Aloo kaona ngoma ngumu?Mmmh! Ngoja tuone!
Tangu saa mbili asubuhi mpaka muda huu saa sita Raila anatokea nyuma.
Kwa sasa tofauti ni Kura 100k Plus.
Kitendo cha kuitisha Press kinazidi kuonyesha Hali tete
Ok basi sikuwa na taarifa sahihi ,kama ni mil 12 bado kazi ni nzito haiishi leoWalio piga kura ni mil 12 mkuu.
So Raila anasogea mbele au sio!?Mmmh! Ngoja tuone!
Tangu saa mbili asubuhi mpaka muda huu saa sita Raila anatokea nyuma.
Kwa sasa tofauti ni Kura 100k Plus.
Kitendo cha kuitisha Press kinazidi kuonyesha Hali tete
Aloo kaona ngoma ngumu?
So Raila anasogea mbele au sio!?
Margin ni ndogo sana. Mombasa waliahirisha uchaguzi jimbo la Raila, Homabey jimbo la Raila ndio wamemaliza kucompile matokeo......Mpaka amfikie Ruto kisha ampite yaani anahatua mbili mbele. KAZI anayo
Kitu kinachotokea nyuma huwa na momentum kubwa kikikupita margin inazidi kupungua wanaelekea kuwa sawa sasaNgoja tuone Ila Kwa kweli Mimi sipendagi kutokea nyuma, napenda niwe mbele mpinzani wangu anikimbize(atokee nyuma).
Hakuna sehemu uchaguzi wa rais umeahirishwaMargin ni ndogo sana. Mombasa waliahirisha uchaguzi jimbo la Raila, Homabey jimbo la Raila ndio wamemaliza kucompile matokeo......
bado sana mkuu chill
Acha uongo turnout ni 12 million nipo kenya muda huu usidanganye watuMkuu waliojiandikisha wapo mil 22 ,waliopiga kura ni mil 6.
Sasa hivi Ruto na Odinga kila mtu ana kura 1,500,000 + jumla zaidi ya kura mil 3 , so kwenye kura mil 6 zilizopigwa zimebaki kuhesabiwa kura mil 3
Hali ya watu mtaani ipoje huko.Acha uongo turnout ni 12 million nipo kenya muda huu usidanganye watu
Maisha uanaendelea Kama kawaida watu Wamewasha ktn na citizentv wanafatilia bado Hali ni shwali kwa nairobi.Hali ya watu mtaani ipoje huko.
Sawa sawaMaisha uanaendelea Kama kawaida watu Wamewasha ktn na citizentv wanafatilia bado Hali ni shwali kwa nairobi.
Shida shida zipo uko mashinani
Siyo wanavyoeendesha uchaguzi tu, bali wanavyopiga kura kwa lessoning.