PhD holder pekee
Upinzani
Ruto kamzidii Odinga lakini hajatoboa 50% kwa hiyo wanaenda raundi ya pili.
Huyo Ni Mwana Lumumba Ndiyo Wako Hivyo Wanakihoro SanaUna haraka ya nini?... si utulie utoe taarifa ya kueleweka
Hahaha........!Ruto kamzidii Odinga lakini hajatoboa 50% kwa hiyo wanaenda raundi ya pili.
Niko hapa Bomas nimekuja na kwaya ya mt Kizito
Mahela asingekuwa na jeuri kama asingepewa na yule mwenda kuzimu. Mungu aturehemu.Napenda sana ujasiri mlionao wa kushauri kwa majirani maswala ya uchaguzi.Huu ujasiri mgeutumia na hapa kwetu kina Mahela wasingekuwa wanatuchezesha sindimba na wote tunakaa kimya tunabaki kulalama hapa JF
Kabla ya Mahela mbona tulikuwa tunachezeshwa Sindimba,uchaguzi 2015, 2010 alikuwa ni JPM pia? Uchaguzi wa 2005 je? Unashindwa kuliangalia tatizo kwa upana wake unakimbilia kupeleka hasira zako kwa mtu mmoja?Mahela asingekuwa na jeuri kama asingepewa na yule mwenda kuzimu. Mungu aturehemu.
JESUS IS LORD
CCM watalambisha asali hao viongozi wa hustlers,utashangaa tu hustlers wamegeuka kua walamba lips.Bongo inabidi tuanzishe chama cha Mahasla. SA kipo kinaongozwa na Julius Malema
Upo sahihi,kwa sasa pande zote mbili zimeshacheza rafu za kutosha ndani ya huu muda wa Tume kuhakiki matokeo,hakuna tena kura halali hapo.Wakirudi ndo atapatikana mtu halali hata mda wa uwizi wa kura utakuwa mdogo
Leo mabangi amcha Mungu safi sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baba Yesu tunavyokupenda kwa nguvu zote msaidie ndugu Ruto mwana wa Samoei the hustler aibuke mshindi Ili wote tufurahi.
Yesu mtu wangu Niko on my bended knee please msaidie Ruto the humble God fearing gentleman ashinde na aruke hivi vizinginti uchwara vya deep state.
Ruto the president
yeah itakuwa one vs one ,hata kulinda kura ni rahisi maana ya wabunge na magavana tayari kwahiyo nguvu itakuwa kwenye kulinda kuraUpo sahihi,kwa sasa pande zote mbili zimeshacheza rafu za kutosha ndani ya huu muda wa Tume kuhakiki matokeo,hakuna tena kura halali hapo.
Ngoma nzito hadi umeamua kusali kabisa.Nilikutahadharisha siku ya kwanza kuwa mambo kwa ground si rahisi ki hivyo.Sasa muda si mrefu utaelewa kwanini Uhuru ameamua kusimama na RAO.Baba Yesu tunavyokupenda kwa nguvu zote msaidie ndugu Ruto mwana wa Samoei the hustler aibuke mshindi Ili wote tufurahi.
Yesu mtu wangu Niko on my bended knee please msaidie Ruto the humble God fearing gentleman ashinde na aruke hivi vizinginti uchwara vya deep state.
Ruto the president
BannedYaan jamaa wewe unachosha sijui ndio nini unaona jf kama yako na sijui kwanin wamekuacha
Kule sport hakuna maana tena umejaza mimada yako ya kijinga unapost kila dakika
Mbona kama walijiapisha, wanaenda kufanya nini sasa!?Hayawi hayawi Katiba yatakuwa
Vigogo Wakuu wa Azimio wamejadili ukumbimi hapo Bomas tayari kwa kupokea Matokeo ya Rais mpya wa Kenya
Updates;
Hahaha nafuatilia Sasa hivi. Ruto anaongoza Zaid. Raila hoi. Ruto tayari raisNgoma nzito hadi umeamua kusali kabisa.Nilikutahadharisha siku ya kwanza kuwa mambo kwa ground si rahisi ki hivyo.Sasa muda si mrefu utaelewa kwanini Uhuru ameamua kusimama na RAO.