Haya ni matokeo jana usiku weweTume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imekamilisha kuhesabu Kura kutoka vituo 46,203 kati ya vituo 46,229 ambapo bado vituo 26 ili kupata jumla ya Kura zote
-
Kwa mujibu wa Matokeo ya Nation Media kufikia leo saa 11:20 jioni, Mgombea Urais wa UDA, William Ruto bado alikua akiongoza kwa idadi ya Kura 6,703,493 = (49.91%) dhidi ya Raila Odinga, Mgombea wa Azimio mwenye Kura 6,636,849 = 49.41%
-
Mshindi wa Kiti cha Urais anahitaji kupata 50% ya kura halali zilizopigwa, pamoja na 25% ya kura kutoka kwenye kaunti 24
angalia kura alizo pata Babu Nakuru/bongoma ambapo ndio ngome yake kabwaga vibaya sana na Ruto ukilinganisha na kura alizo pata 2017.Ww umemjua odinga mwaka huu? Tena kati ya mtu ambae hana pressure ni yeye, kapita vigingi vizito yeye na atwol mmiliki wa citizen walifungwa na daniel arap moi kipindi flani, yee hawezi pata stress na vitu Kama hivyo
What is 50 percent plus 1 vote? Is it 51 percent or 50 percent of the votes plus one single vote? What does the Constitution of Kenya say?
Article 138 (4) of the Constitution of Kenya states that; (4) A candidate shall be declared elected as President if the candidate receives– (a) more than half of all the votes cast in the election; and (b) at least twenty-five percent of the votes cast in each of more than half of the counties.
At the same time, the sub-section (5) says; If no candidate is elected, a fresh election shall be held within thirty days after the previous election and in that fresh election the only candidates shall be– (a) the candidate, or the candidates, who received the greatest number of votes; and (b) the candidate, or the candidates, who received the second greatest number of votes.
From what the Constitution says, 50 percent plus 1 means 50 percent of the votes plus one vote. As the IEBC continues with the tallying of the votes, this will be one of the key things that the officials will be banking on to declare the win
50% + Kura MOJA HALALI.
Mfano
Total votes 1201
Cand 1 amepata 601
Cand 2 amepata 600
Ukiweka kwa % hao wote itasoma 50% but kuna mmoja hapo amepata 50% + Kura moja.
Hii taarifa yako ni batili utakuwa umechukua matokeo ya nation Africa ambayo ni ya toka usikuKenya Elections 2022
William Ruto
UDA
49.91%
6,703,493 Votes
Raila Odinga
AZIMIO
49.41%
6,636,849 Votes
George Wajackoyah
RPK
0.44%
59,461 Votes
David Waihiga
AGANO
0.23%
31,278 Votes
PROVISIONAL RESULTSOFFICIAL RESULTS
13,431,081Total votes tallied
41,575 of 46,229Polling stations reporting
The winner of presidential elections needs 50% + 1 of the valid votes cast and at least 25% votes in more than 24 counties
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Acha uvivu wa kufikiria upende vya kuletewa tafuta na weweHii ni aibu kubwa kwako,bora ungekaa kimya.Tukikuuliza ulijuaje unaweza kutupa jibu la uhakika?
Kuna uchaguzi ulifanyika inchini Kenya mnamo tarehe 08.08.2022 na matokeo yameendelea kutolewa. Lkn kwa Leo sijapata update naomba update
Mchakato wa uhakiki umeahirishwa
""Inaonesha ""Inaonyesha utarudiwa.
Yupo sawa, ni suala la approximations, na ipo into two decimal places.Duh! Mwamba upo serious kweli?
Kwa faida ya Nani!?Yule ngiri wa NEC aliyevuruga uchaguzi mkuu uliopita yupo huko kutoa tuition ya jinsi ya kuchakachua matokeo
Sawa kaka mkubwa ila percentage inaongea hapo reporting ni 71% ya idadi ya kura mpaka sasa.Tulia kijana usiwe na haraka kura nyingi zinazotangazwa na IEBC ni za kutoka bonde la ufa ambako Ruto anasapoti kubwa
Jecha kwani ameenda Kenya?View attachment 2322101