Sasa umekataa nini kuhusu tamaa?Ruto Hana tamaa, ni viongozi wachache leo kuamua kuacha keki mezani ya taifa katika mtazamo ambao kwake anaona hauko sawa , nakutafuta njia nyingine ambayo anaweza implement maono yake bila shida, that what Ruto did, na huo Ndo uongozi , angebaki pale alikua anaisha kisiasa, na kupoteza ndoto zake , kila mtu anandoto zake kwenye maisha
Wamejulikana zamani kuliko watanzania kupitia Kilimanjaro na utalii wa mbuga za wanyama na utamaduni wao wa kiafrika safi.Ila jokes aside,wakenya wana akili sana.No wonder Obama akawa rais wa taifa kubwa kama USA.
Huyu mwenyekiti wa tume ana akili sana....anachoongea ni sawa na kikwete anachosema... matokeo yenye mgogoro ni kuachana nayo...wagombea waende mahakamani wakaamuliwe kwanza.... hakuna kubeba lawama ya mtu....kwa mwendo huu matokeo yatakayotangazwa na Tume yataaminika sana kuliko chochoteTransparency inayoendelea ni kubwa mtu, namsikiliza Chebukati kupitia NTV hapa, anawambia watu wa quality assurance, waendelee kucrosscheck forms na kama kuna form kutoka kituoni ina makosa wao hawana control nayo, bali ngoma itapelekwa mbele (mahakamani) ikaamuliwe huko.
Kwa kweli Tz tutachelewa sana kufika huko.
Ni kweli,lakini mchakato unaweza kuwa ni mrefu iwapo kuna mtu hataridhika akaenda mahakamani,sisi kazi yetu ni kusubiri hadi uamuzi wa mwisho.Sasa Wakenya waamuwe mara ngapi wakati walishaamuwa tangu juzi?
Tunasubili matokeo rasmi tu, maamuzi yalishafanyika huwezi badili lolote.
Wewe utakufa kwa presha; shauri yako. Punguza kidogo. πππHata akishindwa, apewe tyuuh jaman lol
Kwan 50.1 Sio above 50Huna unachojua. Mshinda lazima awe above 50, vinginevyo uchaguzi unarudiwa
"Wanasema ikulu haiwezi kuongozwa na mzee, na Mimi nawauliza kwani ikulu kunamtu anakwenda kubebe zege?" By malachelavijana hawapo tayari kuonhozwa na mzee ambaye hana tena nguvu ya kukimbizana.
Hizo akili zimeshindwa kuwasaidia kuondokana na umaskini mkubwa walio nao?Ila jokes aside,wakenya wana akili sana.No wonder Obama akawa rais wa taifa kubwa kama USA.
Pole ya nini,dunia inaenda shikwa na watu wenye hofu ya Mungu,Ruto anawatoa jasho huko ππPole sana mkuu
β€ππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo wewe huna akili?wakenya wanakili gani?hata watanzania Tuna akili.Ila jokes aside,wakenya wana akili sana.No wonder Obama akawa rais wa taifa kubwa kama USA.
Mkuu unategemea teuz nn ??Yaan Odinga ashinde haraka mnooo, niweze kula chakula, maana hata hamu ya kula imekata.
Yaan hapa sina amani kabisa, hamu ya kula imekata, kila kitu naona giza tyuuh. AaaaahWewe utakufa kwa presha; shauri yako. Punguza kidogo. [emoji23][emoji38][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan hata ananijua huyo Odinga?? Kihere here changu tyuhMkuu unategemea teuz nn ??
Mmmmh[emoji173][emoji41][emoji41]
Watanzania hamna kitu. Wengi ni kondoo. Tunaswagwa tu.Kwa hiyo wewe huna akili?wakenya wanakili gani?hata watanzania Tuna akili.
π€£π€£π€£π€£ Jamani tuko wengi tu mbona tunaoteseka, huyu baba ashinde tu kwa kweliWewe utakufa kwa presha; shauri yako. Punguza kidogo. πππ