Uchaguzi 2020 Yaliyojiri mkutano wa kampeni za Mgombea wa CCM Dkt. Magufuli akiwa Bukoba, Kagera

Sina mlengo na siasa, ila nimejaribu kutoa tetesi, plz acha kuhemkwa.
 
Aisee bado sana ,yaani taa za barabarani ati ni agenda ya kuombea kura ....dah
 
Wananchi wa Bukoba wameelewa umuhimu wa tarehe 28 Oktoba kwenda kumchagua Dkt Magufuli.
Kilichobaki sasa ni kusubiri siku ifike tukamchague Mgombea wa CCM na Rais DK MAGUFULI
Mimi Nitapiga Kura na Kumchagua ✅
Wewe Je??!
 
Aisee bado sana ,yaani taa za barabarani ati ni agenda ya kuombea kura ....dah
Magufuli ana upeo mdogo sana. Kwake kila kitu anakiangalia kwa jicho la ujenzi hadi anachosha. Hajui kuwa maisha ya watanzania yana mambo mengi zaidi ya hayo mataa yake anayowaza kujenga. Bure kabisa huyu Mhutu
 
Jamani watu kama misukule vile wamesombwa usiku kucha na malori ya ng'ombe kutoka Karagwe, Bukoba Vijijini, nk. tuseme watu walilala uwanjani.

Hii imejionyesha baada ya hotuba.

Vipi waliokamatwa kwa kutonyoosha mikono ya kukiri kuichagua CCM?

Tutafika hiyo 28/10/2020?
 
Yaani ccm wacheni vichekesho mnawakusanya wanafunzi kibao ndiyo mnajisifu mafuriko? Shame on you guysView attachment 1571667
Hizo ndio Kiki ambazo mnatumia ili muelewele. Hizo picha ni za Jana je mbona hujatuma picha zote za Jana je kulikuwa na watoto? But also watu wanampenda Mheshimiwa Rais na baadhi ya sehemu watu hawajawahi kumwona Rais so Kama watu wamesikia Rais anakuja kwa Nini wasije kumwona????

Jana Lissu alituma picha za sehemu alipokwenda na kuambiwa katika kata ile hajawahi kumwona Mgombea urais so hata Jana watu hata Kama ni wanafunzi wanaenda kumwona Rais anayewasomesha bure
 
Watu wanampenda Magufuli Hadi basi na tarehe 28 utashuhudia Kama upinzani mtapata hata Jimbo moja Kagera
Kwanin unateseka kiasi hicho?Angalia usijeanguka kwa pressure!Mpaka tar 28 bado mbali sana,huu moto wa kampeni angalieni usijewaacha na maradhi ya moyo!
 
Ccm mmekwisha jiandaeni kisaikolojia maana Lissu ndiye rais wako ajaye
 
Mimi silalamiki ila nakushangaa kujifanya Chizi wa kutokuwa unaangalia matukio ambayo yanakushika na unaangalia tu matukio unayotolea pumba zako za kutuletea hapa
Duh....chizi...pumba....huna maneno mengine kujenga hoja yako zaidi ya maneno haya....chizi...pumba?? Unaelewa maana ya neno chizi?! Unaelewa maana ya kumwambia mtu kuwa 'maneno yako ni pumba' ? Hebu Kwanza kamwambie Kwanza baba yako aliyekuzaa na mama yako kwamba 'baba wewe ni chizi....mama wewe ni chizi na maneno yako ni pumba' tu..'. Majibu utakayopata kutoka kwa wazazi wako uje utujulishe humu JF...
 
Magufuli ana upeo mdogo sana. Kwake kila kitu anakiangalia kwa jicho la ujenzi hadi anachosha. Hajui kuwa maisha ya watanzania yana mambo mengi zaidi ya hayo mataa yake anayowaza kujenga. Bure kabisa huyu Mhutu
Upepo wa JPM ni wa kuotea mbali
Check
 
Kwanin unateseka kiasi hicho?Angalia usijeanguka kwa pressure!Mpaka tar 28 bado mbali sana,huu moto wa kampeni angalieni usijewaacha na maradhi ya moyo!
Mwambie awe makini betri isije gusa tank la mafuta
 
Kwanin unateseka kiasi hicho?Angalia usijeanguka kwa pressure!Mpaka tar 28 bado mbali sana,huu moto wa kampeni angalieni usijewaacha na maradhi ya moyo!
Hatuna pressure maana ushindi wa Magufuli Mwaka huu ni wa kihistoria. Mwenye shida ni Lissu maana juzi kaanza kuanguka na pressure mufindi
 
Hatuna pressure maana ushindi wa Magufuli Mwaka huu ni wa kihistoria. Mwenye shida ni Lissu maana juzi kaanza kuanguka na pressure mufindi
Nakuona unateseka kwenye nyuzi humu JF,angalizo ni kuwa angalia usijepata maradhi ya moyo!
Maana utaendelea kuumia tu kwani kampeni hata nusu bado!
 
Wanakagera hatujasahu ujue ewe john.

Ulituambia twafa Tetemeko halikuletwa na sirikali yako
 
 

Attachments

  • ca0a7ed7-88a4-4755-9c5f-7ad4d167985a.JPG
    90.4 KB · Views: 1
  • 2d9824ad-7868-4cb8-a34f-b52a4944f717.JPG
    147.4 KB · Views: 1
  • a701581f-6182-4acd-8872-dcea7dd48bd8.JPG
    121.9 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…