π π π majaliwa tu kawazidi huko longido.Hata hao waliopo hawana kadi za kupiga kura. Halafu wamekusanyika hapo Tweeter na facebook ya Tabora.
Watu wachache sanaNomba picha hata moja tu ya mafuriko makamanda
Kumbe hizo ndio haki wanazotaka?Wanataka ushoga uruhusiwe mkuu, Achana nao
Acha uongo ww pimbi, hzo picha ni za asbh ..picha ya sasa hii hapaWatu kiduchuView attachment 1557598
Acha uongo ww pimbi, hzo picha ni za asbh ..picha ya sasa hii hapa View attachment 1557600
Duh.. Ndio maana hawana hata live streaming kumbe wanaogopa aibuWatu wachache sanaView attachment 1557599
Aisee.. Hebu piga ya juu tuone!Acha uongo ww pimbi, hzo picha ni za asbh ..picha ya sasa hii hapa View attachment 1557600
JiulizeDuh.. Ndio maana hawana hata live streaming kumbe wanaogopa aibu
Kwani wewe umeingiliwa kinyume na maumbiele?Lissu Baba tukomboe katika hii vita ya kuminywa haki za binadamu. Ethiopia na madege yao Kama yote Pamoja na fly-overs lakini wanakimbia nchi kwenda kuwa manamba South Africa kwa uminywaji wa haki za binadamu nchini kwao.
Lissu tuvushe baba tuvuahe.
Aisee.. Hebu piga ya juu tuone!
Kwanini chadema siku hizi mnaogopa sana picha za juu?
Huyo mama anawezaje kufuta nyayo , mbona mweupe sana ?Kisha akitoka anapita mama samia kufuta nyayo ya chadema
bwana mdogo huyawezi matusi , shut up .Kwani wewe umeingiliwa kinyume na maumbiele?
Au umelazimishwa ku sex na mtu kwa lazima?
Haki gani za binadamu umeondolewa hapo ulipo?
Anagalieni longido majaliwa anapokea wanachana wenu na wagombea udiwaniHuyo mama anawezaje kufuta nyayo , mbona mweupe sana ?
Hatuan Drones.Aisee.. Hebu piga ya juu tuone!
Kwanini chadema siku hizi mnaogopa sana picha za juu?
Majaliwa huyuhuyu asiyetakiwa kwao hadi akasimamia utekaji wa wagombea ubunge ?Anagalieni longido majaliwa anapokea wanachana wenu na wagombea udiwani
Kambi inabomoka
Jibu unalo unafanya mdahalo
kujadili Ccm dhidi ya chama gani? Ccm imekuwa tamu kwa kila namna. Maana leo tu umesikia JPM alivyokuwa anatiririka namna Ccm itavyowafanyia mazuri watanzania. Sasa utadebate nini leo hii? Ccm inakubalika in short.
Mbona unaruka ruka wakati chama chetu pendwa kinasema hakitaingilia mambo ya faraga?bwana mdogo huyawezi matusi , shut up .
Angalia chanel ten badaeMajaliwa huyuhuyu asiyetakiwa kwao hadi akasimamia utekaji wa wagombea ubunge ?