Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Inaelekea nyumbani hata king'amuzi huna cha kuangalia live tv station za Kenya.Kuna kila dalili Hali si shwari kwa Raila mtu ambaye rais Kenyata amekua akimpambania sasa kinachoendelea ni ujanja ujanja wamuengue Ruto ambaye ndiyo yaonesha ni chaguo la wengi
Huko kitanuka tu tusubirie
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Wagombea ubunge wengine ndio wanatangazwa ushindi wao muda huu ndio sembuse Urais?😄😄😄😄😄😄 Wanatuchelewesha. Wamtangaze tu mzee ya Kitendawili, watu walale
sheenzi!! shenzii kabisa!!!!Alaah, alaah shenzi sana😂😂😂(kwa sauti ya Atwoli).
Hela ya Ruto uliyokula we mzee utaitemaWaaaapiiii? Ruto ndie rais
Tulia kijana usiwe na haraka kura nyingi zinazotangazwa na IEBC ni za kutoka bonde la ufa ambako Ruto anasapoti kubwaIEBC bado ndo wako 57% lakini Odinga kazidiwa palefu kidogo kitu ambacho sikukiona kwenye tarry system za vyombo vya habariView attachment 2321493
These loosers are playing mind gameRuto lawyers wako na legal battles kwa zuio lililojitokeza juu ya kuapishwa kwao
NB: It's seems wanaamini wameshashindaView attachment 2321958
Huyu Atwoli Ndo namfaham Leo humu jamvin licha ya upeo wangu wa geopolitics kwaanzia homu bongo Africa mashariki sadc na maziwa makuu kwa ujumla. Ngoja nimgoogle.atwol anapenda sifa balaa, wakati wa covid lockdown aliwahi kuita band ya wacongo nyumbani wakamuimbia nyimbo za rumba huku wakitaja jina lake. yeye akawa anafurahi tu.
Muosha huoshwa. Hii ni zamu yenu kuoshwa na mzee ya Kitendawili. Mmeshamuosha sana huyu mzee.Huyu Atwoli Ndo namfaham Leo humu jamvin licha ya upeo wao wa geopolitics kwaanzia homu bongo Africa mashariki sadc na maziwa makuu kwa ujumla. Ngoja nimgoogle.
Ruto The president maamaee
Did you see that yourself? Beauty,beauty!!!!Kwani ni uongo ni kweli hajatahiriwa!
Au unataka aseme ametahiriwa wakati si kweli
kama atwol atwoki humjui basi usijiite unaijua siasa za Afrika mashariki.Huyu Atwoli Ndo namfaham Leo humu jamvin licha ya upeo wao wa geopolitics kwaanzia homu bongo Africa mashariki sadc na maziwa makuu kwa ujumla. Ngoja nimgoogle.
Ruto The president maamaee
Sasa govi la mwanaume umelionea wapi au ulipelekewa moto?Kwani ni uongo ni kweli hajatahiriwa!
Au unataka aseme ametahiriwa wakati si kweli
Kwa kifupi inamaanisha ataekuwa na kura nyingi na awe amefikisha asilimia50, hyo ni incase kuna wagombea wawili na wote wana kura 50%Hesabu ngumu 50 +1 haina maaana itakuwa 51, yaweza Kuwa 50.1
Wajaluo mila na desturi zao ni kutotahiri kwani hilo linahitaji kujadiliwaDid you see that yourself? Beauty,beauty!!!!
Kei za kijani za hovyo sana...hii sio ccm tuliza kijambioWILLIAM SAMOEI RUTO AMESHINDA UCHAGUZI, mpeni haki yake. Kenya mmesifika kwa demokrasia, Sasa tena nini mnataka fanya?
Usikariri hata wasukuma hawakutahiriwaga lkn sasa hivi watu wanakatwa magovi.Wajaluo mila na desturi zao ni kutotahiri kwani hilo linahitaji kujadiliwa