Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Nikupe video ya watu wa usalama wanaomlinda Raila hv sasa!!??

There is a huge problem because UDA allegedly hijacked Nation servers transmitting results and installed an algorithm to increase Ruto's votes on screen by 100,000 per 500,000 votes.

Then, using their contacts at IEBC, they hacked the server and uploaded bogus forms whose content do no correspond to polling station results on form 34A.

Consequently, IEBC has decided that only verified results at the Constituency level will be announced by the electoral body as valid. So far, Chebukati has announced two Constituencies.

What this means is that there will be no official results until next week. The UDA activities also explain why the counting of votes on the screen has been stopped.

Some forms which have been downloaded by media houses and tabulated on screen are fake because they were uploaded by UDA after UDA deleted valid forms transmitted from tallying centres.

After they uploaded fake forms at IEBC, Itumbi made a video and announced that Ruto will win with 7 million plus votes.

IEBC says that it has to verify all results before announcing them. Verification is being done together with Party agents and other stake holders.

More updates to follow::


Forwarded as received
Cheap (propaganda) can't work sir
 
TAARIFA:, Kwa wale mliopo humu JF tangu juzi mnasubiria matokeo hambanduki mnashauriwa kwenda kufanya mambo mengine. Inasemekana matokeo rasmi yatatangazwa kuanzia jumatatu saa 6 mchana, saa za Africa Mashariki.
 
Usikariri hata wasukuma hawakutahiriwaga lkn sasa hivi watu wanakatwa magovi.
mmh labda nikuwe wazi binafsi hilo la swala do not matter to me..kila mtu anahuru wakuchagua kile anapenda sioni hoja kwenye hilo ni private issue..ila usipinge kwamba halipo
 
Punguza kujieleza, afu mbona jamaa katumia neno la kawaida?? Level of panicking kwako iko juu mno, unaishi as ifu watu wanakujua unapoishi, unachovaa, nk. Hii mitandao tu, isikutoe kwenye reli, ukaanza kujiona unaonewa as if kuna mtu anakujua hata uone unavunjiwa heshima hapa.

Yaan uchukie jamaa kusema PUMBA?? kumbuka kila mmoja na mtazamo wake, mwingine anaona umeshusha NONDO na mwingine anaona umeshusha UPUPU.

Jifunze kukubali mawazo ya watu na maono tofauti kwa watu wengine, sio wote wataelewa ulichoandika, na si kila kitu unacholea jamaa anakidiss, that's not true at all... Jifunze kupokea negative comments, wewe sio Saint kwamba hukosei, hukosolewi nk.

Ishi maisha yako, diss zipo, hata kwenye maisha halisi, je huko unamshtakia nani????

Acha ujinga.
exactly! umenikumbusha kisa kimoja cha,nilijipinda nikanunua gari aina ya ALPHARD,nikajua washkaji watanipongeza,lkn badala yake wakawa wani diss nimenunua gari ya kike, sikupanic wala sikuchukia nilichukulia Kama utani tuu,maisha yanaendelea
 
Uchaguzi nchini Kenya ulifanyika mnamo tarehe 08.08.2022 na matokeo yameendelea kutolewa, lakini kwa leo sijapata update. Naomba update!
 
Kenya isopochapana mapanga tena awamu hii haitachapana tena hadi dunia itakapo isha. Nanusa harufu ya umwagikaji damu
Acha kushabikia upumbavu Jinga kabisa, unadhani Wakenya hawaijui thamani ya uhai?

Upo nyuma ya keyboard unajamba jamba tu, nenda kaanze kuwachapa mapanga shangazi zako kwanza.
 
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imekamilisha kuhesabu Kura kutoka vituo 46,203 kati ya vituo 46,229 ambapo bado vituo 26 ili kupata jumla ya Kura zote
-
Kwa mujibu wa Matokeo ya Nation Media kufikia leo saa 11:20 jioni, Mgombea Urais wa UDA, William Ruto bado alikua akiongoza kwa idadi ya Kura 6,703,493 = (49.91%) dhidi ya Raila Odinga, Mgombea wa Azimio mwenye Kura 6,636,849 = 49.41%
-
Mshindi wa Kiti cha Urais anahitaji kupata 50% ya kura halali zilizopigwa, pamoja na 25% ya kura kutoka kwenye kaunti 24
 
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imekamilisha kuhesabu Kura kutoka vituo 46,203 kati ya vituo 46,229 ambapo bado vituo 26 ili kupata jumla ya Kura zote
-
Kwa mujibu wa Matokeo ya Nation Media kufikia leo saa 11:20 jioni, Mgombea Urais wa UDA, William Ruto bado alikua akiongoza kwa idadi ya Kura 6,703,493 = (49.91%) dhidi ya Raila Odinga, Mgombea wa Azimio mwenye Kura 6,636,849 = 49.41%
-
Mshindi wa Kiti cha Urais anahitaji kupata 50% ya kura halali zilizopigwa, pamoja na 25% ya kura kutoka kwenye kaunti 24
IEBC mpaka sasa wamekamilisha kuhakikia vituo vitano (5) tu.
 
Back
Top Bottom