Tutukane tena mkuu binafsi sijatosheka. Mijitu inaoigania jezi tena kwa hela yao.
Kwahiyo ww wataka kufurahi peke yako wengine aaah!!! 😅😅😅😅Achana na wenye "mahaba" na wagombea...
Odinga bado anaongoza...
Mimi sio team Ruto mbona nimesha declare interest huko nyuma....Mimi ni mzee kitendawili buanaKashinda Odinga tayari gem over. Ruto alijitahidi sana lkn ndio vile tena poleni Tim Ruto
Game Over ya P square labda!!Kashinda Odinga tayari gem over. Ruto alijitahidi sana lkn ndio vile tena poleni Tim Ruto
Mimi ni mtanzania tunza mate yako.Kumbe ndivyo mlivyo watz tumekesha hapa tuko began kwa bega nanyi Ndugu zetu ,kumbe mna mazalau hivi, naanza kumuelewa countrywide ndo maana huwa anawatukana
Ni kweli angalia kwenye ile live link [emoji116]Mkuu unaangalia kituo gani?
Ahahahaaa eti wa kwanza, but hii ngoma italala kwa 50/50 maana wapo karibia (total votes) 12mil so leo mpaka 1300hrs tayari tutajua nani ni nani!.Wa kwanza kufika 7M is most likely the winner.
Kijana acha ubishi Raila ameshinda nimejumlisha mwenyewe matokeo. Kupitia form 34AGame Over ya P square labda!!
Matokeo ya Urais na mshindi yatatangazwq na IEBC tu, hapa tungejikita kwenye matokeo ya nafasi nyingine maana ni porojo tupu za tv station.Huu uchaguzi navyoona inategemea na wameanza kujumlisha sehemu gani au ngome gani?....nimeamka saa 11 nikaona citizen ruto aliongoza Pareefu zaidi ya kura laki mbili, sasahivi naona wanakaribia kulingana tena
Ruto anachukua Urais watu hawataaminiHsbari ni hii...
View attachment 2320587
Kuna maeneo ya Odinga KURA BADO matokeo kupatikana maeneo mawili makubwaHapo KTN washatally stronghold zone zote za Odinga.
evidence?Kisumu ili tena naona nimekuona Odinga kabeba kura 364,234
Na Ruto kabeba 4,124 au zimegawnyika
Wapi na wapi? Maana kura nyingi za raila zipo SIAYA NA MIGORI ujaluoni huko na amepiga zaidi ya 300k plus kila eneo, na wameshazijumlishaKuna maeneo ya Odinga KURA BADO matokeo kupatikana maeneo mawili makubwa
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app