Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Mmmh! Ngoja tuone!

Tangu saa mbili asubuhi mpaka muda huu saa sita Raila anatokea nyuma.
Kwa sasa tofauti ni Kura 100k Plus.

Kitendo cha kuitisha Press kinazidi kuonyesha Hali tete
Aloo kaona ngoma ngumu?
 
Back
Top Bottom