Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tyuu maana yake nini?Odinga huyu akishindwa sahivi aache siasa tyuuh, ila napendaa akishinda yeye.
Huko sio Tz,mambo ya kuachiana Hamnaga.Hata Ruto akishinda amwachie Odinga.Safari hii ni yake na hatutaki ugomvi wa ndugu.
Kwenye haki sawaHaki na Amani itawale Kenya.
Strong hold za Rails bado hivyo anything can happen. But siyo dalili nzuri kwa RailaBado matokeo kamili,lakini inaonyesha,Mgombea urais wa Kenya Ruto,amemuacha mbali mpinzani wake Odinga,kwa 52% dhidi ya Odinga 46%.
Mungu awasaidie wakubaliane na matokeo bila Vita.Kwenye haki sawa
ila amani ni majaliwa
Ruto tayari Rais nimeshaamini. Kwa trend hi Raila hamfiki. Bora Raila atangaze tu mapema kushindwa.LIVE UPDATES
William Ruto ( 1,349,452)-49.73%
Raila Odinga ( 1,329,518)-48.99%
Kila lenye heri mwana CCM mwenzetu RutoBado matokeo kamili,lakini inaonyesha,Mgombea urais wa Kenya Ruto,amemuacha mbali mpinzani wake Odinga,kwa 52% dhidi ya Odinga 46%.
Asee chalayangu usijali kabisa. Nimeshatabiri Ruto tayari ni Rais wa Kenya. Na Kagame atashinda kwa kishindo uchaguz ujao Rwanda. Mungu mkubwa asee Raila kamwe hatawahi kuwa Rais. Believe meUkimaliza uchaguzi wa Kenya ututabirie na wa Nchi zingine zote za EA ukianza na hapa kwetu,inaonekana wewe ni nguli wa siasa za ukanda huu.
Sijui kuna binadamu Mtanzania anaweza kusimama na akajenga hoja ya kukupinga. Oppositions kwa hii Tz hatuwapata,wafia tumbo hawa tulionao bynowHuu ndio upumbavu. Kila kitu kina utaratibu wake. Ukishakuwa mwanasiasa na ukasajili chama tunategemea utaongoza umma kwenye maono yako. Sasa unataka nchi nzima wote tuwe wanasiasa ? We jinga nini. Ebu niambie ni mgombea yupi wa upinzani kwa Tanzania ambaye unategemea aje amshinde mgombea wa CCM 2025 ? Wote waliopo ni wasaka tonge tu. Narudia tena kusema kwamba CCM itaendelea kuongoza Tanzania mpaka tupate chama mbadala wa CCM.
Akishindwa tena aachane na siasa sasaBado matokeo kamili,lakini inaonyesha,Mgombea urais wa Kenya Ruto,amemuacha mbali mpinzani wake Odinga,kwa 52% dhidi ya Odinga 46%.
Kila kitu huwa mnakitafutia namna ya kuwafariji juu ya ubaradhuri mnaofanyiwa abaoufanya CCM (kutafuta faraja), huko ni Kenya mkuu mambo ya nyangumi wa Chato bakini nayo nyinyi.Piga za macho hiyo rafiki ya yule nyangumi wa chato
It is simple fact,Africa we don't believe in women for leadership. Hasa Urais was Nchi.Ila Mm Nimekuwa Shocked Sana na Matokeo ya Kirinyaga County.
.
Ruto amepata Vote 20000+
Rao amepata Vote 3000+
.
Na Kirinyaga Ndio Nyumbani Kwao na Karua [emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app