Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Kama kichwa cha habari kina vyojieleza Deep state imekwisha maliza uchaguzi huko Nyayo kinachoendelea ni kuwafurahisha vibwengo tu nyuma ya pazia rehearsal za kumuapisha Agwambo zinaendelea.
Asanteni kwa kushiriki.
Wakenya wanajitambua !!
 
Citizen na Ktn
 

Attachments

  • Screenshot_20220811-092210.png
    Screenshot_20220811-092210.png
    212.4 KB · Views: 6
Katika zile ID zake Nne ( 4 ) nilizozisema hii nayo ni moja wapo na ningeshangaa kama usingewashwawashwa nami.

Mbona siku hizi hunifuati tena PM kama kawaida yako kuniomba nikuingilie Kinyume na Maumbile? au umeshampata wa Kukubaliana na huo Upumbavu na hiyo Dhambi Kubwa?

Nilikuwa nakutamani uje na Umekuja.
Ungezileta hapa screen shots,ili watu tuamini kua humchafui.
 
If Nyqnza went out to vote at 80%+ and Mombasa, Nairobi and Kakamega reach atleast the minimum of 65% voter turnout Raila will win. The problem is we dont have turnout per county. Looking at Mt Kenya they whooply went to Ruto but their turnout was somehow dismal as they ranged between 50-55 percent. Whoever win the tally he must understand that half of the country is not with him.
 
Ukiwa Mpumbavu kama ulivyo hutojua ni kwanini nimeleta hapa hilo ( hili ) unaloliita Gazeti ila kwa Akili Kubwa niliyonayo najua ni kwanini nimeandika hapa na labda nikuahidi tu kuwa nitaendelea kuliandika hili Gazeti langu hapa JamiiForums na katika Thread yoyote ile pale ambapo huyu Mpumbavu Mwenzako atanifuatilia.
Wenye akili kubwa hawajikqezi hata Siku 1,acha tabia ya kimagufuli ya kutaka upendwe na kila mtu-kama huko kwenye familia yako wapo wanao kudisi huku Jf ndio unataka kila mmoja akukubali?? Loh
 
Nipo kwenye group watsup na wakenya tumejumlisha
Hawawezi sio kazi rahisi kama unavyofikiria..labda ungesema hata rayol media ndio kidogo wanaweza kuwa angalau vifaa venye kasi kwanza unadownload wapi si hapo hapo IBEC portal..
 
If Nyqnza went out to vote at 80%+ and Mombasa, Nairobi and Kakamega reach atleast the minimum of 65% voter turnout Raila will win. The problem is we dont have turnout per county. Looking at Mt Kenya they whooply went to Ruto but their turnout was somehow dismal as they ranged between 50-55 percent. Whoever win the tally he must understand that half of the country is not with him.
Nairobi kama Dar es Salaam always watu wapo against chama Tawala.
 
Back
Top Bottom