Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Sijapenda haka kadem kuwa macho mida hii!Arusha watu wa bata unaweza kuta mida hii yuko zake the hub anagonga mvinyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijapenda haka kadem kuwa macho mida hii!Arusha watu wa bata unaweza kuta mida hii yuko zake the hub anagonga mvinyo.
Wanaofaidi pesa chuga sahivi ni watu wa utalii, utalii wa mwaka huu ni mkubwa kuliko miaka yote, wao ndo wanakula batazArusha watu wa bata unaweza kuta mida hii yuko zake the hub anagonga mvinyo.
House gel tunaamka mapema kufanya usafi na kuwaandalia mabosi ze teaSijapenda haka kadem kuwa macho mida hii!
We huli bata mamii? Si hata mawe pia yamefunguka sana?Wanaofaidi pesa chuga sahivi ni watu wa utalii, utalii wa mwaka huu ni mkubwa kuliko miaka yote, wao ndo wanakula bataz
50.1 unaijua kwa hesabu ya watu 14 mil? Elewa ni 50%+1 vote.Hesabu ngumu 50 +1 haina maaana itakuwa 51, yaweza Kuwa 50.1
Uone aibu wewe. Maana yeye yuko sawqMkuu huoni aibu?
Au mimi ndio sijakuelewa ?
House gelo unaanzaje kula bata Boss wangu?We huli bata mamii? Si hata mawe pia yamefunguka sana?
We sio housegirl nakupata vizuri sana mudada wa viunga vya Arusha. Ni vile tu mambo ya multiple IDs ila nilikupata kwa utambulisho uleee, ila wanawake wa Arusha nawapa salute!!House gelo unaanzaje kula bata Boss wangu?
Tafadhali umeweka skeleton notes aka summary je unaweza kuiongezea nyama sababu bado spinning kumuhusu huyu Bwana zimeteka vichwa vingi unaweza kunisaidia na mimi kutoka katika hisia hizo?Hakuwa ibilisi ila alifinyangwa aonekane ibilisi!!
Niliwahi fanya kosa kama hilo nilitubu Baada ya KUJUA hasa nini kilifanywa na waliofanya wanajuta sasa hivi!!
Kuna wimbo ulisema nyama ya bata ni tamu atakuwa ye ndio bata.We huli bata mamii? Si hata mawe pia yamefunguka sana?
Ngumbaru naona hujaelewa Siasa za KenyaUchaguzi unarudiwa. Hakuna mtu wa kufika 50+1
de'levisTafadhali umeweka skeleton notes aka summary je unaweza kuiongezea nyama sababu bado spinning kumuhusu huyu Bwana zimeteka vichwa vingi unaweza kunisaidia na mimi kutoka katika hisia hizo?
Ruto Ndie atakaeshinda, coz wakubwa wanamtaka pia...Ruto hata akipoteza.
Jamaa ni Mwanaume, Jeshi haswaaa .
Yaan Ruto Kwa Odinga, ni sawa na Upinzani Kwa CCM.
Uchaguzi huu MUNGU alitaka kuonesha ukuu wake,
Kituo alichopigia kura Raila kwa mbwembwe sana,
Ruto ameongoza kwa kura,
Kituo alichopigia kura mgombea mwenza wa Raila Martha Karua, Ruto ameongoza kwa kura,
Kituo alichopigia kura Rais Uhuru Kenyatta, Ruto ameongoza kwa kura,
Kituo alichopigia kura mke wa Rais Uhuru Kenyatta, Margaret Kenyatta, Ruto ameongoza kwa kura,
Kituo alichopigia kura mama yake Rais Uhuru Kenyatta, Mama wa Taifa la Kenya, Ruto ameongoza kwa kura!
MUNGU amelipa dharau, uonevu, manyanyaso na dhulma alizofanyiwa Mh. William Samoei Ruto!
Uchaguzi huu ni
MUNGU Vs shetani
Na inakulikana kuwa MUNGU hashindwi!
The chosen one
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hahahahaha, wakalitazame eeh? Aaaaahm, halafu nilitaka niengeze jambo moja...koh koh koh, mnisamehe kifua changu si kizuri leo...... aaaahm...aaaahm waziri Bashe upo? Hilo nalo ukalitizame.Rais Samia: Hilo nalo nendeni mkalitizame
Nilichokiona uchaguzi mkuu wa Kenya Samia ajiandae kurudi pemba akalime karafuuHahahahaha, wakalitazame eeh? Aaaaahm, halafu nilitaka niengeze jambo moja...koh koh koh, mnisamehe kifua changu si kizuri leo...... aaaahm...aaaahm waziri Bashe upo? Hilo nalo ukalitizame.
Hakuwa ibilisi ila alifinyangwa aonekane ibilisi!!
Niliwahi fanya kosa kama hilo nilitubu Baada ya KUJUA hasa nini kilifanywa na waliofanya wanajuta sasa hivi!!
Atarudi Oman mkuu.Nilichokiona uchaguzi mkuu wa Kenya Samia ajiandae kurudi pemba akalime karafuu