Swahili_Patriot
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 358
- 831
Aki Ruto woyee😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo baba yenu anaangukia pua. Naenda kulala tukutane asubuhi nakuhakishi a Ruto anashindaWacha fujo ww kijana mdogo. Baba anabeba nchi
Mpaka sasa kura zilizohesabiwa ni kama 270,000 bado millions kadhaa ,tulia mkuuHuyo baba yenu anaangukia pua. Naenda kulala tukutane asubuhi nakuhakishi a Ruto anashinda
NA RUTO AKIBWAGWA ITAKUWAJE? RUTO HASHINDIYa mungu ni mengi. Huyu jamaa anaejiita hustle au William ruto .Ameamua kuingia vitani kusaka tiketi ya kuingia ikulu wakati mwenzake uhuru kenyata akichagua kuingia mzima...
Hivi ni vituo vya kupigia kura kama shule ya msingi sagana ambavyo viko 49000 kama sikosei wakenya mtanikosoa mm ni MTZ nilikuwa namuelewesha mwana JF mwenzanguCountry kivip Ni Kam Wiliya au Jimbo la uchaguzi au kakituo kadogo ndio unarusha. Huku
Jiwe shenzi sn na mshamba!Shida ya nchi za kiafrika rafu zinachezwA sana japo ya kwetu 2020 ilizidi maana lililokuwa madarakani lilikuwa jiwe sio mtu mwenye akili timam
Hii haijafika hata 2% ya kura zilizopigwa. Mapema sana kumake conclusionsAjaribu awamu nyingine sasaView attachment 2319507
Labda kama anashinda na njaaHuyo baba yenu anaangukia pua. Naenda kulala tukutane asubuhi nakuhakishi a Ruto anashinda
Kabla hujalala vuta msokoto mmoja.Huyo baba yenu anaangukia pua. Naenda kulala tukutane asubuhi nakuhakishi a Ruto anashinda
Mimi pia napenda sana Ruto ashinde.Ningependa ruto ashinde