAWAKATI SISI WAHAYA TUNASEMA CCM INATOSHA BAADA YA KUPATA MELI YETU.Nimefurahi sana kuona Magufuli anaenda kabla ya Lissu. Namsubiri Lissu aende awakumbushe matatizo yao! Good one!
Mkuu wamefanyaje tena hao akina Infact.Bukoba wameona isiwe shida, wamechomoa betri mchana kweupeee!
Hapo Tundu Lissu alikuwa bado hajapita je angekuwa tayari ameshawalisha upupu si ingekuwa balaaaaa.Lissu atakuja kuweka mambo sawaWananchi wa Bukoba naomba wawawekee sehemu maalumu Peponi . Leo wamemwambia Meko mubashara kabisa “Hatukutaki” wala hatutakupigia kura! TBC wamekata kipande Meko anabishana na wananchi mapovu yanammwagika tuu! Kwani ni lazima wananchi wakukubali mzee?
Duuh sijafuatilia Ila naamini huyu 'mchunga ng'ombe' hapendwi na wahaya kwa 'ukatili' wake wa miaka ya nyuma.Jiwe amechanwa live kuwa
(Hatukutakiiii...
Nadhani hawa jamaa hawataki kuzidhulumu nafsi zao na hawataki kusema uongoJiwe amechanwa live kuwa
(Hatukutakiiii...
Umwambie awakumbushe maendeleo ya kagera na Tanzania kw Ujumla
Duuh sijafuatilia Ila naamini huyu 'mchunga ng'ombe' hapendwi na wahaya kwa 'ukatili' wake wa miaka ya nyuma.
Mwenye hiko kipande naomba kiende viral ili huyu mchunga ng'ombe' muhutu apatwe na sononaWananchi wa Bukoba naomba wawawekee sehemu maalumu Peponi . Leo wamemwambia Meko mubashara kabisa “Hatukutaki” wala hatutakupigia kura! TBC wamekata kipande Meko anabishana na wananchi mapovu yanammwagika tuu! Kwani ni lazima wananchi wakukubali mzee?
Kumbe wasikiliza Mwekezaji wa chatoKagera imesimama kumsikiliza Rais wao mpendwa Dr.John Pombe Magufuli
Kwa kuwa CCM ina 'hati miliki' ya hii nchi?Sijui Kama serikali itaruhusu Lissu akafanye Kampeni Bukoba
Pesa zilielekezwa kwenye kukarabati miundombinu ya serikali iliyoathiriwa na tetemeko mkuu.Hamja muuliza zile za tetemeko alizipeleka wapi?? Au kwa vile hakuleta yeye tetemeko ni sawa sawa yeye kula hela za maafa?
Sijui Kama serikali itaruhusu Lissu akafanye Kampeni Bukoba
Wananchi wa Bukoba naomba wawawekee sehemu maalumu Peponi . Leo wamemwambia Meko mubashara kabisa “Hatukutaki” wala hatutakupigia kura! TBC wamekata kipande Meko anabishana na wananchi mapovu yanammwagika tuu! Kwani ni lazima wananchi wakukubali mzee?Pesa zilielekezwa kwenye kukarabati miundombinu ya serikali iliyoathiriwa na tetemeko mkuu.
#mitano_tena_JPM
Kwani ni mmoja basi? Mpaka TBC wakakata chap
Wananchi wa Bukoba naomba wawawekee sehemu maalumu Peponi . Leo wamemwambia Meko mubashara kabisa “Hatukutaki” wala hatutakupigia kura! TBC wamekata kipande Meko anabishana na wananchi mapovu yanammwagika tuu! Kwani ni lazima wananchi wakukubali mzee?