Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Kwa mchuano mkali kama huu wakenya wabadilishe katiba na kuwa na waziri mkuu ambaye atachaguliwa na wabunge na rais kuwa kama ceremonial leader. Ruto nampongeza ila naona ugumu anaokwenda kuupa kupitisha mambo yake bungeni na itakuwa ivo kama rais wengine wa kenya ambao watakuwa wanashinda kwa ushindi wa aina hii.
Hongera wakenya
 
Aljezeera
 

Attachments

  • Screenshot_20220815-181239.png
    Screenshot_20220815-181239.png
    41.9 KB · Views: 5
Nimejikuta nafurahi tu, halafu sijui hata kwanini!😄😄😃🇰🇪
 
Back
Top Bottom