Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
IMG-20220815-WA0028.jpg
 
Watu wanadhani Kenyatta ni fala kuungana na Raila,Rails Odinga ndio chanzo kikuu cha upinzani Nchini Kenya-ukiona siasa ya Kenya imekaa kiasi hicho jua ni matunda 99% ya Odinga na Baba yake Oginga bila yeye Moi angefia madarakani.
Wanasiasa wote wakubwa wana emerge kutoka kwake,ukisikia migogoro ya kisiasa na machafuko Kenya sababu kubwa ni yeye.Ilikuwa Rais kwa Kenyatta kuungana tena na Raila kuzuia hayo machafuko.
Hebu fikiria Leo hii Kenyatta angeungana tena na Ruto against Raila-aiseee Kenya isingetawalika.

So,Uhuru alicheza kete nzuri sana kuepusha machafuko yoyote atakayeshindwa atakuwa hana nguvu ya kuanzidha vugu vugu.imagine ameshindwa Uhuru utafanya vurugu against nani huku umepata back up ya Serikali vilevile akishindwa Ruto atamganyia nani vurugu huku naye ni sehemu ya Seriakali.
Mkuu faatilia vizuri.
Ruto anaweza anzisha vurugu sema Hana backup ya dola au kabila kubwa la kufanya violence.
Raila ndo mjuzi wa kuanzisha violence, kumbuka alishatangaza kushinda. Ruto yupo kimya koz anaamini upepo upo kwake kushinda. Halafu watu wa kabil la lake siyo violent kama Jaluo na Kikuyu. Ila violence Kenya ni jamii zaidi kuliko mtu mmoja.
 
Waàma
By the way siasa za Kenya sometime ni za kifala haziwapi watu wengine fursa nje ya the system(inner circle ) wamefanya wengi mazuzu -ndio maana hata idadi ya watu kwenda Ku vote imepungua sana.toka mwaka 1990 zaidi ya miaka 30 watu ni walewale.
1.Raila Odinga
2.Mwai Kibaki
3.Uhuru Kenyatta
4.Kalanzo Musyoka
5.Moses Watengula
6.William Ruto
7.Musalia Mudavadi
Halafu wamama ndo wanawaweka makamu wao wenza.
 
Jana Odinga aliongozana na Gideon Moi kule kanisani,Familia ambazo zilikuwa mahasimu hadi siku 1 kabla ya matokeo kutangazwa walikuwa wote halafu Leo uniambie kwamba Odinga hatakuwa Rais siwezi amini.Ingawaje Gedion Moi ameshindwa kutetea kiti chake cha ugovana kule kwake.
Gideoni Moi alikua Azimio toka mwanzo kabisa, ndio umejua jana?
 
Back
Top Bottom