Wakenya wanajitambua !!Kama kichwa cha habari kina vyojieleza Deep state imekwisha maliza uchaguzi huko Nyayo kinachoendelea ni kuwafurahisha vibwengo tu nyuma ya pazia rehearsal za kumuapisha Agwambo zinaendelea.
Asanteni kwa kushiriki.
Sio joho tu,wanasiasa wote vipanga wa Kenya wapo upande wa Odinga had I akina Junet Mohmed.Kumbe Gavana Joho yuko ktk kundi la Odinga?? Safi sanaaa.
Wameanza janaTume haijaanza kujumlisha wanasubiri hardcopy 34A Matokeo yanachakatwa na Tv km NTV na Citizen ingawa sio final ILA rukhsa
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Ungezileta hapa screen shots,ili watu tuamini kua humchafui.Katika zile ID zake Nne ( 4 ) nilizozisema hii nayo ni moja wapo na ningeshangaa kama usingewashwawashwa nami.
Mbona siku hizi hunifuati tena PM kama kawaida yako kuniomba nikuingilie Kinyume na Maumbile? au umeshampata wa Kukubaliana na huo Upumbavu na hiyo Dhambi Kubwa?
Nilikuwa nakutamani uje na Umekuja.
Keep fooling yourself.Kura zilizopigwa ni 12M
Zilizohesabiwa ni 1.5M
Muda wa Ruto kujihakikishia ushindi bado sana.
Kwa vyovyote vile huu uchaguzi lazima ashinde Odinga.
Nipo kwenye group watsup na wakenya tumejumlishaWewe ni mwongo..hizo fomu kujumlisha unadhani ni kazi rahisi tena kwa vifaa gani ulivyo navyo kushinda media za kenya wanapambana kujumlisha
Wenye akili kubwa hawajikqezi hata Siku 1,acha tabia ya kimagufuli ya kutaka upendwe na kila mtu-kama huko kwenye familia yako wapo wanao kudisi huku Jf ndio unataka kila mmoja akukubali?? LohUkiwa Mpumbavu kama ulivyo hutojua ni kwanini nimeleta hapa hilo ( hili ) unaloliita Gazeti ila kwa Akili Kubwa niliyonayo najua ni kwanini nimeandika hapa na labda nikuahidi tu kuwa nitaendelea kuliandika hili Gazeti langu hapa JamiiForums na katika Thread yoyote ile pale ambapo huyu Mpumbavu Mwenzako atanifuatilia.
Hawawezi sio kazi rahisi kama unavyofikiria..labda ungesema hata rayol media ndio kidogo wanaweza kuwa angalau vifaa venye kasi kwanza unadownload wapi si hapo hapo IBEC portal..Nipo kwenye group watsup na wakenya tumejumlisha
Unatoa wapi mkuu?Live Updates;
Ruto 6,243,685(50.6)
Raila 5,712,460(48.5)
Hivi huwa ni Chibukati au Chebnukati??KILA CHANNEL INA DATA ZAKE, LET US KEEP PATIENCE TILL CHABUKATI MAKES A NOTE!
ODINGA kapigwa
HoneyNaomba sana Odinga ashinde, huyu baba Jaman ametoka mbali mnoo. Yaaan akikosa bas aachane na siasa tyuuh.
Nairobi kama Dar es Salaam always watu wapo against chama Tawala.If Nyqnza went out to vote at 80%+ and Mombasa, Nairobi and Kakamega reach atleast the minimum of 65% voter turnout Raila will win. The problem is we dont have turnout per county. Looking at Mt Kenya they whooply went to Ruto but their turnout was somehow dismal as they ranged between 50-55 percent. Whoever win the tally he must understand that half of the country is not with him.
Ila KWa up to date ya matokeo ya Kenya nimekubali, maana utoa data mbele ya mda na kadri mda unavyo songea kura zinagota KWa hili nakupongeza Sana ila punguza matusi Bwana mdogo vinginevyo una akili sanaLive Updates;
Ruto 6,243,685(50.6)
Raila 5,712,460(48.5)