Yamungu Athumani
JF-Expert Member
- Apr 23, 2016
- 1,384
- 3,254
Hapa Ni upuuzi mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soon, subiri uone, Ruto won, subiri dak 20 from now, au angalia TV yako NTV, au Cheneli zote za Kenya, Ruto atatangazwa sasa hvMkuu ulihesabia wapi hizo kura na kuthibitisha kuwa Ruto ameshinda?
Sidhani kama hata akitangaza itakuwa na mashiko. Kambi ya Odinga itakata rufaa na mahakama itayafutulia mbali matokeoChibukati hajajitoa yuko Boma ,labda kama yupo under pressure.
Kama ameshinda kwa nini hajawasili Bomas?.
Wewe mwenyewe unakaa kwa shemeji
Www unaona maafsa wenyewe wa IEBC wamegawanyika, sasa Kama ruto ameshinda kihalali kulikua kuna haja ya kulalamika? Au hao wana tume ambao wako jikoni kabisa wanajua mchezo ulivyoKama ameshinda kwa nini hajawasili Bomas?.
Nawasikiliza hapa, wanazingua kinoma.. Hasa huyu mzee aliyevaa miwani... Anaongea utumbo kishenziHawa wachambuzi wa TBC wana-take sides mpaka aibu...
Sasa najiuliza kwenye TV pako hivyo wasimamizi wa uchaguzi wamegawanyika na hawa helewani vipi mtaani huko kwa Waluo na Wakikuyu.
Kutangazwa sio shida. Labda kama katiba ya Kenya huijui.Soon, subiri uone, Ruto won, subiri dak 20 from now, au angalia TV yako NTV, au Cheneli zote za Kenya, Ruto atatangazwa sasa hv
Hii ngoma inaenda mahakamani. Katiba inasema mwenyekiti wa tume ndiye mwenye mamlaka ya kutangaza hivyo wanaendelea na taratibu za kumtangaza ila nina uhakika mambo yataishia mahakamani,Makamu mwenyekiti IEBC, Cherera anataka kuleta vurugu nchini Kenya.. Chebukati ndio mwenye mamlaka ya kutangaza mshindi, sasa Ruto kashinda, ila sbb system haimtaki, Cherera anaanza kuleta vurugu, ila security organs ziko makini, naona hali imekuwa poa..
Rutooooo Rutoooooooo goo
Sbb Uhuru bado ni Rais na hamtaki Ruto, ujue Ruto kashinda, hayaa Chebukati anaongeaa subiri aiseeSasa kama angekua kashinda kihalali kwanini makamu wake amezingua? Kwanini tume imegawanyika?
Mungu awavushe kipindi hikiNa mtaani kuna raia kibao wamejazana wakifuatilia kwenye runinga kubwa kila sehemu. Kikiwaka tu ni hatari kubwa