CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Nami nasubiri hapa maana nimeona ila sikupata jibu, maana sio mnene kiasi kileNimemuona DP W.S RUTO akiwa anawasili Bomas, naomba kuuliza kile kilichovimba kwenye koti lake upande wa nyuma ni silaha au bullet proof.