Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Baada ya kupata ufafanuzi hapo juu inabidi nifute comment yangu, hakuna haja ya kuminya uhuru wa vyombo vya habar hongereni sana wakenyaUpo sahihi sana,mi vimenivuruga mpaka nimeamua kutofuatilia tena.Kimsingi matokeo ilitakiwa kuwe na one source Kwa vyombo vyote vya habari
Mwehu wa CCM😂😂😂😂😂daaa🙌🙌🙌Wewe mwehu wa CCM una uhakika hivyo ndivyo NTV walivyosema au umekurupuka huko na hiyo screenshot ukaweka maneno yako, hakuna sehemu NTV wamesema media kutofautiana figures basi maana yake matokeo ni ya uongo, grow up.
Hii ina maana ana magavana wengi pia?Ni majimbo 26 out of 47
Unadhani huku kwetu hakuna wehu? Ndio hao 😂😂😂Mwehu wa CCM😂😂😂😂😂daaa🙌🙌🙌
Saidia link hapa MkuuHapana kwa sasa ambao wanarusha the most recent nadhani ni online Community Kenya
Hiyo source ya matokeo ingeleta tafrani,nani angeamini matokeo yanayotangazwa kupitia hiyo source ni ya kweli?Upo sahihi sana,mi vimenivuruga mpaka nimeamua kutofuatilia tena.Kimsingi matokeo ilitakiwa kuwe na one source Kwa vyombo vyote vya habari
What. Watu wengine mlizaliwa utumwani hivyo inakuwa vigumu mnapopewa uhuru?Upo sahihi sana,mi vimenivuruga mpaka nimeamua kutofuatilia tena.Kimsingi matokeo ilitakiwa kuwe na one source Kwa vyombo vyote vya habari
Tuwaache majirani wafanye kile wanachoona kiko sawa kwao. Naona kila media imeona ijumlishe kivyake. Wanaomkubali Ruto wanaanza kuchukua figure kubwa kubwa, wakati huo wanaomkubali Raila wanachukua figure kubwa. Mwisho wa siko watakutana mbele huko na mshindi ataonekana. Ndio kwanza wako kwenye 5m bado kura zaidi ya 8m tujue mshibdi.Hiyo source ya matokeo ingeleta tafrani,nani angeamini matokeo yanayotangazwa kupitia hiyo source ni ya kweli?
Ikitokea vyombo vyote vya habari,vikatangaza matokeo yote sawa mwishoni,itaongeza kuaminika kwa hayo matokeo.
Katiba Inawaruhusu mkuu!Upo sahihi sana,mi vimenivuruga mpaka nimeamua kutofuatilia tena.Kimsingi matokeo ilitakiwa kuwe na one source Kwa vyombo vyote vya habari
Dah afadhali apate naye jamani dahHapana.
Hakuna tatizo, hayo ni matokeo ya vyanzo viwili tofautiSasa 52% +50%=102% huoni kuna tatizo hapo?
Source ?Live Updates:
RAILA 5,289,045(52.4)
RUTO 4,632,670(46.5)
Kwahiyo unajiona wewe pekee ndiyo unaelewa sana kuliko wengine?What. Watu wengine mlizaliwa utumwani hivyo inakuwa vigumu mnapopewa uhuru?
Mmmh hivyo tena?Kura feki za ruto kutoka uganda kuingia somalia zimekamwata
SourceKura feki za ruto kutoka uganda kuingia somalia zimekamwata