Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
vijana hawapo tayari kuonhozwa na mzee ambaye hana tena nguvu ya kukimbizana.
 
Ruto Hana tamaa, ni viongozi wachache leo kuamua kuacha keki mezani ya taifa katika mtazamo ambao kwake anaona hauko sawa , nakutafuta njia nyingine ambayo anaweza implement maono yake bila shida, that what Ruto did, na huo Ndo uongozi , angebaki pale alikua anaisha kisiasa, na kupoteza ndoto zake , kila mtu anandoto zake kwenye maisha
 
Yaan Odinga ashinde haraka mnooo, niweze kula chakula, maana hata hamu ya kula imekata.
 
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Angekua mvumilivu asingekubali kwenda kuapishwa ikiwa alishindwa.

Kuhusu kuhandshake na wapinzani wake, hapo Sasa ndio ikuonyeshe alivyokua na tamaa. Odinga alijua kabisa ni lazima aungane na kenyetta ili kuipata ikulu kutokana na nguvu aliyonayo ruto. Kenyatta nae alikuwa hana namna ya kuungana na odinga kwa kuwa Kenyatta ni raisi mfanyabiashara hofu yake asipoungana na odinga, na odinga akashinda uchaguzi itakula kwake. Hivyo handshake hazijatokea tu kwa bahati mbaya au eti sijui ni waungwana
 
Sawa,haya ni maoni yako,tusubiri Kenya waamue
 
Sawa,haya ni maoni yako,Yakwangu yanabaki vilevile,tusubiri matokeo tu
 
Transparency inayoendelea ni kubwa sana, namsikiliza Chebukati kupitia NTV hapa, anawambia watu wa quality assurance, waendelee kucrosscheck forms na kama kuna form kutoka kituoni ina makosa wao hawana control nayo, bali ngoma itapelekwa mbele (mahakamani) ikaamuliwe huko.

Kwa kweli Tz tutachelewa sana kufika huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…