Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Kazi ipo. Ila inategemea kura za kambi ya nani zilizobaki kuhesabiwa. Hapa watabiri washajua nani atakuwa Rais.
Aisee ukiangalia ile ramani kura imepigwa kikabila.

Sasa sijui imebaki kambi ya nani kubwa
 
Bora asikubali Odinga.
 
Kenya wamechezewa na systeam..Rais ndio huyoo...
 
Kuamini kuwa wapinzani tu ndo hushinda kwenye kura ni uzwazwa.
Kazi ya mwananchi ni kupiga kura sio kuweka kiongozi amtakae madarakani Ingekuwa hivyo wapinzani wangekuwa wanashinda uraisi KILA siku
 
Raila itashinda kura na sio kushinda uraisi.
 
Huu upuuzi unatoa wapi ww!!??
 
Mwana hebu tupe details za kikount Hasa Kisumu na mt Kenya. Tuendelee Kula porncorn.
Kisumu ni Stronghold ya Raila huko lazima atashinda ila Mt Kenya wamechagua Ruto sababu ya Rigathi Gachagua( siasa ya Kenya ni ushawishi wa watu,kukubalika na watu wa eneo husika)mfano Nyeri County na Kirinyaga up to now ,massively wamepigia Ruto angalia picha iliyoambatanishwa hapo chini



Cha kushangaza Raila alichagua Martha Karua kama mgombea mwenza ila hana ushawishi matokeo yake kwa polling Station ya Martha Karua massively wamepigia Ruto (angalia kielelezo cha picha namba 2 hapo chini)
 
#their career#
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…