wa data ipi? mbona you are saying the contraryOdinga ameshashinda kinachofata ni utaratibu tu
kila channel ina matokeo yake, therefore this is not reliableRuto anazidi kuporomoka taratiibu. Kuangalia live updates type elections.nation.africa Kila dakika 2 Wana updateView attachment 2320556
chadema njoo mumuoe huyu binti anawapenda sana ataehuka kwa malove ya chadema1995 tukiwa Nccr mageuzi na mgombea wetu wa ubunge Iringa mjini alikuwa Mkemia Kibassa tulikesha umbali wa mita 200 hadi Kibassa alivyotangazwa mshindi
Chadema wakiona Polisi tu wanakuwa waoga hata sehemu penye haki yao
Nadhani leo wanajifunza kwa Wafuasi wa UDA ya William Rutto wanaokesha wakilinda kura za Wagombea wao wote na matunda tunayaona
Odinga mshindi tayariAny updates jamani
source?Odinga mshindi tayari
Weka zako ambazo ni sahihiKinachofanyika saivi ni FAKE FAKE FAKE.....wana add numbers tu na kubalansisha.. Ruto kashashinda zamanii
we acha mapenzi yasiyo na uhalisia. Unatazama channel ipi huko Kenya maana zinatofautiana sanaOdinga mshindi tayari
mrs hulali jamani?Any updates jamani
Ninakawaida ya kuamka mida hii then nalala tena...wewe je?mrs hulali jamani?
Upinzani wa Tanzania wahuni. Huwa mnaleta mitambo ya kuhaki matokeo. Ndio huwa lazima mdhibitiweSema tu ingekuwa TANZANIA...na wagombea wote wa upinzani wangekuwa wamekosea kujaza form, mawakala wa vyama vyao wangekuwa hawana sifa, hakuna mtu kusubiri matokeo eneo la kuhesabia kura, wagombea wa upinzani karibu nusu wangekuwa lockup hadi sasa aaghhrrr
Akoshinda sifa ziende kwa Uhuru one of the best president in the continent.Wakati amechaguliwa nilimuona kama msela hivi ila alivyoanza uongozi akani prove wrong ana busara na kifua cha ku absorb shockI see Jaluo mwaka huu anavunja mwiko na kuchukua nchi.
Yaani uhuni na ubabe wooote inaofanywa na colabo ya CCM huoni unaishia kuudhihaki upinzani? What a heck!Upinzani wa Tanzania wahuni. Huwa mnaleta mitambo ya kuhaki matokeo. Ndio huwa lazima mdhibitiwe
Raok
wa data ipi? mbona you are saying the contrary
Sawa mke wa Lissu[emoji116]Any updates jamani
Unataarifa ya wapiga kura waliokamatwa kwenye roli kutoka uganda?
Tume haijaanza kujumlisha wanasubiri hardcopy 34A Matokeo yanachakatwa na Tv km NTV na Citizen ingawa sio final ILA rukhsaHapa nitakuletea Matokeo ya Urais nchini Kenya Kama yanavyoendelea kutangazwa na tume ya Taifa ya UCHAGUZI na Mipaka ya IEBC. Hapa nitaleta matokeo ya Wagombea 2 TU Vigogo ambao ndio Kura zao zinakaribiana Sana.
Raila Odinga - 49.40 %
William Ruto - 49.33%
Total Votes Counted : 2,496,312.