Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
UPDATES

Kenyatta atakutana na viongozi wote wapya waliochaguliwa kutoka chama cha Azimio kuanzia saa saa 4 asubuhi.

Rais anatarajiwa kuzungumzia Matokeo ya Urais ambayo bado hayajawasilishwa kikamilifu na kutangazwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC.

Haya yanajiri saa chache baada ya Katibu wa Idara ya Habari ya Mgombea Raila Odinga, Dennis Onsarigo kueleza kuwa leo mchana, Azimio la Umoja litafanya kongamano na viongozi wake waliochaguliwa.
UPDATES

MATOKEO KENYA: ALIYEJIITA WAKALA WA ODINGA AKUTWA NA FOMU ZA MATOKEO


Mwanaume mmoja aliyejitambulisha kama Wakala wa Mgombea Urais, Raila Odinga, amesababisha mzozo kwenye kituo cha kuhesabu Kura cha Runyenjes huko Embu baada kukutwa na fomu 34B na 37B kwenye gari yake.

Tukio hilo limetokea baada ya mawakala wa wagombea Ugavana kuzua tafrani walipobaini fomu hizo hazipo kituoni.

Baada ya kuhojiwa mwanaume huyo alisema yeye ni Wakala wa Odinga na aliletwa na Mwenyekiti wa Azimio la Umoja kutoka Kaunti ya Embu.

Hata hivyo Wakala wa Raila Odinga ambaye amekuwepo kituoni hapo siku zote alikana kumfahamu mtu huyo.
 
Duuh yashakuwa haya tena?
IMG-20220813-WA0009.jpg
 
UPDATES

MATOKEO KENYA: ALIYEJIITA WAKALA WA ODINGA AKUTWA NA FOMU ZA MATOKEO


Mwanaume mmoja aliyejitambulisha kama Wakala wa Mgombea Urais, Raila Odinga, amesababisha mzozo kwenye kituo cha kuhesabu Kura cha Runyenjes huko Embu baada kukutwa na fomu 34B na 37B kwenye gari yake.

Tukio hilo limetokea baada ya mawakala wa wagombea Ugavana kuzua tafrani walipobaini fomu hizo hazipo kituoni.

Baada ya kuhojiwa mwanaume huyo alisema yeye ni Wakala wa Odinga na aliletwa na Mwenyekiti wa Azimio la Umoja kutoka Kaunti ya Embu.

Hata hivyo Wakala wa Raila Odinga ambaye amekuwepo kituoni hapo siku zote alikana kumfahamu mtu huyo.
Duuuh baada ya sifa nyingi,sasa wanarudi kwenye akili za mwafrika halisi
 
UPDATES

MATOKEO KENYA: ALIYEJIITA WAKALA WA ODINGA AKUTWA NA FOMU ZA MATOKEO


Mwanaume mmoja aliyejitambulisha kama Wakala wa Mgombea Urais, Raila Odinga, amesababisha mzozo kwenye kituo cha kuhesabu Kura cha Runyenjes huko Embu baada kukutwa na fomu 34B na 37B kwenye gari yake.

Tukio hilo limetokea baada ya mawakala wa wagombea Ugavana kuzua tafrani walipobaini fomu hizo hazipo kituoni.

Baada ya kuhojiwa mwanaume huyo alisema yeye ni Wakala wa Odinga na aliletwa na Mwenyekiti wa Azimio la Umoja kutoka Kaunti ya Embu.

Hata hivyo Wakala wa Raila Odinga ambaye amekuwepo kituoni hapo siku zote alikana kumfahamu mtu huyo.
Na itaaminikaje kuwa madai hayo si ya mgombea urais William Ruto ili kuzusha tafrani katika uchaguzi.Hapo ilipofikia Kikwete arudi nyumbani awaachie na vurugu lao.
 
Back
Top Bottom