Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
16 August 2022
Kaunti ya Kisumu
Kenya

Wakaazi wa Kisumu wazungumzia hatua ya AZIMIO LA UMOJA kwenda kortini

 
Kuongea inaenda na umri pia mkuu Odinga wa 2007 sio huyu lkn hajawahi kuyumba

Ruto ni muhuni he don't deserve to be in highest office ni vile tu siasa za kenya zinaruhusu ushawishi wa mwenye fedha na mwizi
Hili jambo linafka pia tanzania litaathiri nchi
Kubali yaishe kuwa raila ajifunzs kuongea matamshi vizuri na pia asipende kusaidiwa saidiwa laasivyoo ataambulia vilio .
 
Ruto ametumia uzoefu wake wa kuwa serikalini kuiba kura
Wakatumia kiini macho cha bandika mtandaoni kura za udanganyifu

Kenyatta mlevi hata hakuwa anafanya briefing za maendeleo ya uchaguzi akamuachia chebugati aliyepewa mablion ya pesa na kambi ya ruto

Haki itendeke uchaguzi urudiwe
Wewe ni Taifa gani kwani? Tuanzie hapo
 
Huyu Mwanamama wa IEBC anayepingana na mwenyekiti sijui aliahidiwa nini.. amini usiamini hapo anapigania mtumbo wake tu kuliweka taifa zima ktk machafuko yeye hajali kabisaa!!
 
Wakati Hustler akiwa busy kwenye tallying center yake kuhakikisha matokeo, Babu odinga alikua anapiga mvinyo na Kenyatta.



 
Sio mafala wale
Ukisoma statement za Odinga na hao maafisa wanne wa IEBC unaona zote zina quote kitu kimoja, na zote zimeandikwa na mtu mmoja Prof. Makau Mutua, lakini walipojichanganya zaidi maafisa vipenyo wa IEBC ni kwenye suala la kuzidi kwa asilimia eti wanasema total percentage inakuja 100.01% kwa hiyo ukichukua 0.01% ya kura takribani milioni 14 ni sawa sawa na kura 140,000 ambazo wanaona zimeenda ndivyo sivyo, Huu ni upuuzi wa hali ya Juu wameshindwa kujua kuwa 0.01% ya kura takribani milioni 14 ni sawa na kura 1,400. Tofauti hiyo haiwezi ku nullfy matokeo hata mahakamani kwa hesabu zao za kijinga walijua ni kura 140,000, Odinga akubali kushindwa amezungukwa na watu wenye uwezo mdogo kisiasa na kiakili.

RUTO — 50.4898850892213%
RAILA - 48.84905938756044%
WAJACKOYAH - 0.436001423201405%
MWAURE - 0.225054100016837%

TOTAL = 99.999999999999977%
 
Mama ameamua kusema ukweli

Chebugati amebeba bilion za ruto kuharibu uchaguzi
Huyu Mwanamama wa IEBC anayepingana na mwenyekiti sijui aliahidiwa nini.. amini usiamini hapo anapigania mtumbo wake tu kuliweka taifa zima ktk machafuko yeye hajali kabisaa!!
 
Ramani ikiwa inaonesha kuwa rangi ya Njano Ruto huku Blue ni Ruto. Hii ni siku za mwanzo kabla ya matokeo rasmi kutanganzwa. Chama cha Ruto kimejizolea kura nyingi maeneo yenye wakaazi wengi huku chama cha Raila kutwaa maeneo makubwa (rangi ya blue) ambayo kieneo ni makubwa lakini ukubwa huo haulingani na idadi ya wapiga kura.

View attachment 2325437
Sasa kama hilo unalosema ni eneo kubwa kama sehemu kubwa ni mashamba je?
 
Ni kama bin inavyowekwa kwenye majina ya kiarabu, mfano Osama bin laden, Muhammad bin Salman, inamaanisha "mtoto wa"

Au Ole ilivyp kwenye majina ya kimasai
Kama ni hivyo kheri nilikua mambo ya hassan
 
Ukisoma statement za Odinga na hao maafisa wanne wa IEBC unaona zote zina quote kitu kimoja, na zote zimeandikwa na mtu mmoja Prof. Makau Mutua, lakini walipojichanganya zaidi maafisa vipenyo wa IEBC ni kwenye suala la kuzidi kwa asilimia eti wanasema total percentage inakuja 100.01% kwa hiyo ukichukua 0.01% ya kura takribani milioni 14 ni sawa sawa na kura 140,000 ambazo wanaona zimeenda ndivyo sivyo, Huu ni upuuzi wa hali ya Juu wameshindwa kujua kuwa 0.01% ya kura takribani milioni 14 ni sawa na kura 1,400. Tofauti hiyo haiwezi ku nullfy matokeo hata mahakamani kwa hesabu zao za kijinga walijua ni kura 140,000, Odinga akubali kushindwa amezungukwa na watu wenye uwezo mdogo kisiasa na kiakili.

RUTO — 50.4898850892213%
RAILA - 48.84905938756044%
WAJACKOYAH - 0.436001423201405%
MWAURE - 0.225054100016837%

TOTAL = 99.999999999999977%
Swadaktar. Hao wanaoilalamikia hiyo asilimia ni mbumbu wa hesabu.
 
Kiukweli alishinda ila tatizo ni wanaogopa kumpa nchi maana hata hawezi kujisimamia mwenyewe anapelekwa pelekwa ila ruto anajipeleka anajiamini raila hajiamini nimeona maxi tokea mwanzo hadi mwisho ila mmh kupitwa ni imagination tricks .
Ila ndio siasa nampenda RUTO pole RAILA ukapumzike umechoka kuingizwa chaka kila matokeo ya uraisi
 
Why so bitter about Rai? Ni kuhusu nini?
Kiukweli alishinda ila tatizo ni wanaogopa kumpa nchi maana hata hawezi kujisimamia mwenyewe anapelekwa pelekwa ila ruto anajipeleka anajiamini raila hajiamini nimeona maxi tokea mwanzo hadi mwisho ila mmh kupitwa ni imagination tricks .
Ila ndio siasa nampenda RUTO pole RAILA ukapumzike umechoka kuingizwa chaka kila matokeo ya uraisi
 
Back
Top Bottom