Citizen anajulikana ni pro Odinga. Itakuwa wao kwa sasa wanamlisha motokeo kutoka County pro Odinga,TV zingine ni pro Ruto wanajumlisha kutoka pro Ruto.Mwisho wa siku watakutana tu.Hizi media za Kenya nazo nadhani zimekaa kisiasa sana,ukiangalia KTN, Citizens na KBC kila mtu anarusha matokeo yake tu......hakuna uniformity......wanachosha tu kwakweli
Umejibu kitalaamu sana ,umeniwahiUnahitaji tu 50% plus kura moja
Basi kazi ipo 🤣Citizen anajulikana ni pro Odinga. Itakuwa wao kwa sasa wanamlisha motokeo kutoka County pro Odinga,TV zingine ni pro Ruto wanajumlisha kutoka pro Ruto.Mwisho wa siku watakutana tu.
Ruto ni mwizi anajua mchezo huu alikuwa kwenye kambi ya kulob kura kipindi cha Moi. Ruto ni zao la Daniel Arap Moi.Source
Faida yake nini hiyo.Ni uzembe tu wa kiserikali.Citizen anajulikana ni pro Odinga. Itakuwa wao kwa sasa wanamlisha motokeo kutoka County pro Odinga,TV zingine ni pro Ruto wanajumlisha kutoka pro Ruto.Mwisho wa siku watakutana tu.
Ni sawa let say Magufuli vs Mbowe. Mwingine anaanza kujumlisha kura za kanda ya ziwa,mwingine anaanza na za kanda ya kaskazini.Basi kazi ipo 🤣
Mbona wakati citizen wanaonyesha Rutto anaongoza mlichukulia poa?Acheni double standard🤔Citizen anajulikana ni pro Odinga. Itakuwa wao kwa sasa wanamlisha motokeo kutoka County pro Odinga,TV zingine ni pro Ruto wanajumlisha kutoka pro Ruto.Mwisho wa siku watakutana tu.
Mmmh hivyo tena?
Hawataki kuwafrustrate wafuasi mapemaNi sawa let say Magufuli vs Mbowe. Mwingine anaanza kujumlisha kura za kanda ya ziwa,mwingine anaanza na za kanda ya kaskazini.
Tanzania tuna la kujifunza.Matokeo ya sasa yamekuwa more transparency kwasababu ya Rulling ya high court .wagombea wengi wanakubali matokeo majimboni, case za udanganyifu ni chache mno
Fomu ya 34A ya matokeo ya uchaguzi vituoni iko transparency kwenye websites kila mtu anaiona na kila media Ina tallying centre yake ..so unaona uwazi ulivyo mkubwa.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Siasa zetu ni tofauti kabisa kuanzia system nzima ya uwazi kwenye kupiga na kuhesabuTanzania tuna la kujifunza.
Matokeo yote yameshatoka mbona so hapo Kila mtu ana haki ya kuhesabu kura hata chumbani kwako then utajua Mshindi ni nani, IEBC wao watahesabu kupitia zile fomu za matokeo MANUALLY ndio watatangaza Mshindi wa jumla.Faida yake nini hiyo.Ni uzembe tu wa kiserikali.
Mbali huko.Wengine vijiweni hawana muda kuhesabu kura.Matokeo yote yameshatoka mbona so hapo Kila mtu ana haki ya kuhesabu kura hata chumbani kwako then utajua Mshindi ni nani, IEBC wao watahesabu kupitia zile fomu za matokeo MANUALLY ndio watatangaza Mshindi wa jumla.
So hakuna uzembe ila ni uwazi Ili msije sema mtu kaibiwa
Naona hapa alikuwa anauhakikishia umma kuwa yeye haibiwi hovyo, kumbe yeye ndo mwizi, mmmh.Ruto ni muhuni don't forget