Uchaguzi 2020 Yaliyojiri mkutano wa kampeni za Mgombea wa CCM Dkt. Magufuli akiwa Bukoba, Kagera

Sera za Watu wapigane mit na kuzaliana kwa wingi !?..Au ile ya kuwa nikifa nntaenda na liuwanja huko Kaburini !?..Au uli maanisha Sera zipi hasa 😡😠

Kujua zaidi fuatilia Matangazo ya LIVE link tumekuwekea
 
Kagera msituangushe kwenye sanduku mkumbuke yale majibu ya kejeli mwisho wake ni 28octb mkipewa hela kula ila kura [emoji1308]!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…