Elections 2015 Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Karagwe - Septemba 22, 2015

Elections 2015 Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Karagwe - Septemba 22, 2015

Mtu mwenye moyo wa bandia (kama wasemavyo UKAWA) hawezi kuhutubia dakika 50 kilasiku na kupiga push up, hili ndo jembe tunalolitaka sasa liko fit kila idara. Mmasai akiweza kupiga push up 1 tu namuahidi kumpa kura yangu
 
Malori yamechelewa service?

Ni vizuri wawe wanawalaza pale pale mjini kuepuka ukweli huu wenye aibu kwao.

Hapa kazi ila onyo:thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown:
 
Lowassa hawezi iga vitu ambavyo avina influence katika kipindi hiki cha kampeini. Na wala Lowassa hawezi fanya sehemu isiyo sahii kila kitu kina mahali pake ukitaka mazoezi mfate gymm utamkuta jukwaani ni kunadi Sera
 
Wananchi wa karagwe maskini wa kufa lakini hawataki kuamini katika hilo..
 
mapokezi hafifu?? Lini walikuwa na mapokezi makubwa?





asante sana baba! Piga push up! Karagwe inawaka moto kuanzia kayanga, murushaka, nkwenda, bugara mpaka murongo.... Ardhi inatetemeka....... Dalili ya kuufuta upinzani tanzania....ccm walijuaje kucheza hii karata dume. Naomba twaweza wafanye tafiti mpya baada ya tour ya kagera ili ukawa wawe wakiwa 100%
 
Lowassa hawezi iga vitu ambavyo avina influence katika kipindi hiki cha kampeini. Na wala Lowassa hawezi fanya sehemu isiyo sahii kila kitu kina mahali pake ukitaka mazoezi mfate gymm utamkuta jukwaani ni kunadi Sera

Kwenye red hapo tafadhari. sera gani anazonadi kwa dk 3
 
Mtu mwenye moyo wa bandia (kama wasemavyo UKAWA) hawezi kuhutubia dakika 50 kilasiku na kupiga push up, hili ndo jembe tunalolitaka sasa liko fit kila idara. Mmasai akiweza kupiga push up 1 tu namuahidi kumpa kura yangu

Hahaha yule mpuzi wao yericko alitaka kuamsha ujuha Wa fuata upepo
 
Mheshimiwa Magufuli anaendelea kumtesa Lowassa kila nyanja, leo anapiga "push-ups" mbele ya halaiki ya watu. Huu ni ujumbe tosha kwa Lowassa kuwa Ikulu sio sehemu ya kuchezea.

Haya sasa washabiki wa Ukawa, mleteni Lowassa na yeye atuonyeshe ujasiri huu.



12004817_10153453536079504_5883582982642000140_n.jpg








 
Mheshimi Magufuli anaendelea kumtesa Lowassa kila nyanja, leo napiga "push-ups" mbele ya halaiki ya watu. Huu ni ujumbe tosha kwa Lowassa kuwa Ikulu sio sehemu ya kuchezea.

Haya sasa washabiki wa Ukawa, mleteni Lowassa na yeye atuonyeshe ujasiri huu.



12004817_10153453536079504_5883582982642000140_n.jpg






Hahahahahahahaaaa msalimu Ishmael mwambie tunamsubiri baada ya uchaguzi atupe injili ya Yesu!!
 
Last edited by a moderator:
Ameshanganyikiwa huyo mwambie aombe twaweza wakabadilishe upepo la hivyo atanza kuhutubia akiwa amevaa overall
 
Mheshimi Magufuli anaendelea kumtesa Lowassa kila nyanja, leo napiga "push-ups" mbele ya halaiki ya watu. Huu ni ujumbe tosha kwa Lowassa kuwa Ikulu sio sehemu ya kuchezea.

Haya sasa washabiki wa Ukawa, mleteni Lowassa na yeye atuonyeshe ujasiri huu.



12004817_10153453536079504_5883582982642000140_n.jpg





kwani ikulu siku izi wanachaguliwa wapiga sarakasi? Akili zenu Mbovu kweli.
 
MAGUFULI AMEPAGAWA
…Amefikia hatua ya kupiga push up na kujithalalisha mbele za watu kwasbb ya IKULU
…Amekuwa mwongo ktk swala la milioni 50 kila kijiji na zhnt kwsbb ya IKULU
…Amekuwa anaropoka kila wkt mbele za watu na kuongea kilugha akieneza ukabila,ukanda na Vitisho kwsbb ya IKULU
…Amekuwa akiwatuma wafuasi wake wamtukane lowasa na kuchana mabango,Kuwaua raia wasio na atia na kutoa rushwa kwsbb ya IKULU
…Ameamua hata kuiba M4C ya chadema kwsbb ya IKULU
…Wanatumia magari ya serikali,wanawasomba watanzania km kokoto,wanatumia wasanii wengi na kuwahonga watu mbalimbali kwasababu ya IKULU.
…Amekuwa akieneza sera za uwongo zilizomshinda kikwete,akitumia nguvu nyingi xn kwsbb ya IKULU
…JE CCM WANATAKA IKULU KWA NGUVU KWA MASLAHI YA NANI..EWE MTANZANIA CCM NI SUMU YA MAENDELEO
 
Back
Top Bottom