Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Ngoja tuone Ila Kwa kweli Mimi sipendagi kutokea nyuma, napenda niwe mbele mpinzani wangu anikimbize(atokee nyuma).
Hata kwenye mpira na makocha wanawasisitizia wachezaji wao kuwahi kutangilia kufinga goli. Hii inaadvange ya asilimia kubwa kushindwa mechi. Kwanza tayari mmeshamvuruga mpinzani kisaikolojia. Wakati yeye anaangaika kurudisha goli nyie kazi yenu kuongeza la pili kwasababu ataacha mianya mingi midfield na defense.

Kwa uhakika Ruto is the next president. Believe me
 
Siyo wanavyoeendesha uchaguzi tu, bali wanavyopiga kura kwa lessoning.

Wanapiga kura kama watu wenye akili timamu.
Huku tunapiga kura Kama wendawazimu sio😂😂😂
 
Ngoja tuone Ila Kwa kweli Mimi sipendagi kutokea nyuma, napenda niwe mbele mpinzani wangu anikimbize(atokee nyuma).
Hata kwenye mpira na makocha wanawasisitizia wachezaji wao kuwahi kutangulia kufunga goli. Hii ina advange ya asilimia kubwa kushindwa mechi kwa timu pinzan. Kwanza tayari mmeshamvuruga mpinzani kisaikolojia. Wakati yeye anaangaika kurudisha goli nyie kazi yenu kuongeza la pili kwasababu ataacha mianya mingi midfield na defense.

Kwa uhakika Ruto is the next president. Believe me
 
Wajackoyah kapata kura ngapi hadi sasa? Maana ushindani ni mkali wagombea wanachuana vikali
 
Hayo matokeo umayapata kwenye source ipi?

Kuna sehemu yenye source zaidi ya Bomas house?
Kuna portal ya iebc wameweka matokeo kutoka kwa kila kituo cha kupiga kura(form 34A). Wengi wanazichukua hizi matokeo na kuzijumuisha wenyewe. Pia media stations wanatoa matokeo yao hapo na kujumuisha ila wapo slow sana. Kwa ujumla hizi fomu ni 47,000 na ziko in image form kwahivyo unahitaji kuzidownload zote na uzijumuishe ndo upate final tally
 
Kuna portal ya iebc wameweka matokeo kutoka kwa kila kituo cha kupiga kura(form 34A). Wengi wanazichukua hizi matokeo na kuzijumuisha wenyewe. Pia media stations wanatoa matokeo yao hapo na kujumuisha ila wapo slow sana. Kwa ujumla hizi fomu ni 47,000 na ziko in image form kwahivyo unahitaji kuzidownload zote na uzijumuishe ndo upate final tally
IEBC watatoa final tally lini?
 
Live Updates
Ruto 4,778.458(51.7)
Raila 4,020,865(47.4)
Hizi number unatoa wapi? Sote tunaangalia live mbona hawajafikia hii idadi ya kuhesbau kura.Unataka kisema Citizen wako nyuma kiasi hiki?
 
Back
Top Bottom