Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Hapana lazima mshidi apate 50% +1% jambo ambalo ni impossible kwasasa 1% kwa idadi ya 14m ya wapiaga kura ni sawa sawa na kura 140,000 hio idadi sio rahisi kuipata kwasasa
Hesabu ngumu 50 +1 haina maaana itakuwa 51, yaweza Kuwa 50.1
 
IEBC tayari wametangaza nusu ya kura zote zilizopigwa....yaan 7million votes sawa na 52%, RUTO anaongoza kwa 51% RAO 47%anatokea nyuma kabisa

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Independent Electoral and Boundaries Commission.
Rasimu ya katiba mpya ya warioba ipitishwe na sisi tupate hili limashine kama la wakenya.

Maendeleo hayanavyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…