Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Kama kodi anazolipa baba yako na mama yako zingetafunwa na mafisadi hayo maji ungeyapata?We dhaifu sana kuleta maji sio hoja wametumia kodi zetu tena sio bure wamelipwa mishahara na posho kibao. SISI WATANZANIA NDIO WATU WAJINGA SANA MAANA NI WEPESI KUDANGWANYWA.