Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
1995 tukiwa Nccr mageuzi na mgombea wetu wa ubunge Iringa mjini alikuwa Mkemia Kibassa tulikesha umbali wa mita 200 hadi Kibassa alivyotangazwa mshindi

Chadema wakiona Polisi tu wanakuwa waoga hata sehemu penye haki yao

Nadhani leo wanajifunza kwa Wafuasi wa UDA ya William Rutto wanaokesha wakilinda kura za Wagombea wao wote na matunda tunayaona
chadema njoo mumuoe huyu binti anawapenda sana ataehuka kwa malove ya chadema
 
Sema tu ingekuwa TANZANIA...na wagombea wote wa upinzani wangekuwa wamekosea kujaza form, mawakala wa vyama vyao wangekuwa hawana sifa, hakuna mtu kusubiri matokeo eneo la kuhesabia kura, wagombea wa upinzani karibu nusu wangekuwa lockup hadi sasa aaghhrrr
Upinzani wa Tanzania wahuni. Huwa mnaleta mitambo ya kuhaki matokeo. Ndio huwa lazima mdhibitiwe
 
k

wa data ipi? mbona you are saying the contrary
Rao
Screenshot_20220811-041453_Chrome.jpg
 
Unataarifa ya wapiga kura waliokamatwa kwenye roli kutoka uganda?

Tofauti ni kwamba, hao wanaweza kuwa ni mpango wa chama/ mgombea lakini haihusishi time au vyombo vya serikali.

Huku kwetu unakuta time au vyombo tulivyotegemea viratibu na kusimamia zoezi Kwa haki ndio wanacheza hizo famba, Mara wapinzani wamejaza form vibaya, Mara mawakala watoke nje...orodha ni ndefu.
 
Hapa nitakuletea Matokeo ya Urais nchini Kenya Kama yanavyoendelea kutangazwa na tume ya Taifa ya UCHAGUZI na Mipaka ya IEBC. Hapa nitaleta matokeo ya Wagombea 2 TU Vigogo ambao ndio Kura zao zinakaribiana Sana.

Raila Odinga - 49.40 %

William Ruto - 49.33%

Total Votes Counted : 2,496,312.
Tume haijaanza kujumlisha wanasubiri hardcopy 34A Matokeo yanachakatwa na Tv km NTV na Citizen ingawa sio final ILA rukhsa

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom