Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Wananchi wa Bukoba naomba wawawekee sehemu maalumu Peponi . Leo wamemwambia Meko mubashara kabisa “Hatukutaki” wala hatutakupigia kura! TBC wamekata kipande Meko anabishana na wananchi mapovu yanammwagika tuu! Kwani ni lazima wananchi wakukubali mzee?Mambo ni Mubashara CCM oyeee
Wananchi wa Bukoba naomba wawawekee sehemu maalumu Peponi . Leo wamemwambia Meko mubashara kabisa “Hatukutaki” wala hatutakupigia kura! TBC wamekata kipande Meko anabishana na wananchi mapovu yanammwagika tuu! Kwani ni lazima wananchi wakukubali mzee?CCM hoyeee. Mungu kaibariki Tanzania kutupatia JPM. Hakuna Kama yeye never
Hahahahaaa,kwanini wamekata?Piga kelele kwa kina nshomile akeeeeeeeeeeeeee
Leo acha niwe mwijaku kidogo
Wamepiga Loki huko Bukoba!
Sasa vurugu kwenye mikutano itaanza rasmi.. Tumeshuhudia week mbili za mikutano ya kistaarabu ila kwa hili CCM lazima watoke na jambo lao na walikuwa wanasubiri pakuanzia.Polisi na vyombo vingine msikubali huu mtego wote wanaoleta vurugu za namna hii wachukuliwe hatua. Huwezi kusikiliza mgombea kaa nyumbaniWananchi wa Bukoba naomba wawawekee sehemu maalumu Peponi . Leo wamemwambia Meko mubashara kabisa “Hatukutaki” wala hatutakupigia kura! TBC wamekata kipande Meko anabishana na wananchi mapovu yanammwagika tuu! Kwani ni lazima wananchi wakukubali mzee?
Sasa kwani kosa likowapi? Wao wamebebwa wamekuja kusikiliza sera hawajaridhika nazo! Walipoulizwa ulitaka wajibu kinafiki?Sasa vurugu kwenye mikutano itaanza rasmi.. Tumeshuhudia week mbili za mikutano ya kistaarabu ila kwa hili CCM lazima watoke na jambo lao na walikuwa wanasubiri pakuanzia.Polisi na vyombo vingine msikubali huu mtego wote wanaoleta vurugu za namna hii wachukuliwe hatua. Huwezi kusikiliza mgombea kaa nyumbani
Vurugu za nini wewe choko, kwani mgombea wa Ccm ametumwa kuwafokea wananchi?Sasa vurugu kwenye mikutano itaanza rasmi.. Tumeshuhudia week mbili za mikutano ya kistaarabu ila kwa hili CCM lazima watoke na jambo lao na walikuwa wanasubiri pakuanzia.Polisi na vyombo vingine msikubali huu mtego wote wanaoleta vurugu za namna hii wachukuliwe hatua. Huwezi kusikiliza mgombea kaa nyumbani
Jiwe amechanwa live kuwaHahahahaaa,kwanini wamekata?
Nafikiri una akili nzuri ya kufikiria na kuandika vizuri zaidi ya hichi ulichoandika.. Mbinu za hawa jamaa kutaka kuanzisha kitu ni nyingi. Wameona wapinzani wanafanya siasa za kistaarabu sana.Vurugu za nini wewe choko, kwani mgombea wa Ccm ametumwa kuwafokea wananchi?
Mbona wananchi wanamvumilia tu mahasira yake.
Sasa vurugu kwenye mikutano itaanza rasmi.. Tumeshuhudia week mbili za mikutano ya kistaarabu ila kwa hili CCM lazima watoke na jambo lao na walikuwa wanasubiri pakuanzia.Polisi na vyombo vingine msikubali huu mtego wote wanaoleta vurugu za namna hii wachukuliwe hatua. Huwezi kusikiliza mgombea kaa nyumbani
Uongo mwingine ni wa kiwango cha standard gauge,tuliopo huku hatujaona kitu kama hicho au ni katika ulimwengu wa roho?
Fatilia mnyororo wa familia ya Akwilina.Vurugu za nini wewe choko, kwani mgombea wa Ccm ametumwa kuwafokea wananchi?
Mbona wananchi wanamvumilia tu mahasira yake.
Ccm ni chama cha amaniNafikiri una akili nzuri ya kufikiria na kuandika vizuri zaidi ya hichi ulichoandika.. Mbinu za hawa jamaa kutaka kuanzisha kitu ni nyingi. Wameona wapinzani wanafanya siasa za kistaarabu sana.
We jitoe tu OblangataUongo mwingine ni wa kiwango cha standard gauge,tuliopo huku hatujaona kitu kama hicho au ni katika ulimwengu wa roho?
Kura hazitolingana na idadi ya watu anayopataHii nyomi ya bukoba Mimi namashaka nayo nilichojiuliza kweli saa mbili watu wajae kiasi kile kama hii nyomi hii halali basi kuna jambo kubwa huyu mgombea kawafanyia watanzania
Great n big deal yani✌️✌️Nimefurahi sana kuona Magufuli anaenda kabla ya Lissu. Namsubiri Lissu aende awakumbushe matatizo yao! Good one!
Kama hawafanyi kazi wanapata wapi pesa za kula bata kiasi hicho?Daah!! Huyu mtu sjiu alikuwaga wapi tu" ama kweli, kila kitu na wakati wake
Sio Siri Mzee, umetufaaa Sana Watanzania, najua, huwezi kuheshimika na kuthaminika Kwa kizazi hiki cha leo, kizazi cha nyoka, kizazi pingapinga, kizazi cha starehe, kizazi kisichopenda kufanya kazi, kizazi cha kula bata bila kufanya kazi
Kizazi kinachotaka Uhuru wa kutukana watu, kizazi kisicho na shukrani,. Kwa vile kila kazi aifanyayo mtu, malipo yake ni Kwa Mungu, Mungu atakulipa Kwa kazi nzuri juu Taifa lako ulilolipenda Kwa Moyo wako wote na kulitumikia Kwa nguvu zako zote!
Nitakuchagua tena
Hamja muuliza zile za tetemeko alizipeleka wapi?? Au kwa vile hakuleta yeye tetemeko ni sawa sawa yeye kula hela za maafa?https://www.facebook.com/
MGOMBEA Urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Pombe Magufuli, leo Septemba 16, 2020 ameendelea kupiga kampeni, ambapo baada ya kumaliza wilayani Chato, mkoani Geita, Muleba leo yupo Bukoba Mjini mkoani Kagera Uwanja wa Gymkana.
MGOMBEA ubunge jimbo la Bukoba Mjini Stephen Byabato amewaomba wananchi wa jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu kuhakikisha wanajenga mnara wa mawasiliano kati yao na Rais Dk.John Magufuli kwa kuchagua Rais, Mbunge , madiwani kutoka Chama Cha Mapinduzi( CCM).
Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wa Mkoa wa Kagera waliohudhuria mkutano wa kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Magufuli kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 28 mwaka huu, Byabato amesema katika uchaguzi hakuna sababu ya hao kufanya makosa kama yaliyofanyika uchaguzi wa mwaka 2015 kwa kuchagua mbunge na madiwani wa upinzani.
"Bukoba Mjini tulikosea mwaka 2015 kwa kuchagua upinzani , na hivyo kukata mawasiliano kati yetu na Rais Magufuli.Huu ni mwaka wa kujenga mnara wa mawasiliano,naomba wote tumchague Dk.Magufuli kwa nafasi ya urais,mnichague mimi kwenye ubunge jimbo la Bukoba Mjini pamoja na wabunge wote wa CCM,"amesema Byabato.
Amefafanua kuwa ni kweli maendeleo hayana Chama na ndio maana Rais Magufuli amefanya maendeleo makubwa bila kuombwa na mtu yoyote lakini kwa upendo wake mkubwa kwa wananchi wa Bukoba Mjini na Kagera Mjini ameleta maendeleo.
Ameongeza katika miaka mitano iliyopita chini ya uongozi wa Rais Magufuli wananchi wa Bukoba Mjini kunamaendeleo makubwa yamefanyika na kwamba Sh.bilioni 158 zimetumika kwa maendeeleo."Tunatambua kwamba yote hatukuomba lakini tumezipata fedha hizo kwa upendo mkubwa alionao kwa ajili yetu."
Amesisitiza Bukoba Mjini kuna taa za barabarani wamepata kilometa 13 za lami, wamepata mradi mkubwa wa maji wenye kuzalisha lita milioni 18 wakati mahitaji ni lita milioni 15 kwa siku na hivyo kubaki na ziada ya lita milioni tatu na kwamba yote hayo yamefanyika sio kwasababu waliomba bali yametokana na Rais Magufuli na mapenzi yake kwa wananchi.
Pia Sh.milioni 500 zimetolewa na Rais Magufuli kwa ajili ya vituo vya afya na leo, miundombinu katika sekta ya afya imeboreshwa na kuimarika sana."Hayo yote hatukuomba katika miaka mitano lakini tumepewa.Nawaombeni wana Bokoba, tusifanye makosa tena.Tumchague Dk.Magufuli kwanza jina lake ni kubwa hata ukilitaja unasikia raha.
"Tujenge mnara wa mawasiliano ambao utakuwa rasmi kwa ajili ya kupeleka mawasiliano kati ya wananchi na Rais wetu.Tunataka tukipiga simu kwa Rais tunaambiwa mawasiliano yapo na tunayoomba yanafanyiwa kazi, Bukoba iwe na mawasiliano mazuri na sio ukipiga unaambiwa Not reachable,"amesema Byabato.
----
Sehemu ya Wanachama na Wananchi wa Mkoa wa Kagera waliohudhuria mkutano wa kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Magufuli kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 28 mwaka huu.
Toa hizi takataka mkuu watz hawataki kuona wala kusikia hii nuksiView attachment 1571284View attachment 1571284View attachment 1571284View attachment 1571285View attachment 1571286View attachment 1571287View attachment 1571288View attachment 1571289View attachment 1571290View attachment 1571291View attachment 1571292View attachment 1571284View attachment 1571285View attachment 1571286View attachment 1571287View attachment 1571288View attachment 1571289View attachment 1571290View attachment 1571291View attachment 1571292View attachment 1571284View attachment 1571285View attachment 1571286View attachment 1571287View attachment 1571288View attachment 1571289View attachment 1571290View attachment 1571291View attachment 1571292View attachment 1571284View attachment 1571285View attachment 1571286View attachment 1571287View attachment 1571288View attachment 1571289View attachment 1571290View attachment 1571291View attachment 1571292